Ni timu gani ilipindua meza baada ya mechi ya kwanza kufungwa bila hata on target?

Ni timu gani ilipindua meza baada ya mechi ya kwanza kufungwa bila hata on target?

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
15,774
Reaction score
35,994
Ukisikia kujipa matumaini hewa ndo haya Sasa
Timu limepigwa goli 2 bila kelele
Ball possession RS Berkane iliongoza 78%
Simba walicheza kama wapo pungufu
Berkane wanakuja ku press kama hawajashinda wala mbumbumbu msitegemee ati watakaza nyuma walinde
Dhahama itatokea ikiwa Simba atajifanya kupishana nao kutafuta goli huku wakiacha pengo Kwa Tshabalala na Kapombe😂🤣

Ili kukwepa kudhalilika Simba tubaki nyuma tujilinde ila tukifunguka ni kupigwa zingine 3

Simba walienda kudhalilisha Taifa, mambo Gani kutolewa Kwa aggregate ya 5_0

Haya mambo ya final za CAF anayaweza Yanga anayetolewa Kwa kanuni
 
Simba SC Bingwa CAFCCL 2024/2025, Hutaki hamia Burundi au andamana, This is Simba SC guvu moya...💪.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
"MASHABIKI YA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE YANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE YANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI"

- DR LUC EYMAEL 2020
 
Nambie mrembo
FB_IMG_1682646137959 (2).jpg
 
Back
Top Bottom