Hata iliyoandikwa hivyo mtu anatumia kwa imani tu. Ataaminije kama haijaandikwa kwa lengo tu la kumridhisha lakini kanuni ya uchinjaji haikuzingatiwa?Hizo bidhaa huwa zinaandikwa HALAL,,zikimaanisha zimefuata sheria za kiislamu
Hao ni Waislamu jina.Pombe wanakunywa sembuse nyama tena ya kuku. Wengine hata kitimoto wanakula.
Nafikiri ndivyo Sheria inavyoelekeza.Kwa hiyo machinjio yote wanaochinja ni waislam
Ova
Imani ni kitu sensitive sana mkuu! Epuka kukejeli dini ya mtu🙏Hiyo dini ya hovyo sana
Inawezekana ni kwa sababu zifuatazo:Ule mwezi biashara inadoda sana. Sana yaani.
kulen huku ana angaliaKuheshimu imani ya mtu, hasa katika nchi isiyo na dini, ni suala nyeti sana. Ndiyo maana Watanzania wengi wanapotaka kufanya sherehe, kama si Waislamu, huhakikisha kuwa mchinjaji wa nyama itakayotumika ni Muislamu.
Lakini itakuwaje ikiwa wewe si Muislamu na ukatembelewa ghafla na rafiki Muislamu wakati unamla kuku uliyemchinja mwenyewe?
1. Utamkaribisha kujumuika nawe pamoja na kuwa unajua ulichinja bila kuzingatia imani ya Kiislamu?
2. Utamjulisha ukweli kuwa ulimchinja wewe mwenyewe ili aamue mwenyewe?
3. Utamwambia asubirie umwandalie cha kwake?
Upi utakuwa uamuzi wa busara?
Mambo ya iman hayo, kila mmoja afuate imani yake ila imani ya mtu mmoja isiwe kero kwa wengine wasiyoiamini.Hataji jina la Allah
Nani kasema?Muslim ndo anachinja kaka..
Kwann uchinje..? Wakat unajua kbsaa wa kristo haitakiw kuchinja. ?
Muislamu aliyeshika dini yake hali kitimoto, haijalishi ilivyochinjwa.
Kitimoto ni haramu kwa Muislamu. Hawezi kuigusa.