Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 5,356
- 8,066
Kama huwezi kutambua kuwa magufuli alikuwa na PhD feki basi kichwa chako ni bustani ya nywele.Wewe kilaza kweli. Hilo swali ndo inatakiwa uulizwe wewe. Anayetakiwa kuleta ushahidi ni yule aliyetoa mashtaka. Kwa vile ben hayupo, tuletee wewe kibaraka wa gang lenu, ushahidi kwamba hakuna thesis. Siyo utoe shutuma then eti jpm ajitetee, leta ushahidi ndo tutajua ni ukweli au matango pori