Ni ufisadi wa Spika Samwel Sitta

Ni ufisadi wa Spika Samwel Sitta

ila mimi ningekua Lowassa, afta quitting u-PM ningejivua na ubunge, ili nikirudi ni full spd...
 
Homa inapanda, homa inashuka...


Mheshimiwa Six ana kumbukumbu za 1995 mambo yalivyokuwa Urambo anajua kilichompeleka marikiti hadi ajakuokolewa na kina RA 2005

tumpe pole tuu na aache woga ............
 
katika kile nilichokiona kuwa ni dalili za kukata tamaa kwa SS leo asubuhi Mh huyo alitoa kauli zenye utata huku akijua kabisa anavunja taratibu za katiba ya CCM hasa pale alipo sisitiza kuwa lazima yeye atakuwa ni mbunge wa Urambo katika uchaguzi mkuu ujao lakini lazima pia atakuwa Spika wa bunge lijalo, hivi mh SS hafahamu kuwa ili kuwa mbunge na hasa kupitia CCM lazima kwanza jina lako liteuliwe na kamati yako ya siasa ya wilaya husika ili tu uwe mgombea kwenye kura za maoni na baada ya hapo vikao vya wilaya na mkoa vikae kujadili matokeo ya kura za maoni na mwisho vikao kamati kuu na NEC navyo vikae na kufanya uteuzi wa mwisho kwa wagombea? hiyo haitoshi bado mteuliwa husika atahitaji kuingia katika uchaguzi mkuu wa serikali utakaoshirikisha vyama vyote vyenye usajiri, hiyo haitoshi, ukishinda kuwa mbunge utahitaji kuomba kuteuliwa kuwa mgombea U-spika kwa nafasi hiyo ya Ubunge au vinginevyo na ukiteuliwa kuwa mgombea itakulazimu kuingia kwenye uchaguzi ambao wawezashinda au shindwa. kwa hatua hizo zote mh SS anataka tumueleweje kwa kuiambia jamii kuwa yeye lazima atakuwa Mb, na lazima atakuwa Spika? Je Spika anaitisha CCM kuwa lazima imteue kwa nafasi zote atakazo omba?


Sasa vitisho viko wapi hapo? Mimi naona Sitta ameonyesha jinsi anavyojiamini na asivyotishika na mafisadi na vibaraka wao. Watanzania wameshajua janja ya mafisadi ndio maana wanatapatapa na kuwageuzia kibao baadhi ya wapiganaji. Janja yenu imeshagundulika!
 
Zyansiku nsoga du, ungeweka maneno ya spika mwenye tena onesha kwa alama za nukuu ili tuchambue wenyewe badala ya kumuwekea maneno mzee wa watu.
 
Hivi alichofanya SS ni nini kwani mbona sikioni, kama ni ubabe umeonekana bungeni alivyomfukuza Bw. Mapesa, kama ni wizi hapa JF waliweka kuwa anakaa nyumba ya milioni 10 wakati kuna wanafunzi wanasomea madarasa ya nyasi, then mnatetea nini?

Labda walichokosea walita habari ni kuifanya kuwa ya kidaku sana kuliko ilivyokuwa inatakiwa. Sioni mkono wa RA wala EL hapa anaogopa kivuli chake mwenyewe
 
Kusema kweli spika 6 anapendwa na wengi wa watumishi wa bunge, kwani wakati akitamka hayo, nikiwa humu mjengoni, watumishi walishangilia aliposema na nitakuwa mimi spika tena wa bunge lijalo.
Kachemsha ile mbaya!
Sio ulafi wa madaraka peke yake humfanya kiongozi kung'ang'ania kiti, bali hata wenye mikono michafu hufanya hivyo.

Nilidhani ni mtu asiyeogopa; huu woga wake unazua maswali, na bila shaka atafia CCM. Kwenye chati yangu ameshuka daraja.
 
katika kile nilichokiona kuwa ni dalili za kukata tamaa kwa SS leo asubuhi Mh huyo alitoa kauli zenye utata huku akijua kabisa anavunja taratibu za katiba ya CCM hasa pale alipo sisitiza kuwa lazima yeye atakuwa ni mbunge wa Urambo katika uchaguzi mkuu ujao lakini lazima pia atakuwa Spika wa bunge lijalo, hivi mh SS hafahamu kuwa ili kuwa mbunge na hasa kupitia CCM lazima kwanza jina lako liteuliwe na kamati yako ya siasa ya wilaya husika ili tu uwe mgombea kwenye kura za maoni na baada ya hapo vikao vya wilaya na mkoa vikae kujadili matokeo ya kura za maoni na mwisho vikao kamati kuu na NEC navyo vikae na kufanya uteuzi wa mwisho kwa wagombea? hiyo haitoshi bado mteuliwa husika atahitaji kuingia katika uchaguzi mkuu wa serikali utakaoshirikisha vyama vyote vyenye usajiri, hiyo haitoshi, ukishinda kuwa mbunge utahitaji kuomba kuteuliwa kuwa mgombea U-spika kwa nafasi hiyo ya Ubunge au vinginevyo na ukiteuliwa kuwa mgombea itakulazimu kuingia kwenye uchaguzi ambao wawezashinda au shindwa. kwa hatua hizo zote mh SS anataka tumueleweje kwa kuiambia jamii kuwa yeye lazima atakuwa Mb, na lazima atakuwa Spika? Je Spika anaitisha CCM kuwa lazima imteue kwa nafasi zote atakazo omba?


Wapi alipotishia bana?
 
Wahenga walisema kizuri chajiuza kibaya chajitembea.langu jicho tu !!!!!!!
 
wadau kuna waraka ameandikiwa spika na katibu wake
kutoka kwa wafanyazi wa bunge.
tafadhali mwanajamii aliyenao naomba atudondoshee
tuuperuuzi.



nikipata nauli nitaufuata hukohuko
 
Hapana Tanzania Daima ni Gazeti huru sana sasa Sitta amezoea magazeti ya ndio mzee sasa Kibanda ni Kiboko yao
 
Gazeti la TZ Daima mbona linaandika bila upendeleo kwenye ufisadi? na nilidhani ndo linaloongoza!!!! Kuhusu Spika hao ni wabaya wake wanataka kumwangamiza Spika wetu hana Mawaa wamwache achape mzigo kwanza kesho anakazi ngumu wasimwogopeshe, WASHINDWE tunamuombea afya njema
 
unahusu nini? waraka gani maana tuna nyaraka kibao hapa!

au unasema juu ya hili kuwa anapanga njama za kuchoma ofis za bunge ili kupoteza ushahid flani?
 
Hivi hayo ni maneno ya Sitta hau ni yako mzee. Naona umeleta hii halafu tayari ushachagua upande. Naona mwenzetu umetumwa!!!!!!

Wewe ndiye uliyetumwa! Ninao ushahidi wa kutumiwa kwa waandishi wa habari, na hasa wahariri wa hayo magazeti yaliyotajwa kuandika habari za kuwachafua watu wengine. Ukibisha naweka mambo hadharani!
 
Mleta hoja anakatishwa tamaa maana bandiko lake limeondolewa bila ya kuonyesha lime enda wapi .Vibweka ama wapi .Nikaleta likaondolewa na sasa kiasi lipo nashangaa .

Hili libakie hapa kuna matumizi mabaya ya madaraka lakini hakuna kitu tunaita Uadilifu huyu mzee hana ama maadili .Kwa hiyo maleta mada mwenyewe naamini ana mengi ya kusema tuachieni tumjue na ajue kwamba watu sasa wamesha jua mambo yake .Ni muhimu sana maana ni Spika wa bunge la Nchi yenye watu 26m si kitu kidogo hiki .Magari ya STK kutumika then unasema vibweka vya wakubwa ?
Na ndio maana jamaa yupo very defence kwa ajili ya hoja zake lakini madai haya ni makubwa sana anatakiwa kuweka wazi tarakimu zake mapema na kusema ni vipi ametumia pesa za walipa Kodi Tanzania
 
Baada ya kuchoshwa na tuhuma nyingi zinazoelekezwa kwake kupitia magazetini, muda mfupi uliopita spika samwel sitta amesema tuhuma hizo zinapikwa na watu wasiompenda wakiyatumia magazeti ya tanzania daima na tazama. Huko nyuma tuliwahi kusikia kuwa wahariri wa gazeti la tanzania daima (absalom kibanda na charles mulinda) wamenunuliwa na mafisadi wakiongozwa na r.a. Ili kuwashambulia maadui zao, akiwemo spika sitta. Hawa wamekuwa pia wakilitumia pia jamvi hili la jf kupenyezaa upuuzi wao. Akizungumza kwa kujiamini spika ameonyesha kukerwa zaidi na tuhuma kwamba anapanga njama za kuchoma ofisi za bunge ili kuharibu ushahidi wa baadhi ya tuhuma. Sasa amemuomba waziri mkuu amuongezee ulinzi kwani anadhani watu hao ni hatari.

Yaani huyu mzee kiboko anaishi kwenye nyumba inayocost walipa kodi malioni kwa mwezi

Anafoji risti za dawa ili alipwe dola elfu 2 kila anapochukua dawa pharmacy

Anatumia vyombo vya umma kufanya ufuska

alilalamika apewe escort kuliko ya Sheni na kapewa

Sasa anataka apewe ulinzi zaidi baada ya hizi tuhuma za kutaka kuchoma moto ofisi yake

inbod huyu mzee akamwone JF doctor
 
Kusema kweli spika 6 anapendwa na wengi wa watumishi wa bunge, kwani wakati akitamka hayo, nikiwa humu mjengoni, watumishi walishangilia aliposema na nitakuwa mimi spika tena wa bunge lijalo.

tatizo lako ulikaa sana hospitali mpaka ukawa unapitwa na nyakati

hakuna anayempenda sita zaidi ya mkewe na wale wanawake zake

actually anachukiwa mpaka na walinzi wake kwa taarifa yako
 
Akane basi aseme anakaa hse ya bei gani, atoe receipt ili kukata vidomo vya watu, kukana bila vigezo haina maana. Anatia aibu asiposema ukweli wa mambo then tutajua kuwa anao uchungu na nchi, si unasema tu nashutumiwa kwa hili na hili nahili but mimi sio hivyo nipo hivi na hivi na hivi, simple and clear na tanzania daima hawatauza tena news hiyo kwani watakuwa wameumbuliwa, au vipi wan jf?
 
Nadhani Mr. Zyansiku hii ameiandika kiushabiki saana, asidhani kuwa spika ameshuka kwa hao walioandika upuuzi huu, hata kidogo, SS huwezi kamwe kumlinganisha na Msekwa huyu SS ni historia kwenye mabunge yote ya hapa TZ.
 
Nyie mnaosema ni lazima JK awe rais 2010 hamjui kuwa kuna uchaguzi ndani ya CCM na Wagombea kupitia vyama vingine watakuja kusimama naye kukiwania kiti hicho? Akisema SS nongwa lakini kwa JK poa.

Anyway nadhani kwa kuwa sita anagusa maslahi yako binafsi ndo maana kauli yake pia imekugusa.

Songa mbele askari wangu SS hadi kwenye uspika wa bunge lijalo....
 
Back
Top Bottom