Hakuna mwanamke anaye penda na kuvumilia mwanaume masikini, mwanaume masikini ni mzigo mzito kwa mwanamke

Loading failed

JF-Expert Member
Sep 14, 2023
1,945
5,849
Ndugu zangu wana Jf wanaume wengi sana hawatopenda kusikia ukweli huu maana unachoma kama moto kwa kisingizio cha masikini naye ana haki ya kupendwa na msemo wa mwanaume tafuta hela kuuchukulia kama ni msemo unaotolewa na wanawake malaya malaya.

Ifahamike wazi kuwa hakuna mwanamke yeyote chini ya mbingu anayeweza kumvumilia mwanaume masikini na hatokuja kuwepo, ukiona wewe ni masikini na unamiliki mwanamke jua wewe ni mjinga na muda ni jawabu zuri sana ipo siku mtaachana tuu au utachapiwa vilivyo

ikumbukwe kabla ya adamu kuumbwa katika misingi ya dunia Mwenyezi Mungu alimuumbia kwanza utajiri, alimjengea hadi bustani , wanyama wakila aina kwa jinsia zake, mimea ya mabondeni na makondeni, falme za kila jinsi na kwa namna zake, mito, maziwa ,bahari navyo viliumbwa, ndege na wadudu watambaao nao waliumbwa kwa kila namna zake, na mianga na giza kwa majira na namna zake, aliviumba na akampa adamu mamlaka , nguvu , utajiri na kazi za kila aina ikiwemo na kuitunza bustani pamoja na kuwapa majina viumbe hai wote wakila aina na kuwatawala ( mamlaka ya kutawala na kumiliki)

Baadae aliona siyo vyema akamuumbia msaidizi ambaye ni mwanamke, mwanamke alikuja na akamkuta adamu akiwa na utajiri wa kila aina na hakumkuta adamu akiwa masikini kama wanaume wa sasa tunavyo danganyana eti usitafute mwanamke ukiwa tajiri tafuta ukiwa masikini. Ewe mwanaume masikini usitarajie kabisa wewe masikini mwanamke akaja kwako na kukuvumilia.

Mwanamke hakupewa jukumu la kumvumilia mwanaume masikini bali alipewa jukumu la kumsaidia mwanaume tajiri tokea enzi na enzi kwa kumtii na mwanaume tajiri alipewa amri ya kumpenda na kutumia akili kuishi na huyo mwanamke kama chombo kisicho na nguvu.

Ikumbukwe utajiri siyo tuu uwe na hela au mali nyingi hata hizo chache ulizo nazo ni utajiri tosha kikubwa mwanaume uwe na utajiri utakao chochea mapenzi baina yako na mwanamke wako uliyepewa , mwanaume masikini asiye na chochote hapaswi kuwa na mwanamke lazima ajijenge kwanza ndipo atafute mwanamke.

mwanaume masikini hawezi kuwa na mwanamke kwa sababu-;

*Mwanaume masikini ni mzigo kwa mkewe na wanawe hawezi kutoa huduma ndani ya nyumba kabisa kabisa

*Mwanaume masikini kwa ujinga wake na kutokujitambua yeye ni kuhangaika kumwaminisha mwanamke maisha ni kuanzia chini kama kisingizio cha asiachwe

*Mwanaume masikini kutwa anawaza kusema yeye ni wakukosa tuu , kunung'unika na kubaki kuwasema wanaume matajiri vibaya badala atoke na kutafuta utajiri na heshima kwa bidii.

*Mwanaume masikini kutwa yeye ni kuona mwanamke ana mwonea , hampendi anamsaliti na anampanda kichwani yeye kazi yake ni kushindana na mwanamke kila kukicha

*Mwanaume masikini hana sauti ya mamlaka, kapoteza uwezo na nguvu za mamlaka akiamini kuwa masikini hana haki ya kuzungumza na kuongoza

*Mwanaume masikini hawezi kumtunza mwanamke, hawezi kuhudumia familia wala kutengeneza malazi na chakula kizuri kwa familia yake na mke wake, yeye ni kuwaza kimasikini masikini tuu

*Mwanaume masikini ni mwoga, mwenye hofu kuu ya kutongoza wanawake wazuri akiamini siyofungu lake daima ni mnyonge na dhaifu

*Mwanaume masikini bomani kwake hakuishi maradhi, njaa, kiu na hakuma amani kabisa.

* Mwanaume masikini ni mvivu na hawezi kuwa na kizazi tajiri maana mtoto wa masikini ni masikini na umasikini ni laana

* Mwanaume masikini hawezi kuwa mlinzi wa mke wake wala familia yake, hana uwezo wa kuwalinda kwa lolote kwani ni mnyonge, duni , dhaifu sana , na mwenye kulaumu kila kukicha badala ya kupambama vilivyo aondokane na umasikini

hivyo wanaume tambueni kuwa hakuna mwanamke atakaye vumilia mwanaume masikini huyo hayupo na hato kaa awepo , fanyani kazi acheni kujitia moyo mwanaume ni kupambana na kuwajibika vilivyo ili upende na upate mke mwema mtakaye endana nae tena wa kufanana na wewe.

kama unabishana na mimi filisika uijue tabia ya mke au mwanamke wako
 
Ulichoandika hapa ni mawazo yako, hakuna ithibati yeyote, umefanya conclusion kutokea kwa watu waliokutana kwa bahati mbaya na sio kwa habari ya upendo...

Msingi wa ndoa yeyote hupaswa kujengwa juu ya upendo, na hizi ndizo sifa za upendo...

Upendo huvumilia, hufadhili; upendo hauhusudu; upendo hautakabari; haujivuni; haukosi kuwa na adabu; hautafuti mambo yake; hauoni uchungu; hauhesabu mabaya; haufurahii udhalimu, bali hufurahi pamoja na kweli; huvumilia yote; huamini yote; hutumaini yote; hustahimili yote. Upendo haupungui neno wakati wo wote...
 
Ndugu zangu wana Jf wanaume wengi sana hawatopenda kusikia ukweli huu maana unachoma kama moto kwa kisingizio cha masikini naye ana haki ya kupendwa na msemo wa mwanaume tafuta hela kuuchukulia kama ni msemo unaotolewa na wanawake malaya malaya.

Ifahamike wazi kuwa hakuna mwanamke yeyote chini ya mbingu anayeweza kumvumilia mwanaume masikini na hatokuja kuwepo, ukiona wewe ni masikini na unamiliki mwanamke jua wewe ni mjinga na muda ni jawabu zuri sana ipo siku mtaachana tuu au utachapiwa vilivyo

ikumbukwe kabla ya adamu kuumbwa katika misingi ya dunia Mwenyezi Mungu alimuumbia kwanza utajiri, alimjengea hadi bustani , wanyama wakila aina kwa jinsia zake, mimea ya mabondeni na makondeni, falme za kila jinsi na kwa namna zake, mito, maziwa ,bahari navyo viliumbwa, ndege na wadudu watambaao nao waliumbwa kwa kila namna zake, na mianga na giza kwa majira na namna zake, aliviumba na akampa adamu mamlaka , nguvu , utajiri na kazi za kila aina ikiwemo na kuitunza bustani pamoja na kuwapa majina viumbe hai wote wakila aina na kuwatawala ( mamlaka ya kutawala na kumiliki)

Baadae aliona siyo vyema akamuumbia msaidizi ambaye ni mwanamke, mwanamke alikuja na akamkuta adamu akiwa na utajiri wa kila aina na hakumkuta adamu akiwa masikini kama wanaume wa sasa tunavyo danganyana eti usitafute mwanamke ukiwa tajiri tafuta ukiwa masikini. Ewe mwanaume masikini usitarajie kabisa wewe masikini mwanamke akaja kwako na kukuvumilia.

Mwanamke hakupewa jukumu la kumvumilia mwanaume masikini bali alipewa jukumu la kumsaidia mwanaume tajiri tokea enzi na enzi kwa kumtii na mwanaume tajiri alipewa amri ya kumpenda na kutumia akili kuishi na huyo mwanamke kama chombo kisicho na nguvu.

Ikumbukwe utajiri siyo tuu uwe na hela au mali nyingi hata hizo chache ulizo nazo ni utajiri tosha kikubwa mwanaume uwe na utajiri utakao chochea mapenzi baina yako na mwanamke wako uliyepewa , mwanaume masikini asiye na chochote hapaswi kuwa na mwanamke lazima ajijenge kwanza ndipo atafute mwanamke.

mwanaume masikini hawezi kuwa na mwanamke kwa sababu-;

*Mwanaume masikini ni mzigo kwa mkewe na wanawe hawezi kutoa huduma ndani ya nyumba kabisa kabisa

*Mwanaume masikini kwa ujinga wake na kutokujitambua yeye ni kuhangaika kumwaminisha mwanamke maisha ni kuanzia chini kama kisingizio cha asiachwe

*Mwanaume masikini kutwa anawaza kusema yeye ni wakukosa tuu , kunung'unika na kubaki kuwasema wanaume matajiri vibaya badala atoke na kutafuta utajiri na heshima kwa bidii.

*Mwanaume masikini kutwa yeye ni kuona mwanamke ana mwonea , hampendi anamsaliti na anampanda kichwani yeye kazi yake ni kushindana na mwanamke kila kukicha

*Mwanaume masikini hana sauti ya mamlaka, kapoteza uwezo na nguvu za mamlaka akiamini kuwa masikini hana haki ya kuzungumza na kuongoza

*Mwanaume masikini hawezi kumtunza mwanamke, hawezi kuhudumia familia wala kutengeneza malazi na chakula kizuri kwa familia yake na mke wake, yeye ni kuwaza kimasikini masikini tuu

*Mwanaume masikini ni mwoga, mwenye hofu kuu ya kutongoza wanawake wazuri akiamini siyofungu lake daima ni mnyonge na dhaifu

*Mwanaume masikini bomani kwake hakuishi maradhi, njaa, kiu na hakuma amani kabisa.

* Mwanaume masikini ni mvivu na hawezi kuwa na kizazi tajiri maana mtoto wa masikini ni masikini na umasikini ni laana

* Mwanaume masikini hawezi kuwa mlinzi wa mke wake wala familia yake, hana uwezo wa kuwalinda kwa lolote kwani ni mnyonge, duni , dhaifu sana , na mwenye kulaumu kila kukicha badala ya kupambama vilivyo aondokane na umasikini

hivyo wanaume tambueni kuwa hakuna mwanamke atakaye vumilia mwanaume masikini huyo hayupo na hato kaa awepo , fanyani kazi acheni kujitia moyo mwanaume ni kupambana na kuwajibika vilivyo ili upende na upate mke mwema mtakaye endana nae tena wa kufanana na wewe.

kama unabishana na mimi filisika uijue tabia ya mke au mwanamke wako


Agiza breakfast mkuu ntalipia
 
Una hoja za msingi hakuna mji uliofanikiwa kama kimamlaka mwanaume amepokonywa na mwanamke, utafokaje na kuamrisha kama huna nguvu ya pesa, watoto watakutiije punde wakiwa wamekosea watakuona mzee chenga tu, jamii pia inamchukia sana mwanaume tegemezi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani wanaume tutafute pesa huwezi ukatafuta kazi ukaikosa kabisa hata kama itakuchukua miaka 10 kazi utaipata mtafutaji hachoki akichoka amepata,
 
Ulichoandika hapa ni mawazo yako, hakuna ithibati yeyote, umefanya conclusion kutokea kwa watu waliokutana kwa bahati mbaya na sio kwa habari ya upendo...

Msingi wa ndoa yeyote hupaswa kujengwa juu ya upendo, na hizi ndizo sifa za upendo...

Upendo huvumilia, hufadhili; upendo hauhusudu; upendo hautakabari; haujivuni; haukosi kuwa na adabu; hautafuti mambo yake; hauoni uchungu; hauhesabu mabaya; haufurahii udhalimu, bali hufurahi pamoja na kweli; huvumilia yote; huamini yote; hutumaini yote; hustahimili yote. Upendo haupungui neno wakati wo wote...
Misngi ya ndoa hujengwa kwa uchumi mzuri uwe wa chini , wakati au wajuu zaidi ambavyo hufungamanishwa na upendo kutoka kwa mwanaume kwenda kwa mwanamke na pia utii kutoka kwa mwanamke kwenda kwa mwanaume.

Huwezi kuwa fukara ukatarajia ndoa yenye misingi imara. Hapo hakuna ndoa wala upendo wala utii ni hulka na tamaa mbaya za ngono tuu zimetawala kati yenu na siyo vinginevyo.
 
Ndugu zangu wana Jf wanaume wengi sana hawatopenda kusikia ukweli huu maana unachoma kama moto kwa kisingizio cha masikini naye ana haki ya kupendwa na msemo wa mwanaume tafuta hela kuuchukulia kama ni msemo unaotolewa na wanawake malaya malaya.

Ifahamike wazi kuwa hakuna mwanamke yeyote chini ya mbingu anayeweza kumvumilia mwanaume masikini na hatokuja kuwepo, ukiona wewe ni masikini na unamiliki mwanamke jua wewe ni mjinga na muda ni jawabu zuri sana ipo siku mtaachana tuu au utachapiwa vilivyo

ikumbukwe kabla ya adamu kuumbwa katika misingi ya dunia Mwenyezi Mungu alimuumbia kwanza utajiri, alimjengea hadi bustani , wanyama wakila aina kwa jinsia zake, mimea ya mabondeni na makondeni, falme za kila jinsi na kwa namna zake, mito, maziwa ,bahari navyo viliumbwa, ndege na wadudu watambaao nao waliumbwa kwa kila namna zake, na mianga na giza kwa majira na namna zake, aliviumba na akampa adamu mamlaka , nguvu , utajiri na kazi za kila aina ikiwemo na kuitunza bustani pamoja na kuwapa majina viumbe hai wote wakila aina na kuwatawala ( mamlaka ya kutawala na kumiliki)

Baadae aliona siyo vyema akamuumbia msaidizi ambaye ni mwanamke, mwanamke alikuja na akamkuta adamu akiwa na utajiri wa kila aina na hakumkuta adamu akiwa masikini kama wanaume wa sasa tunavyo danganyana eti usitafute mwanamke ukiwa tajiri tafuta ukiwa masikini. Ewe mwanaume masikini usitarajie kabisa wewe masikini mwanamke akaja kwako na kukuvumilia.

Mwanamke hakupewa jukumu la kumvumilia mwanaume masikini bali alipewa jukumu la kumsaidia mwanaume tajiri tokea enzi na enzi kwa kumtii na mwanaume tajiri alipewa amri ya kumpenda na kutumia akili kuishi na huyo mwanamke kama chombo kisicho na nguvu.

Ikumbukwe utajiri siyo tuu uwe na hela au mali nyingi hata hizo chache ulizo nazo ni utajiri tosha kikubwa mwanaume uwe na utajiri utakao chochea mapenzi baina yako na mwanamke wako uliyepewa , mwanaume masikini asiye na chochote hapaswi kuwa na mwanamke lazima ajijenge kwanza ndipo atafute mwanamke.

mwanaume masikini hawezi kuwa na mwanamke kwa sababu-;

*Mwanaume masikini ni mzigo kwa mkewe na wanawe hawezi kutoa huduma ndani ya nyumba kabisa kabisa

*Mwanaume masikini kwa ujinga wake na kutokujitambua yeye ni kuhangaika kumwaminisha mwanamke maisha ni kuanzia chini kama kisingizio cha asiachwe

*Mwanaume masikini kutwa anawaza kusema yeye ni wakukosa tuu , kunung'unika na kubaki kuwasema wanaume matajiri vibaya badala atoke na kutafuta utajiri na heshima kwa bidii.

*Mwanaume masikini kutwa yeye ni kuona mwanamke ana mwonea , hampendi anamsaliti na anampanda kichwani yeye kazi yake ni kushindana na mwanamke kila kukicha

*Mwanaume masikini hana sauti ya mamlaka, kapoteza uwezo na nguvu za mamlaka akiamini kuwa masikini hana haki ya kuzungumza na kuongoza

*Mwanaume masikini hawezi kumtunza mwanamke, hawezi kuhudumia familia wala kutengeneza malazi na chakula kizuri kwa familia yake na mke wake, yeye ni kuwaza kimasikini masikini tuu

*Mwanaume masikini ni mwoga, mwenye hofu kuu ya kutongoza wanawake wazuri akiamini siyofungu lake daima ni mnyonge na dhaifu

*Mwanaume masikini bomani kwake hakuishi maradhi, njaa, kiu na hakuma amani kabisa.

* Mwanaume masikini ni mvivu na hawezi kuwa na kizazi tajiri maana mtoto wa masikini ni masikini na umasikini ni laana

* Mwanaume masikini hawezi kuwa mlinzi wa mke wake wala familia yake, hana uwezo wa kuwalinda kwa lolote kwani ni mnyonge, duni , dhaifu sana , na mwenye kulaumu kila kukicha badala ya kupambama vilivyo aondokane na umasikini

hivyo wanaume tambueni kuwa hakuna mwanamke atakaye vumilia mwanaume masikini huyo hayupo na hato kaa awepo , fanyani kazi acheni kujitia moyo mwanaume ni kupambana na kuwajibika vilivyo ili upende na upate mke mwema mtakaye endana nae tena wa kufanana na wewe.

kama unabishana na mimi filisika uijue tabia ya mke au mwanamke wako
Nani anatakiwa kuwa mvumilivu? Mke au mme? Superior ndiye anayevumilia! Ikiwa na maana mme umvumilia mke! Mke (inferior) anatii (obey). Akikataa kutii anakuwa amehasi (muhasi). Ndo maana nasema dish (upstairs) limeyumba. Hivi unaweza kukaa na mwanamke alafu akakutishia "unajua nakuvumilia??". Huyo ni mpumbavu! Yakimshinda anaondoka zake! Mwanaume ukimvumilia akakushinda unamtimua (fukuza)
 
Unapimaje utajiri wa mtu?
Maana kama ingekuwa hivo hata vijijini wanawake wote wasingekubali kiolewa wakaanza Maisha kwenye nyumba za tope.wangekimbilia mjini kuwatafuta matajiri.
Mkuu hata yule mzoa takataka ana mke na ana mtoto,hata mzibua chemba za choo ana mke,hata kibaka ana mke,hata anahangaika Kwa siku aingize 4000 ikamsaide kesho ana mke.
 
Una hoja za msingi hakuna mji uliofanikiwa kama kimamlaka mwanaume amepokonywa na mwanamke, utafokaje na kuamrisha kama huna nguvu ya pesa, watoto watakutiije punde wakiwa wamekosea watakuona mzee chenga tu, jamii pia inamchukia sana mwanaume tegemezi haijalishi hali ni ngumu kiasi gani wanaume tutafute pesa huwezi ukatafuta kazi ukaikosa kabisa hata kama itakuchukua miaka 10 kazi utaipata mtafutaji hachoki akichoka amepata,
Na mwenye akili naaelewe neno hili,
 
Nani anatakiwa kuwa mvumilivu? Mke au mme? Superior ndiye anayevumilia! Ikiwa na maana mme umvumilia mke! Mke (inferior) anatii (obey). Akikataa kutii anakuwa amehasi (muhasi). Ndo maana nasema dish (upstairs) limeyumba
Mwanamke hawezi kumtii mwanaume masikini wala kumvumilia kwa lolote lile, mwanaume masikini hawezi kumvumilia mwanamke wake akiamini wazi kapokonywa mamlaka ndiyo maana wanaume wengi sahivi wanakimbia ndoa kisa kuzidiwa majukumu kutokana na umasikini wao. Mwanamke anahitaji security kutoka kwa mwanaume. Mwanaume masikini hawezi kumpa security yeyote ile mwanamke wake.
 
Back
Top Bottom