Homa inapanda, homa inashuka...
katika kile nilichokiona kuwa ni dalili za kukata tamaa kwa SS leo asubuhi Mh huyo alitoa kauli zenye utata huku akijua kabisa anavunja taratibu za katiba ya CCM hasa pale alipo sisitiza kuwa lazima yeye atakuwa ni mbunge wa Urambo katika uchaguzi mkuu ujao lakini lazima pia atakuwa Spika wa bunge lijalo, hivi mh SS hafahamu kuwa ili kuwa mbunge na hasa kupitia CCM lazima kwanza jina lako liteuliwe na kamati yako ya siasa ya wilaya husika ili tu uwe mgombea kwenye kura za maoni na baada ya hapo vikao vya wilaya na mkoa vikae kujadili matokeo ya kura za maoni na mwisho vikao kamati kuu na NEC navyo vikae na kufanya uteuzi wa mwisho kwa wagombea? hiyo haitoshi bado mteuliwa husika atahitaji kuingia katika uchaguzi mkuu wa serikali utakaoshirikisha vyama vyote vyenye usajiri, hiyo haitoshi, ukishinda kuwa mbunge utahitaji kuomba kuteuliwa kuwa mgombea U-spika kwa nafasi hiyo ya Ubunge au vinginevyo na ukiteuliwa kuwa mgombea itakulazimu kuingia kwenye uchaguzi ambao wawezashinda au shindwa. kwa hatua hizo zote mh SS anataka tumueleweje kwa kuiambia jamii kuwa yeye lazima atakuwa Mb, na lazima atakuwa Spika? Je Spika anaitisha CCM kuwa lazima imteue kwa nafasi zote atakazo omba?
Kusema kweli spika 6 anapendwa na wengi wa watumishi wa bunge, kwani wakati akitamka hayo, nikiwa humu mjengoni, watumishi walishangilia aliposema na nitakuwa mimi spika tena wa bunge lijalo.
katika kile nilichokiona kuwa ni dalili za kukata tamaa kwa SS leo asubuhi Mh huyo alitoa kauli zenye utata huku akijua kabisa anavunja taratibu za katiba ya CCM hasa pale alipo sisitiza kuwa lazima yeye atakuwa ni mbunge wa Urambo katika uchaguzi mkuu ujao lakini lazima pia atakuwa Spika wa bunge lijalo, hivi mh SS hafahamu kuwa ili kuwa mbunge na hasa kupitia CCM lazima kwanza jina lako liteuliwe na kamati yako ya siasa ya wilaya husika ili tu uwe mgombea kwenye kura za maoni na baada ya hapo vikao vya wilaya na mkoa vikae kujadili matokeo ya kura za maoni na mwisho vikao kamati kuu na NEC navyo vikae na kufanya uteuzi wa mwisho kwa wagombea? hiyo haitoshi bado mteuliwa husika atahitaji kuingia katika uchaguzi mkuu wa serikali utakaoshirikisha vyama vyote vyenye usajiri, hiyo haitoshi, ukishinda kuwa mbunge utahitaji kuomba kuteuliwa kuwa mgombea U-spika kwa nafasi hiyo ya Ubunge au vinginevyo na ukiteuliwa kuwa mgombea itakulazimu kuingia kwenye uchaguzi ambao wawezashinda au shindwa. kwa hatua hizo zote mh SS anataka tumueleweje kwa kuiambia jamii kuwa yeye lazima atakuwa Mb, na lazima atakuwa Spika? Je Spika anaitisha CCM kuwa lazima imteue kwa nafasi zote atakazo omba?
Hivi hayo ni maneno ya Sitta hau ni yako mzee. Naona umeleta hii halafu tayari ushachagua upande. Naona mwenzetu umetumwa!!!!!!
Na ndio maana jamaa yupo very defence kwa ajili ya hoja zake lakini madai haya ni makubwa sana anatakiwa kuweka wazi tarakimu zake mapema na kusema ni vipi ametumia pesa za walipa Kodi TanzaniaMleta hoja anakatishwa tamaa maana bandiko lake limeondolewa bila ya kuonyesha lime enda wapi .Vibweka ama wapi .Nikaleta likaondolewa na sasa kiasi lipo nashangaa .
Hili libakie hapa kuna matumizi mabaya ya madaraka lakini hakuna kitu tunaita Uadilifu huyu mzee hana ama maadili .Kwa hiyo maleta mada mwenyewe naamini ana mengi ya kusema tuachieni tumjue na ajue kwamba watu sasa wamesha jua mambo yake .Ni muhimu sana maana ni Spika wa bunge la Nchi yenye watu 26m si kitu kidogo hiki .Magari ya STK kutumika then unasema vibweka vya wakubwa ?
Baada ya kuchoshwa na tuhuma nyingi zinazoelekezwa kwake kupitia magazetini, muda mfupi uliopita spika samwel sitta amesema tuhuma hizo zinapikwa na watu wasiompenda wakiyatumia magazeti ya tanzania daima na tazama. Huko nyuma tuliwahi kusikia kuwa wahariri wa gazeti la tanzania daima (absalom kibanda na charles mulinda) wamenunuliwa na mafisadi wakiongozwa na r.a. Ili kuwashambulia maadui zao, akiwemo spika sitta. Hawa wamekuwa pia wakilitumia pia jamvi hili la jf kupenyezaa upuuzi wao. Akizungumza kwa kujiamini spika ameonyesha kukerwa zaidi na tuhuma kwamba anapanga njama za kuchoma ofisi za bunge ili kuharibu ushahidi wa baadhi ya tuhuma. Sasa amemuomba waziri mkuu amuongezee ulinzi kwani anadhani watu hao ni hatari.
Kusema kweli spika 6 anapendwa na wengi wa watumishi wa bunge, kwani wakati akitamka hayo, nikiwa humu mjengoni, watumishi walishangilia aliposema na nitakuwa mimi spika tena wa bunge lijalo.