huu utawaka wa awamu ya nne ..umezidi kwa KUENDEKEZA MAJUNGU...hivi tumefikia mahali tunahoji hata matibabu ya kiongozi wa nne kwa ngazi SPIKA..hii inaonyesha hawa sasa wanachimbana hasa baada ya kashfa ya EPA kusomwa bungeni....
mimi sioni ni ishu kwa spika kununua dawa za milioni 2...kama matibabu ya mtu ni siri basi hata kwa kufichua hiyo risiti ni non ethical..kwa sababu unafichua kitu ambacho mwisho wa siku kama hutaweza kuwatajia wananchi alinunua dawa gani kwa sababu kwa kutaja dawa itakuwa tayari umetaja in direct ugonjwa wa spika bila ridhaa yake....serikali ya kikwete imezidi kwa witch hunting...nadhani hili linafanywa ili kuficha sehemu ya udhaifu wake na huenda lina baraka zake au za watu wake wa karibui!@!!
afterall mnatakiwa mjue magonjwa mengi sugu yanayoendana na uzee,moyo ,figo,mifupa ...kansa ets ni ghali ..kwa wale ambao mmeshauguza wazee wenu ..mnajua.BInafsi nina rafiki yangu anamlipia mama yake shilingi 400,000 kila wiki kwa ajili ya dozi moja ya sindano...na dozi hiyo itaendelea kwa wiki nane ..na sio kuwa atapona kabisa....sasa kama ukiangalia hilo hutashangaa mtu kutumia milioni 2 kununua dawa....hasa baaada ya kuwa hospitali kama muhimbili siku hizi hawanunui dawa hizi aghali za magonjwa sugu..na hata wakinunua au kupewa msaada zinatoroshewA KWENYE MADUKA YA MADAWA MITAANI!!!!
SIMPLY KWA HILI SPIKA ANADHALILISHWA !!!
Kwanini hii haijawekwa kwenye UDAKU?!
Kwanini hii haijawekwa kwenye UDAKU?!
mimi sioni ni ishu kwa spika kununua dawa za milioni 2...kama matibabu ya mtu ni siri basi hata kwa kufichua hiyo risiti ni non ethical..kwa sababu unafichua kitu ambacho mwisho wa siku kama hutaweza kuwatajia wananchi alinunua dawa gani kwa sababu kwa kutaja dawa itakuwa tayari umetaja in direct ugonjwa wa spika bila ridhaa yake....
Duh! Hii ya Spika kali.
Nakubaliana na wazo kuwa inawezekana dawa alizotumia kwa kulingana na gharama zinaweza kuwa 2nd line ARVs baada ya first line kushindwa.
Lakini hata hizi kwa mujibu wa Watengenezaji dawa wa Abbot, dose isiyokuwa na ruzuku kwa mwaka kwa mgonjwa mmoja ni kama dola za kimarekani 1000 hivi, na kwa ile ambayo kampuni hii inaiita special dose kwa Waafrika ni dola 500 ama 700.
Picha inayokuja ni kwamba ametumia dose ya aina hii pamoja na dawa kukabiliana na makali ya HIV (ikiwa kama ni HIV+) na kuongeza kiwango kingine juu kama dola 1000 kuganga matatizo binafsi ama shughuli nyeti, kama mabwana wakubwa wanavyoziita.
lakini pia inawezekana kuwa hajatibiwa kabisa, lakini alikuwa na shida nyeti, labda na hiyo Jubilee ya miaka 40 ya ndoa na Mage. Si unajua anajifanya yupo mbali na wana mtandao wa ufisadi, walimuweka JK kitini.
Lakini pia inawezekana alitumia fedha hizo kwa tiba ya ARV na tiba za ugopnjwa mwingine.
Jibu analo yeye Sam na Mkewe Mage. Ila unaweza kukuta hata katyibiwa gono chronic, si unajua hawa jamaa wanahubiri sana Kondom, ila taifiti zinaonesha vigogo ndiyo vigogo wa Kavukavu.
Aaseme ukweli kuondoa maswali.
Sijui hayo yote yalioandikwa kuwa ni kweli au ni kupakana matope, japo moja kuu ni matumizi makubwa ya dawa yamedhihirika na ofisi husika. Swala kubwa sasa linalosumbua sasa ni uwajibikaji wa viongozi wetu, si spika tu bali pia wabunge, mawaziri na viongozi wa ngazi za juu wa serikali katika mkutumia nafasi zao kuchota pesa za umma. Ni kweli wana kazi kubwa ya kuongoza japo kwa hali ilivyo manufaa ya kazi zao hayaonekani kwa mwananchi wa kawaida zaid ya familia zao. Je viongozi wetu wako tayari kufuata taratibu za matumizi ya fedha za umma kam wanavyotaka walio chini yao? Jibu ni hapana viongozi bado wanaupenda muundo wa familia ya kiafrika, BABA HAULIZWI, akijamba mdogo anashikiwa bango. Huu uozo tuonao kwa Sitta ni mkubwa sana serikalini, rejea riporti ya mkaguzi mkuu wa serikali kila mwaka.
Je ni utaratibu gani ambao unaweza kutumika kudhibiti matumizi ya aina hii. Serikali inabidi iwafungulie bima ya matibabu viongzi wetu ili kudhibiti madai kama haya, kwani naamini hakuna kampuni ya bima ya afya inayojiheshimu itaendekeza upuuzi wa aina hii. Na kama wamewekewa bima kwa nini ofisi ya Bunge imrejeshee pesa hizo badala ya kampuni ya bima? Nafasi yake kubwa katika uongozi si hoja bali ni changa moto ya yeye kuwa mwadilifu na sio bazazi.