ni raisi anayeitwa Doctor wakati aliyefanya mambo makubwa nchi hii anaitwa mwalimu!
iyo akili ya maiti ipoje? unipm, nimeipenda xana:target::target:Ni Rais kilaza Afrika nzima.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Ni Raisi alimuondoa Wizara/Waziri wa Mipango na kumuweka Waziri asiye na kazi maalumu
Kumbe nina ndugu humu? Nami Kimbori
mtake msitake...ni raisi wenu, tena kapita kwa terms zote mbili