Ni ufisadi wa Spika Samwel Sitta

Labda ana matatizo ya figo, maana matibabu yake ni ghali zi mchezo. Kidonge (Capsule) moja tu inauzwa 150,000/=au zaidi.
 
mie nataka nijue jina la duka hilo ili nikaangalie kama kuna dawa za bei namna hiyo....MWK hebu tuambie dawa za Malaria ni bei gani huko kwenu maana huku kwetu Oysterbay bill moja ni mamilioni..................teh teh teh teh teh teh.............hii kali nadhani na yeye aadhibiwe
 
huu utawaka wa awamu ya nne ..umezidi kwa KUENDEKEZA MAJUNGU...hivi tumefikia mahali tunahoji hata matibabu ya kiongozi wa nne kwa ngazi SPIKA..hii inaonyesha hawa sasa wanachimbana hasa baada ya kashfa ya EPA kusomwa bungeni....

mimi sioni ni ishu kwa spika kununua dawa za milioni 2...kama matibabu ya mtu ni siri basi hata kwa kufichua hiyo risiti ni non ethical..kwa sababu unafichua kitu ambacho mwisho wa siku kama hutaweza kuwatajia wananchi alinunua dawa gani kwa sababu kwa kutaja dawa itakuwa tayari umetaja in direct ugonjwa wa spika bila ridhaa yake....serikali ya kikwete imezidi kwa witch hunting...nadhani hili linafanywa ili kuficha sehemu ya udhaifu wake na huenda lina baraka zake au za watu wake wa karibui!@!!


afterall mnatakiwa mjue magonjwa mengi sugu yanayoendana na uzee,moyo ,figo,mifupa ...kansa ets ni ghali ..kwa wale ambao mmeshauguza wazee wenu ..mnajua.BInafsi nina rafiki yangu anamlipia mama yake shilingi 400,000 kila wiki kwa ajili ya dozi moja ya sindano...na dozi hiyo itaendelea kwa wiki nane ..na sio kuwa atapona kabisa....sasa kama ukiangalia hilo hutashangaa mtu kutumia milioni 2 kununua dawa....hasa baaada ya kuwa hospitali kama muhimbili siku hizi hawanunui dawa hizi aghali za magonjwa sugu..na hata wakinunua au kupewa msaada zinatoroshewA KWENYE MADUKA YA MADAWA MITAANI!!!!

SIMPLY KWA HILI SPIKA ANADHALILISHWA !!!
 
huu utawaka wa awamu ya nne ..umezidi kwa KUENDEKEZA MAJUNGU...hivi tumefikia mahali tunahoji hata matibabu ya kiongozi wa nne kwa ngazi SPIKA..hii inaonyesha hawa sasa wanachimbana hasa baada ya kashfa ya EPA kusomwa bungeni....

mimi sioni ni ishu kwa spika kununua dawa za milioni 2...kama matibabu ya mtu ni siri basi hata kwa kufichua hiyo risiti ni non ethical..kwa sababu unafichua kitu ambacho mwisho wa siku kama hutaweza kuwatajia wananchi alinunua dawa gani kwa sababu kwa kutaja dawa itakuwa tayari umetaja in direct ugonjwa wa spika bila ridhaa yake....serikali ya kikwete imezidi kwa witch hunting...nadhani hili linafanywa ili kuficha sehemu ya udhaifu wake na huenda lina baraka zake au za watu wake wa karibui!@!!

afterall mnatakiwa mjue magonjwa mengi sugu yanayoendana na uzee,moyo ,figo,mifupa ...kansa ets ni ghali ..kwa wale ambao mmeshauguza wazee wenu ..mnajua.BInafsi nina rafiki yangu anamlipia mama yake shilingi 400,000 kila wiki kwa ajili ya dozi moja ya sindano...na dozi hiyo itaendelea kwa wiki nane ..na sio kuwa atapona kabisa....sasa kama ukiangalia hilo hutashangaa mtu kutumia milioni 2 kununua dawa....hasa baaada ya kuwa hospitali kama muhimbili siku hizi hawanunui dawa hizi aghali za magonjwa sugu..na hata wakinunua au kupewa msaada zinatoroshewA KWENYE MADUKA YA MADAWA MITAANI!!!!

SIMPLY KWA HILI SPIKA ANADHALILISHWA !!!

HII NDIYO TANZANIA BWANA!!!

JAMANI UMASKINI WETU TUNACHANGIA WOTE, NA WALA SIO RAIS MWENYEWE, CCM YENYEWE, CHADEMA YENYEWE, WALIOKO SERIKALINI WENYEWE, WAZEE WENYEWE, VIJANA WENYEWE... NI KILA MTANZANIA ALIYEO NCHINI, NA ALIYEKO NJE YA NCHI... ASIYEKUWA MWANACHAMA WA JF, NA ASIYEKUWA MWANACHAMA WA JF, MWANAMKE, MWANAMUME, MLEMAVU NA ASIYE MLEMAVU.

SASA UMASIKINI HUU KUDHANI UNALETWA NA SPIKA KUTIBIWA ATI KWA KUWA WEWE UNATIMIWA KWA TZS 10,000/- SI SAHIHI...

KWA TAARIFA YAKO HUYO MWANZILISHI WA HOJA HII ALIYEEIA HIYO RISITI YA DAWA ZA SPIKA, AKIWEKWA KWENYE VIPIMO VYENYE VIWANGO VYA KIMATAIFA, ANAWEZA ONEKANA NA MAGONJWA HATA ZAIDI YA MH. SPIKA WETU, NA UNAWEZA KUHITAJI ZAIDI YA MILIONI 300 KUTIBIWA.

ATI KWA KUWA SISI HATUJALI AFYA YETU BASI NA VIONGOZI WA JAMHURI PIA WASIFANYE HIVYO NI UPOTOSHAJI WA HALI YA JUU SANA.

KUMBUKA... SPIKA, RAIS, JAJI MKUU ... KWENYE HAIRAKI WANARIPOKI KWA JAMHURI... I LEAVE YOU TO DEFINE JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NI NINI?

BY THE WAY, HUYU HUYU SPIKA ANGEONDOKA HAPA NA KWENDA INDIA AU LONDON KUTIBIWA ISINGEKUWA HOJA! HAPA HOJA AMENUNUA DAWA HIZI KWENYE DUKA LA DAWA LA OYSTERBAY... SHAME ON US TANZANIANS
 
Hii ndio maana ya uhuru wa kupata habari (freedom of information).

Ni lazima matumizi ya wabunge wetu yawekwe wazi ili ijulikane kwamba hawafuji mali ya umma ambayo mojawapo ni pesa za walipa kodi.

Mimi nina wazo kwamba kuanzishwe umoja wa walipa kodi Tanzania ili uweze kuhoji uhalali wa matumizi yasiyoeleweka.

Hatukatai mtumizi kama hayo ya kugharamia ununuzi wa dawa lakini ni lazima pawepo mchanguo mzima unoeleza gharama za dawa hizo ni ni vipi zinapatikana na wapi.

Umoja wa walipa kodi Tanzania utaweza kuomba taarifa yote kuhusu matumizi hayo na kusawazisha mambo kwamba fwedha za walipa kodi zimetumika kihalali.
 
mimi sioni ni ishu kwa spika kununua dawa za milioni 2...kama matibabu ya mtu ni siri basi hata kwa kufichua hiyo risiti ni non ethical..kwa sababu unafichua kitu ambacho mwisho wa siku kama hutaweza kuwatajia wananchi alinunua dawa gani kwa sababu kwa kutaja dawa itakuwa tayari umetaja in direct ugonjwa wa spika bila ridhaa yake....

Si wangesema "no comment" kuanzia mwanzo? Katika nchi ambamo watu wengi bila shaka wanakufa kwa kushindwa kununua dawa ya malaria kutaja hizi gharama ni kutiliana chumvi kwenye kidonda. Ninachojiuliza ni dawa gani hizo zinazouzwa 400,000 kwa dozi? Nahisi kuna watu wanatengeneza supa profits humu!
 
Duh! Hii ya Spika kali.

Nakubaliana na wazo kuwa inawezekana dawa alizotumia kwa kulingana na gharama zinaweza kuwa 2nd line ARVs baada ya first line kushindwa.

Lakini hata hizi kwa mujibu wa Watengenezaji dawa wa Abbot, dose isiyokuwa na ruzuku kwa mwaka kwa mgonjwa mmoja ni kama dola za kimarekani 1000 hivi, na kwa ile ambayo kampuni hii inaiita special dose kwa Waafrika ni dola 500 ama 700.

Picha inayokuja ni kwamba ametumia dose ya aina hii pamoja na dawa kukabiliana na makali ya HIV (ikiwa kama ni HIV+) na kuongeza kiwango kingine juu kama dola 1000 kuganga matatizo binafsi ama shughuli nyeti, kama mabwana wakubwa wanavyoziita.

lakini pia inawezekana kuwa hajatibiwa kabisa, lakini alikuwa na shida nyeti, labda na hiyo Jubilee ya miaka 40 ya ndoa na Mage. Si unajua anajifanya yupo mbali na wana mtandao wa ufisadi, walimuweka JK kitini.

Lakini pia inawezekana alitumia fedha hizo kwa tiba ya ARV na tiba za ugopnjwa mwingine.

Jibu analo yeye Sam na Mkewe Mage. Ila unaweza kukuta hata katyibiwa gono chronic, si unajua hawa jamaa wanahubiri sana Kondom, ila taifiti zinaonesha vigogo ndiyo vigogo wa Kavukavu.
Aaseme ukweli kuondoa maswali.
 
I can't say much kwasababu kama mtu anaweza kutumia dawa za milioni mbili basi huo si ugonjwa bali gonjwa. Lakini wazawa tusishangae ndio ukubwa maana naona hizo dawa anazotumia spika wetu mtukufu ni "Dawa Spesheli" ambazo wakubwa wanatumia maana sisi wengine tunatumia "generic drugs" za india, wao zao zinatoka Italia labda zinarengenezwa na kina "Georgio Arman" au kina "Versace".
 
Duh! Hii ya Spika kali.

Nakubaliana na wazo kuwa inawezekana dawa alizotumia kwa kulingana na gharama zinaweza kuwa 2nd line ARVs baada ya first line kushindwa.

Lakini hata hizi kwa mujibu wa Watengenezaji dawa wa Abbot, dose isiyokuwa na ruzuku kwa mwaka kwa mgonjwa mmoja ni kama dola za kimarekani 1000 hivi, na kwa ile ambayo kampuni hii inaiita special dose kwa Waafrika ni dola 500 ama 700.

Picha inayokuja ni kwamba ametumia dose ya aina hii pamoja na dawa kukabiliana na makali ya HIV (ikiwa kama ni HIV+) na kuongeza kiwango kingine juu kama dola 1000 kuganga matatizo binafsi ama shughuli nyeti, kama mabwana wakubwa wanavyoziita.

lakini pia inawezekana kuwa hajatibiwa kabisa, lakini alikuwa na shida nyeti, labda na hiyo Jubilee ya miaka 40 ya ndoa na Mage. Si unajua anajifanya yupo mbali na wana mtandao wa ufisadi, walimuweka JK kitini.

Lakini pia inawezekana alitumia fedha hizo kwa tiba ya ARV na tiba za ugopnjwa mwingine.

Jibu analo yeye Sam na Mkewe Mage. Ila unaweza kukuta hata katyibiwa gono chronic, si unajua hawa jamaa wanahubiri sana Kondom, ila taifiti zinaonesha vigogo ndiyo vigogo wa Kavukavu.
Aaseme ukweli kuondoa maswali.


jamani lets be serious na afya za watu ...speculation kwamba dawa za milioni 2..ni 2nd line ARV hazifai ..tabia mbaya kabisa hii..kwa kuwa hakuna aliyeongea na daktari wake hapa akautaja ugonjwa wa spika..sasa kwa nini uzuke kusema kuwa ni ARV ..KATIKA MAGONJWA YOOTE DUNIANI..ni uzushi mbaya!!!!!

lazima mkubali dawa za dawa zinatofautiana bei....hata panadol ya swiss blister inauzwa shilingi 2000 wakati ya tanzania kwa ujazo huo huo ni shilingi 100....lazima mkubali ukweli kuwa dawa wanazokunywa wenye pesa hazifanani na za mwananyamala hospitali..pamoja na kuwa zinatibu ...sawa...labda..

kwenye classification za magonjwa lazima pia mjue kuna magonjwa yanayoambatana na umaskini kama kuhara,kipindu pindu,tb,...poor sanitation and sttlement,,.kuyatibu pia bei ni nafuu...watu wa oysterbay hawaugui hizi poor sanitation deseases wanaugua chronic deseases,life style deseases..kama kisukari,moyo,kansa ets..na matibabu pia ni gharama!!!!..tukubali duniani hatufanani..hata vidole...
 
Spika aandamwa kwa visasi - Bunge

na Mwandishi Wetu

OFISI ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imesema Spika wa Bunge, Samuel Sitta, ana maadui wanaoathirika na maamuzi ya Bunge pamoja na wafanyakazi wachache wa ofisi hiyo wenye nongwa na ambao wameshindwa kwenda na dhana ya viwango na kasi katika utendaji wao.

Kutokana na hali hiyo, ofisi hiyo imesema inazo taarifa za njia mbalimbali zinazotumika na mahasimu wake (Spika) kumchafua kutokana na msimamo wake wa kuliimarisha Bunge liwe chombo madhubuti zaidi cha uwakilishi wa wananchi.

Ofisi hiyo ya Bunge imelazimika kueleza hayo kufafanua tuhuma mbalimbali zinazotolewa dhidi ya Spika kwa njia ya mtandao wa inteneti.

Taarifa iliyotolewa jana na Kaimu Katibu wa Bunge, Dk. Thomas Kashililah, inaeleza kuwa tuhuma hizo zinazotolewa zinaelekea kuwa ni wa makusudi na usiostahili na unaenezwa na makundi hasimu dhidi ya Spika.

"Ni vema vyombo vya habari vijihadhari na taarifa za kuokoteza ambazo zinaeneshwa kwa misingi ya chuki.

"Tujiulize kwa nini haya yanatokea mara baada ya maamuzi ya Bunge kuhusu Richmond? Ofisi ya Bunge inatambua muhimu wa wananchi kupewa taarifa sahihi kuhusu Bunge na uendeshaji wake kwa vile ni chombo chao cha uwakilishi," ilieleza sehemu ya taarifa hiyo.

Taarifa hiyo inaeleza kuwa Ofisi ya Bunge inasikitishwa na tuhuma zinazoelekezwa kwa Spika na kusema ikiwa kuna yeyote ambaye anazo tuhuma halisi dhidi ya Spika, anapaswa kuziwasilisha kwa uwazi, ili zifikishwe kwenye mamlaka husika zifanyiwe kazi kwa utaratibu ulio bayana.

"Vinginevyo minong'ono dhidi ya viongozi ndio zitakuwa habari za nchi yetu. Hapo sio tu tunawadhalilisha viongozi walengwa bali zaidi tunaidhalilisha nchi," ilieleza taarifa hiyo.

Taarifa hiyo inakanusha Ofisi ya Bunge kumlipia Spika sh milioni mbili kwa kila wiki kwa ajili ya dawa au matibabu na kwamba hajawahi kuhojiwa kuhusu matumizi ya gari la umma.

Inaelezwa kuwa Spika ana magari ya walinzi na ya huduma za nyumbani licha ya gari rasmi na kwamba magari yote yanatumika kuzingatia bajeti iliyopangwa, kwa ajili ya Ofisi ya Spika.

Aidha, inaelezwa kuwa Bunge linasimamia vema matumzi kwake na yangekuwepo matumizi ya hovyo ya fedha, yangedhihirishwa katika taarifa za kila mwaka za wakaguzi.

Source: Tanzania Daima (31/03/08)


Je mjadala huu ufungwe?
 
Mie sioni sababu ya kujadili 2M alizo claim Spika sitta. Hii inanisukuma niseme mambo yafuatayo:-
1. Watanzania Tumerogwa na alieturoga amekufa. Humu ndani kuna watu wanaojua sheria watuambie kama sheria hairuhusu matibabu kwa Spika na tujue Spika anahold nafasi gani katoka ile pyramid ya uongozi maana pale top yupo Jk akisafiri nani anakaimu?nahuyo akisafiri nani anakaimu?je Spika hakaimu nafasi wale wote walio chini ya Rais ikatokea pia wapo nje ya nchi? Tusiwe wajinga suala la matibabu kwa Spika ni ligal and its not illigal ingekuwa kamlipia kimada tuition fees hapo tuna haki ya kusema. Pengione tunasema kwakuwa wengi wetu afya tumeipa mgongo watu wanaipa pombe kipaumbele ingekuwa 2 m ni bill ya mzee kutoka pale maeneo ya ilala ( TBL ) pengine msingesema.

2. Hivi nyie watanzania mnaanzisha malumbano na maneno mengi kuhusu 2 m ili iweje? ili tusahau 152 m zinazolipwa kwa dowans kila siku ya Mungu? nyie mmetumwa na Dowans? tuwaeleweje? manataka tusahau 133 bil za EPA? manataka tusahau ufisadi tuzungumzie haki ya mtu? nasisitiza mie sipo na nyie katika hili Spika anastahili zake ikiwa matibabu pia. Msitufanye wajinga nyie ndio mlioanzisha ya 15m za mbowe hotels mmeshindwa mnamchokonoa Sitta wa watu.

3. Ushauri kwa mhe Sitta.
Ushauri huu ni wa bure. Mhe Samweli Sitta umekalia kuti kavu waswahili husema "ukitaka kumuua nyani usimwangalie usoni" wakati ule mhe mwakyembe anamuua nyani wewe ulikuwa na huruma kwasababu uliwaangalia kima wale usoni. Usiwe soft soft usipende kucheka cheka kama Rais wetu jaribu uwe serious na sie tupo nyuma yako kama watanzania wenye uchungu. Ulifanya kosa kubwa kumtetea lowasa bora unge kaa kimya! ona sasa wanakugeuka! wanataka kukuumbua kwa 2 m wao wanachukua 152 m daily ! sasa tunataka riport ya EPA kwenye bunge lijalo usiwaonee huruma hawa sie wagosi wa kaya tunasema kama "mbwai mbwai" hata wakifanya mapinduzi wakakupindua Uspika historia itakuhukumu kwani wahawa mafisadi wana nguvu sana. Kumbuka pia hukuzaliwa na Uspika uliukuta hapa hapa duniani na utaondoka utauwacha fanya mambo kwa maslahi ya umma.

Na nyie watanzania msikubali kutumia kwa pesa mbili ambazo hata kitoweo hazinunui sana sana mnajiongezea njaa.

wasalam.
 
kama kweli tunataka mabadiliko, basi haya ndio mabadiliko ya watu ni lazima wahoji pale wanapokosa imani ya kitu
fulani na muhusika ni lazima ajibu hoja na sio kukimbia.
Hoja ya kusema kuwa spika anamaadui hiyo sio hoja ya msingi, kila binadamu ana maadui,hata mtoto aliyezaliwa leo pia hakosi maadui.kwa hiyo wale wanaomtetea spika waje na hoja za msingi na sio majungu.
Siku za hivi karibuni ilitokea kashifa ya mbunge mmoja wa uingereza kutakana na matumizi mabaya ya pesa za umma ambazo anapewa kwa ajili ya shughuli za kibunge ktk ofisi yake.
Matokeo yake amesimamishwa kuhudhuria vikao vya bunge kwa muda.kutokana na hilo ofisi ya bunge imewataka wabunge wote kufanya yafuatayo
1, kuorodhesha ndugu au wafanyakazi aliowaajiri ktk shughuli zake za kila siku
2,kutaja kiwango cha malipo ya mishahara kwa wafanyakazi wake
3,kuwasilisha risiti ya matumizi yoyote wanayo zidi pound 20.
4,kuwasilisha ripoti ya matumizi yanayofanya na ofisi ya mbunge,ambayo itakuwa wazi kwa wananchi kuiona bila matatizo.(hizi ni pesa za walipakodi ambazo wabunge upewa kwa ajili ya shughuli za kiofisi ktk majimbo yao.)
Sasa sisi wabongo tunasema eti watu wanamuonea wivu spika,wivu upi wakati anatumia pesa yetu,kwa nini asituambie anatumia vipi pesa yetu.
 
Domo Kaya,

Nakupa 5 kwa hyo picha na 5 kwa taarifa uliyoweka zidisha kwa kumi unapata 100%.
 
Sijui hayo yote yalioandikwa kuwa ni kweli au ni kupakana matope, japo moja kuu ni matumizi makubwa ya dawa yamedhihirika na ofisi husika. Swala kubwa sasa linalosumbua sasa ni uwajibikaji wa viongozi wetu, si spika tu bali pia wabunge, mawaziri na viongozi wa ngazi za juu wa serikali katika mkutumia nafasi zao kuchota pesa za umma. Ni kweli wana kazi kubwa ya kuongoza japo kwa hali ilivyo manufaa ya kazi zao hayaonekani kwa mwananchi wa kawaida zaid ya familia zao. Je viongozi wetu wako tayari kufuata taratibu za matumizi ya fedha za umma kam wanavyotaka walio chini yao? Jibu ni hapana viongozi bado wanaupenda muundo wa familia ya kiafrika, BABA HAULIZWI, akijamba mdogo anashikiwa bango. Huu uozo tuonao kwa Sitta ni mkubwa sana serikalini, rejea riporti ya mkaguzi mkuu wa serikali kila mwaka.
Je ni utaratibu gani ambao unaweza kutumika kudhibiti matumizi ya aina hii. Serikali inabidi iwafungulie bima ya matibabu viongzi wetu ili kudhibiti madai kama haya, kwani naamini hakuna kampuni ya bima ya afya inayojiheshimu itaendekeza upuuzi wa aina hii. Na kama wamewekewa bima kwa nini ofisi ya Bunge imrejeshee pesa hizo badala ya kampuni ya bima? Nafasi yake kubwa katika uongozi si hoja bali ni changa moto ya yeye kuwa mwadilifu na sio bazazi.
 
Sijui hayo yote yalioandikwa kuwa ni kweli au ni kupakana matope, japo moja kuu ni matumizi makubwa ya dawa yamedhihirika na ofisi husika. Swala kubwa sasa linalosumbua sasa ni uwajibikaji wa viongozi wetu, si spika tu bali pia wabunge, mawaziri na viongozi wa ngazi za juu wa serikali katika mkutumia nafasi zao kuchota pesa za umma. Ni kweli wana kazi kubwa ya kuongoza japo kwa hali ilivyo manufaa ya kazi zao hayaonekani kwa mwananchi wa kawaida zaid ya familia zao. Je viongozi wetu wako tayari kufuata taratibu za matumizi ya fedha za umma kam wanavyotaka walio chini yao? Jibu ni hapana viongozi bado wanaupenda muundo wa familia ya kiafrika, BABA HAULIZWI, akijamba mdogo anashikiwa bango. Huu uozo tuonao kwa Sitta ni mkubwa sana serikalini, rejea riporti ya mkaguzi mkuu wa serikali kila mwaka.
Je ni utaratibu gani ambao unaweza kutumika kudhibiti matumizi ya aina hii. Serikali inabidi iwafungulie bima ya matibabu viongzi wetu ili kudhibiti madai kama haya, kwani naamini hakuna kampuni ya bima ya afya inayojiheshimu itaendekeza upuuzi wa aina hii. Na kama wamewekewa bima kwa nini ofisi ya Bunge imrejeshee pesa hizo badala ya kampuni ya bima? Nafasi yake kubwa katika uongozi si hoja bali ni changa moto ya yeye kuwa mwadilifu na sio bazazi.

Mimi nadhani hoja sii kujibu tuhuma, yaani ni kuachia ngazi na kupisha uchunguzi ufanyike. Hivi karibuni walipigia debe kuongezwa fungu la hela kwaajili ya matumizi ya bunge na ninadhani huenda kama mchezo ndio huu basi matumizi yatakua mabovu zaidi. Halafu mimi najiuliza kwa nini baadhi ya viongozi wa Kitanzania hawapendi kuwajibika mpaka waundiwe tume? Pia ianzishwa sheria ya Ufuska ili kuwabana viongo. Ila nitaleta hoja binafsi hapa kwenu wana JF.Spika jiuzulu ili upishe uchunguzi kufanyika kama yatakua sio ya kweli utarudishwa na kama yatakua ya kweli sheria unazozitunga wewe & bunge unaloliongoza zichukue mkondo wake.Amina
 
Back
Top Bottom