Ni Rais.........

Ni Rais.........

Ni rais mwanaye anaitwa MWANAISHA yule aliyepata division 4 shule nzima mwenyewe.
 
Nahisi pia ni Raisanependa kuchezea akili za watu kwa kutumia slogan tofauti tofauti za kibwege
kama vile kujivua ga......
hali mp..... nguvu........ na kasi......
samahani lakini!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Ni Rais ambae akimaliza muda wake, hatatamani kuweka urais kwenye cv yake
 
Ni rais anayesahau maneno yake mwenyewe(ahad ktk kampeni),ni rais anayepima maendeleo kwa foleni za magari Dar!
 
Ni Rais wa kwanza wa Danganyika,ambae aliwasababishia wadanganyika kuwa masikini wa kutupwa.Kuwaweka wadanganyika katika jela za wazi(vijiji vya ujamaa) na kuwa chakula cha simba.Mungu ampe adhabu ya milele huko aliko.
 
Ka mtakatifu, nothing wil harm Him/Her @ Bothlegs
 
Back
Top Bottom