macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 22,608
- 41,671
Hii y akupiga marungu ilikuwa ni miaka ya zamani sana. Siku hizi ''mdudu'' anachinjwa kama ng'ombe tu.Kama vile Wakristo wanavyompiga marungu nguruwe kisha wanamchinja. Vile haifai.
Na pale hujachinja, kuchinja ni kuua kwa kukata shingo. Ukishampiga marungu akafa inakuwa unamkata kata tu. Hiyo haifai.