Elitwege
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 5,154
- 10,809
Baada ya Rais Samia leo kuweka bayana kuwa atajitosa kuwania urais mwaka 2025 ni dhahiri sasa mpambano wa kuwania kiti hicho utakuwa kati yake na makamu mwenyekiti wa Chadema aliyekimbilia Ubelgiji Tundu Lissu.
Kuanzia sasa wananchi wataanza kuwachekecha kwenye chujio kali la nani anafaa zaidi muda utakapofika.
Kuanzia sasa wananchi wataanza kuwachekecha kwenye chujio kali la nani anafaa zaidi muda utakapofika.