G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,555
- 35,880
Kwa wataalam wa siasa tunasema kuwa Mbunge wa Kawe bwana Gwajima ameshavuka red line na kinachofuata ni kutangazwa tu kuwa Jimbo lipo wazi.
Huenda hata asimalize huu mwezi akiwa mbunge kwani amepitiliza kuwa na sifa kuu za usaliti. Yani amepata mpaka sifa za ziada.
Gwajima kwa sasa ni ama aanzishe mpango wa kujiuzulu maana ni kama anahujumu mkakati wa serikali ambayo chama anachokiwakilisha ndicho kinachoiongoza.
Ninachojua ni kuwa CCM huwa ni waoga mno wa kuchukua hatua kwa wakati. Siyo kama Chadema ambamo ninaamini kuwa muda huu Gwajima angekuwa mbunge wa mahakama.
Gwajima amewanyea viganja vyote viwili na bado anaelekeza gogo kinywani naamini akifika kinywani itawalazimu kumfukuza. Ninachojua ni lazima apeleke gogo kinywani.
Kina Mayalla naona wanaanza anza kupiga jaramba maana sisi Chadema hatutashiriki hicho kijiuchaguzi uchwara!
Huenda hata asimalize huu mwezi akiwa mbunge kwani amepitiliza kuwa na sifa kuu za usaliti. Yani amepata mpaka sifa za ziada.
Gwajima kwa sasa ni ama aanzishe mpango wa kujiuzulu maana ni kama anahujumu mkakati wa serikali ambayo chama anachokiwakilisha ndicho kinachoiongoza.
Ninachojua ni kuwa CCM huwa ni waoga mno wa kuchukua hatua kwa wakati. Siyo kama Chadema ambamo ninaamini kuwa muda huu Gwajima angekuwa mbunge wa mahakama.
Gwajima amewanyea viganja vyote viwili na bado anaelekeza gogo kinywani naamini akifika kinywani itawalazimu kumfukuza. Ninachojua ni lazima apeleke gogo kinywani.
Kina Mayalla naona wanaanza anza kupiga jaramba maana sisi Chadema hatutashiriki hicho kijiuchaguzi uchwara!