Kwema Wakuu?
Nimeanza Ujenzi wa Nyumba yenye Hidden Roof, na nishapiga kozi 10 nataka sasa nianze kwenye Linta kwenda juu kozi 6 pamoja na kibaraza na mifereji yake ya maji.
Katika "quotations" nilizopata kutoka kwa mafundi kama watatu hivi kuna mmoja ameniambia kua lile zege za mifereji ya maji yanayotoka kwenye bati tutatumia nondo milimita 10 sababu ni maji tu yatakayopita mule, sio zege la kuweka kitu juu yake.
Amesema kuweka nondo za milimita 12 ni sawa lakini sio lazima so long as hilo zege ni la kupitishia maji tu so kwa ajili ya bajeti minimization of cost basi nichukue tu za 10mm.
Naombeni ushauri wenu wakuu, mnaonaje huu ushauri wa huyu fundi? Bado sija conclude ndio niko kwenye kuchanganua hizi quotations nione niende na yupi.
Nimeanza Ujenzi wa Nyumba yenye Hidden Roof, na nishapiga kozi 10 nataka sasa nianze kwenye Linta kwenda juu kozi 6 pamoja na kibaraza na mifereji yake ya maji.
Katika "quotations" nilizopata kutoka kwa mafundi kama watatu hivi kuna mmoja ameniambia kua lile zege za mifereji ya maji yanayotoka kwenye bati tutatumia nondo milimita 10 sababu ni maji tu yatakayopita mule, sio zege la kuweka kitu juu yake.
Amesema kuweka nondo za milimita 12 ni sawa lakini sio lazima so long as hilo zege ni la kupitishia maji tu so kwa ajili ya bajeti minimization of cost basi nichukue tu za 10mm.
Naombeni ushauri wenu wakuu, mnaonaje huu ushauri wa huyu fundi? Bado sija conclude ndio niko kwenye kuchanganua hizi quotations nione niende na yupi.