Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,469
- 17,580
Biblia inasema usimnyime mke au mtoto mapigo
Nilijua tu comment ya kukaririshana haitakosa.Mkuu sio orvious ni OBVIOUS..
Anyway mpandishe Cheo awe mke mkubwa, utakuja kunishukiru
Pelekea moto mpaka anakojoaShida ya mwanamke wangu ni jeuri halafu akikosea ni mgumu kuomba msamaha
Ukimwelekeza jambo ambapo obvious amekosea yaani hakubali na ataanzisha ligi hiyo mpaka unafika hatua unaona bora yaishe unajifanya mjinga kwa muda ili mradi mambo yaishe .
Kwa kifupi mwanamke ana kiburi hatari hapa nilipo nafikiria ni staili gani niitumie kuishi nae na pia wanawake wa aina hii dawa yao huwa ni nini ifike hatua kiburi kipungue na kisirani ifike hatua ajue wewe kidume hata anapoenda wrong directions iwe rahisi kurekebishika na kuelezekeka.
Imagine kama leo hii nilimtext asubuhi hakunijibu badae alivyonitafuta mida ya jioni saa 12 nakuja kumuuliza uliona ujumbe wangu asubuhi hanipi majibu ya kueleweka
Nilivyomuuliza mara ya pili akaanza kunijibu kwa hasira na kisirani vitu havieleweki mwisho wa siku ananiona kaa mie mkorofi kwanini nimemuuliza haya maswali kama ujumbe wangu kauona.
Wakati nimeuliza for gud kama ujumbe wangu aliupata au laa
Kama hutajari, mlikuwa na watoto wangapi nae.Usiniambie kabisa mwanamke wa namna hiyo. Nimeishi naye kwa miaka nane nilipitia mengi. Kibri, dharau kauli za matusi, kujipangia apendavyo.
Nilipofika hatua ya kuchoka kabisa sikuomba ushauri kwa MTU. Nilibwaga manyanga jumla.
Kwa sasa Nina Amani ya Moyo na afya tele. Najisikia wa furaha haswaaa.
Kutuma matumizi kwa watoto siyo kazi kubwa nitawalea hivyo hivyo nao watakuwa watu wazima.
Unaweza kufa kwa sukari na BP kwa ajili ya MTU ambaye haukuzaliwa naye kwa kisingizio cha watoto et nani atawalea.
Lakini pia kutokana na hasira za Mara kwa Mara unaweza kufanya maamzi mabaya bila kutarajia na ndo hiyo ikawa mbaya zaidi.
Ukichoka tu utaachia. Mwanamke Mjeuri havumiliki maisha yote.
Inawezekana huyo mwanamke anacho kitu chatofauti kinachofanya jamaa ashindwe kumuacha. Just like you unavyoshindwa kumuacha mchepuko wako. Siyo rahisi kihivyo! Hahaha 😆Nakazia
Sawa mke wa kakaNilijua tu comment ya kukaririshana haitakosa.
Usimdanganye mwenzio akaja kung'olewa meno si wanawake wote wa kuchapaal makofiAkileta mdomo, chapa makofi ya maana, siku nyingine atatii maana anajua Nini kitafuata.
Hakuna mamma ya kuishi naeShida ya mwanamke wangu ni jeuri halafu akikosea ni mgumu kuomba msamaha
Ukimwelekeza jambo ambapo obvious amekosea yaani hakubali na ataanzisha ligi hiyo mpaka unafika hatua unaona bora yaishe unajifanya mjinga kwa muda ili mradi mambo yaishe .
Kwa kifupi mwanamke ana kiburi hatari hapa nilipo nafikiria ni staili gani niitumie kuishi nae na pia wanawake wa aina hii dawa yao huwa ni nini ifike hatua kiburi kipungue na kisirani ifike hatua ajue wewe kidume hata anapoenda wrong directions iwe rahisi kurekebishika na kuelezekeka.
Imagine kama leo hii nilimtext asubuhi hakunijibu badae alivyonitafuta mida ya jioni saa 12 nakuja kumuuliza uliona ujumbe wangu asubuhi hanipi majibu ya kueleweka
Nilivyomuuliza mara ya pili akaanza kunijibu kwa hasira na kisirani vitu havieleweki mwisho wa siku ananiona kaa mie mkorofi kwanini nimemuuliza haya maswali kama ujumbe wangu kauona.
Wakati nimeuliza for gud kama ujumbe wangu aliupata au laa
Unahis uliyenaye anakupenda?Hapo unalazimisha kukaa usipopendwa.
KabisaAnaekuchapia ndie anampa kiburi
Kwake wewe ni very low profile. Huwezi kumbadilisha, just buy time, mwisho wake hutaishia pazuri. I tell you, you'r at very profile kwake. Utamkuta anawaheshimu wengine na hawezi kubehave kama anavo fanya kwako, so wait and be ready to put your hands up and surrender the marriageShida ya mwanamke wangu ni jeuri halafu akikosea ni mgumu kuomba msamaha
Ukimwelekeza jambo ambapo obvious amekosea yaani hakubali na ataanzisha ligi hiyo mpaka unafika hatua unaona bora yaishe unajifanya mjinga kwa muda ili mradi mambo yaishe .
Kwa kifupi mwanamke ana kiburi hatari hapa nilipo nafikiria ni staili gani niitumie kuishi nae na pia wanawake wa aina hii dawa yao huwa ni nini ifike hatua kiburi kipungue na kisirani ifike hatua ajue wewe kidume hata anapoenda wrong directions iwe rahisi kurekebishika na kuelezekeka.
Imagine kama leo hii nilimtext asubuhi hakunijibu badae alivyonitafuta mida ya jioni saa 12 nakuja kumuuliza uliona ujumbe wangu asubuhi hanipi majibu ya kueleweka
Nilivyomuuliza mara ya pili akaanza kunijibu kwa hasira na kisirani vitu havieleweki mwisho wa siku ananiona kaa mie mkorofi kwanini nimemuuliza haya maswali kama ujumbe wangu kauona.
Wakati nimeuliza for gud kama ujumbe wangu aliupata au laa
Shida ya mwanamke wangu ni jeuri halafu akikosea ni mgumu kuomba msamaha