YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,904
Je, ni sahihi wabunge wa Zanzibar kukaa Bungeni wakati hoja za wizara zisizo za muungano zikijadiliwa kwenye bajeti nk
Na je Ni sahihi wao kuwemo kamati za bunge za mambo yasiyo ya muungano?
Wanatakiwa wahudhurie vikao tu vinavyohusu Mambo ya muungano tu sio yote. Yanayotuhusu watanganyika wasihudhudhurie warudi kwao Zanzibar sababu Sisi bara huwa hatuendi kuhudhuria vikao vya Baraza la wawakilishi na kuwemo kamati zao za Baraza la wawakilishi hii Ni kero ya Muungano.
Na je Ni sahihi wao kuwemo kamati za bunge za mambo yasiyo ya muungano?
Wanatakiwa wahudhurie vikao tu vinavyohusu Mambo ya muungano tu sio yote. Yanayotuhusu watanganyika wasihudhudhurie warudi kwao Zanzibar sababu Sisi bara huwa hatuendi kuhudhuria vikao vya Baraza la wawakilishi na kuwemo kamati zao za Baraza la wawakilishi hii Ni kero ya Muungano.