Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,239
- 113,612
Kwa mara nyingine tena, Rais wetu huyu Chifu Hangaya amefanya mahojiano na chombo cha habari.
Nimeangalia vipande vipande kadhaa vya mahojiano hayo na sijaona swali lolote lile lililo gumu aliloulizwa huyu chifu wetu.
Anaulizwa vi softballs tu. Naye anatoa majibu mepesi mepesi tu. Sijui mara anaingia mitandaoni, mara anacheza na wajukuu, mara sijui kusikiliza Taarab, yaani mambo mepesi mepesi tu.
Alisema[ga] Le Mutuz, viongozi wetu ni akisi yetu sisi wenyewe wananchi.
Nchi hii ina changamoto kibao. Ina viongozi waongo. Tena waongo wasio hata na haya.
Waandishi wa habari wanapata fursa ya kumhoji Rais aliyeshiriki kudanganya, hawamuulizi kwa nini yeye na wenzake huwa wanatudanganya.
Ni kwenye vijamhuri vya midizi tu kama Tanzania ambako viongozi waandamizi wa kiserikali chao wanawadanganya watu wao kuwa Rais wao ni mzima ilhali si mzima. Ni mgonjwa mahututi au ni marehemu tayari.
Halafu hakuna anayejali [ukinitoa mimi] kuwa kuwa amedanganywa na hakuna anayejali kuona kuwa kunakuwepo na uwajibikaji.
Nimeangalia vipande vipande kadhaa vya mahojiano hayo na sijaona swali lolote lile lililo gumu aliloulizwa huyu chifu wetu.
Anaulizwa vi softballs tu. Naye anatoa majibu mepesi mepesi tu. Sijui mara anaingia mitandaoni, mara anacheza na wajukuu, mara sijui kusikiliza Taarab, yaani mambo mepesi mepesi tu.
Alisema[ga] Le Mutuz, viongozi wetu ni akisi yetu sisi wenyewe wananchi.
Nchi hii ina changamoto kibao. Ina viongozi waongo. Tena waongo wasio hata na haya.
Waandishi wa habari wanapata fursa ya kumhoji Rais aliyeshiriki kudanganya, hawamuulizi kwa nini yeye na wenzake huwa wanatudanganya.
Ni kwenye vijamhuri vya midizi tu kama Tanzania ambako viongozi waandamizi wa kiserikali chao wanawadanganya watu wao kuwa Rais wao ni mzima ilhali si mzima. Ni mgonjwa mahututi au ni marehemu tayari.
Halafu hakuna anayejali [ukinitoa mimi] kuwa kuwa amedanganywa na hakuna anayejali kuona kuwa kunakuwepo na uwajibikaji.