mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,663
- 18,036
Wale wanaobeza ushindi wa goli moja wa Simba dhidi ya Orlando Pirates ya Afrika ya kusini, ni vizuri wakafahamu kuwa:
2. Kati ya timu NANE zilizoingia robo fainali ni timu MBILI tu zilizoibuka na ushindi kwenye mechi ya kwanza ya robo fainali, timu hizo ni SIMBA na Al Masry. Al Masry iliifunga RSB Berkane 2:1
2. Kati ya timu NNE zilizokuwa nyumbani ni timu MBILI tu zilizoibuka na ushindi. Timu hizo ni SIMBA na Al Masry. Zilizobaki ziliambulia sare ya bila magoli.
3. Kati ya timu mbili zilizopata ushindi wa nyumbani, SIMBA ndiyo ilifaidika zaidi maana mgeni wake hakuweza kupata goli la ugenini. Kwa hiyo Kama Simba ikifungwa goli moja kwa bila ugenini hiyo itakuwa ni SARE na muda utaongezwa, lakini Kama Al Masry akifungwa goli moja kwa bila ugenini atakuwa ametolewa kwa faida ya wapinzani wao kuwa na goli la ugenini.
4. Kwa hiyo ukizipanga timu zote 8 zilizoingia robo fainali kwa mujibu wa matokeo ya mechi ya kwanza, mkeka utasomeka Kama ifuatavyo:
1. Simba
2. Al Masry
3. RSB Berkane
4. Al-lttihad
5. Al Ahly
6. Pyramids
7. TP Mazembe
8. Orlando Pirates.
Cha ajabu wanaobeza ni wale ambao ambao hutolewa kwenye hatua za awali kwa kufungwa nyumbani na ugenini kabla hata hawajanusa hatua ya makundi!! Niwaambie tu kuwa UKIONA CHAELEA KIMEUNDWA!
2. Kati ya timu NANE zilizoingia robo fainali ni timu MBILI tu zilizoibuka na ushindi kwenye mechi ya kwanza ya robo fainali, timu hizo ni SIMBA na Al Masry. Al Masry iliifunga RSB Berkane 2:1
2. Kati ya timu NNE zilizokuwa nyumbani ni timu MBILI tu zilizoibuka na ushindi. Timu hizo ni SIMBA na Al Masry. Zilizobaki ziliambulia sare ya bila magoli.
3. Kati ya timu mbili zilizopata ushindi wa nyumbani, SIMBA ndiyo ilifaidika zaidi maana mgeni wake hakuweza kupata goli la ugenini. Kwa hiyo Kama Simba ikifungwa goli moja kwa bila ugenini hiyo itakuwa ni SARE na muda utaongezwa, lakini Kama Al Masry akifungwa goli moja kwa bila ugenini atakuwa ametolewa kwa faida ya wapinzani wao kuwa na goli la ugenini.
4. Kwa hiyo ukizipanga timu zote 8 zilizoingia robo fainali kwa mujibu wa matokeo ya mechi ya kwanza, mkeka utasomeka Kama ifuatavyo:
1. Simba
2. Al Masry
3. RSB Berkane
4. Al-lttihad
5. Al Ahly
6. Pyramids
7. TP Mazembe
8. Orlando Pirates.
Cha ajabu wanaobeza ni wale ambao ambao hutolewa kwenye hatua za awali kwa kufungwa nyumbani na ugenini kabla hata hawajanusa hatua ya makundi!! Niwaambie tu kuwa UKIONA CHAELEA KIMEUNDWA!