Van pebles
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 3,547
- 5,938
......
Mi nazipenda hizi riwaya za James Hadley Chase na za yule wa animal farm zilizomo humu JF. Ile ya nineteen eighty four nayo umeisoma?Waulize watalaka na watalikiwa watakuambia. Kwenda kwenye ndoa ni rahisi kuliko kurudi kwenye ndoa baada ya kuondoka kwenye ndoa.
Kijana wangu alipewa suspension shuleni nikaambiwa nikamchukue nirudi naye nyumbani. Kwenda kumchukua ilikuwa rahisi. Kumrudisha imekuwa ngumu sana.
Mambo yalipoharibika Sodoma Lutu aliondoka na familia yake lakini mkewe akataka kurudi hivyo akageuka nyuma na kugeuka kuwa jiwe la chumvi.
Kipigo kwenye ulingo wa ndondi kikikupeleka chini na ukachelewa kusimama hutaweza tena kurejea ulingoni uendelee na mapigano. Hata mpiganishi akikuhesabia mpaka kumi.
Kuna kitu kwenye saikolojia kinaitwa confidence. Wana usalama wanalifundishwa sana. Kumwangalia mtu usoni machoni bila kupepesa, akiangusha tu macho chini hawezi kurudi kukuangalia tena!
Mashindano hayakimbiwi. Ukiyakimbia tambua umekubali kutema bungo
Mtunzi mahiri JAMES HADLEY CHASE ana riwaya yake moja inaitwa THE GUILTY ARE AFRAID! yaani wenye hatia wana hofu na hukimbia hata wasipokimbizwa.
Hatia humfanya mtu akimbie hata kivuli chake mwenyewe!
Ni sawa tu na, kunguru mwoga ambaye hukimbiza bawa lake. Maana hajiamini amejawa hofu na kujihisi mwenye hatia
Kwenda ni rahisi kuliko kurudi!!!
In a matter of days, the so called 'King maker' will be revealed to be nothing but a mere clown in a disguise of a warrior. In the revelation process, the whole circus is going down with him.💥✌🏿🔨📌🔨❗The seemingly overly confident, are often the biggest of cowards, all it takes is one confrontation to reveal their true nature, cowardice.
The one confrontation has happened, let's sit and wait for the crumble of the 'mighty' ones.
In a matter of days, the so called 'King maker' will be revealed to be nothing but a mere clown in a disguise of a warrior. In the revelation process, the whole circus is going down with him.
Kati ya novel zake 84 nimesoma 76.. Nikivutiwa zaidi za alizochapa PANTHER.. Yeye huchagua zile kaliMi nazipenda hizi riwaya za James Hadley Chase na za yule wa animal farm zilizomo humu JF. Ile ya nineteen eighty four nayo umeisoma?
Kati ya novel zake 84 nimesoma 76.. Nikivutiwa zaidi za alizochapa PANTHER.. Yeye huchagua zile kaliMi nazipenda hizi riwaya za James Hadley Chase na za yule wa animal farm zilizomo humu JF. Ile ya nineteen eighty four nayo umeisoma?
Duuh Trump is something else broTrump alipigwa KWENYE uchaguzi akakubali hakufanya fujo akugoma, akaenda kujipanga upya na akarudi na akshinda kwa kishindo. Nilicho jifunza ukiona ugumu usilazimishe nenda kajipange rejea TENA KWENYE MAPAMBANO ukiona pumzi imekata sepa utaumia ukilazimisha, we nenda kajipange RUDI upya MPAKA KIFO kikuzuie rasmi. Bahati haiji mara mbili no ushapitwa na wakati huo msemo dunia IKO spidi mambo yanabadilika zamani stendi ILIKUA ubungo SIKU HIZI HAIPO TENA IKO mbezi.
Bro Alex on da beats
Waulize watalaka na watalikiwa watakuambia. Kwenda kwenye ndoa ni rahisi kuliko kurudi kwenye ndoa baada ya kuondoka kwenye ndoa.
Kijana wangu alipewa suspension shuleni nikaambiwa nikamchukue nirudi naye nyumbani. Kwenda kumchukua ilikuwa rahisi. Kumrudisha imekuwa ngumu sana.
Mambo yalipoharibika Sodoma Lutu aliondoka na familia yake lakini mkewe akataka kurudi hivyo akageuka nyuma na kugeuka kuwa jiwe la chumvi.
Kipigo kwenye ulingo wa ndondi kikikupeleka chini na ukachelewa kusimama hutaweza tena kurejea ulingoni uendelee na mapigano. Hata mpiganishi akikuhesabia mpaka kumi.
Kuna kitu kwenye saikolojia kinaitwa confidence. Wana usalama wanalifundishwa sana. Kumwangalia mtu usoni machoni bila kupepesa, akiangusha tu macho chini hawezi kurudi kukuangalia tena!
Mashindano hayakimbiwi. Ukiyakimbia tambua umekubali kutema bungo
Mtunzi mahiri JAMES HADLEY CHASE ana riwaya yake moja inaitwa THE GUILTY ARE AFRAID! yaani wenye hatia wana hofu na hukimbia hata wasipokimbizwa.
Hatia humfanya mtu akimbie hata kivuli chake mwenyewe!
Ni sawa tu na, kunguru mwoga ambaye hukimbiza bawa lake. Maana hajiamini amejawa hofu na kujihisi mwenye hatia
Kwenda ni rahisi
Mabawa yamsaidie ili aende wapi wakati wenye nyumba hawamtaki?Endapo mende atadondoka na kuanguka Chali miguu juu basi mabawa yake pekee ndio msaada wake. Mabawa yakishindwa kumsaidia tunahitimisha kwa kauli ya kifo cha mende. Je, mabawa yake yatamsaidia?
No Reform No Election.CCM ilitaka hivyo tangu 2019 hadi sasa na wataendelea hivyo hivyo hata CHADEMA ikishiriki uchaguzi kuwachukulia Wanawake kama wabunge wa viti maalum kutoka CHADEMA ili wapate misaada kutoka kwa mabwanyenye wao Ulaya na Marekani wanaoamini katika mfumo jike.Mashindano hayakimbiwi. Ukiyakimbia tambua umekubali kutema bungo
Chadema hao wametema bungo!
JF ianze kuwalipa content writters, kama hawa.Waulize watalaka na watalikiwa watakuambia. Kwenda kwenye ndoa ni rahisi kuliko kurudi kwenye ndoa baada ya kuondoka kwenye ndoa.
Kijana wangu alipewa suspension shuleni nikaambiwa nikamchukue nirudi naye nyumbani. Kwenda kumchukua ilikuwa rahisi. Kumrudisha imekuwa ngumu sana.
Mambo yalipoharibika Sodoma Lutu aliondoka na familia yake lakini mkewe akataka kurudi hivyo akageuka nyuma na kugeuka kuwa jiwe la chumvi.
Kipigo kwenye ulingo wa ndondi kikikupeleka chini na ukachelewa kusimama hutaweza tena kurejea ulingoni uendelee na mapigano. Hata mpiganishi akikuhesabia mpaka kumi.
Kuna kitu kwenye saikolojia kinaitwa confidence. Wana usalama wanalifundishwa sana. Kumwangalia mtu usoni machoni bila kupepesa, akiangusha tu macho chini hawezi kurudi kukuangalia tena!
Mashindano hayakimbiwi. Ukiyakimbia tambua umekubali kutema bungo
Mtunzi mahiri JAMES HADLEY CHASE ana riwaya yake moja inaitwa THE GUILTY ARE AFRAID! yaani wenye hatia wana hofu na hukimbia hata wasipokimbizwa.
Hatia humfanya mtu akimbie hata kivuli chake mwenyewe!
Ni sawa tu na, kunguru mwoga ambaye hukimbiza bawa lake. Maana hajiamini amejawa hofu na kujihisi mwenye hatia
Kwenda ni rahisi kuliko kurudi!!!
Suspension bado zipo zama hizi au mwanao ni mtukutu aliyetukuka like father 😂Waulize watalaka na watalikiwa watakuambia. Kwenda kwenye ndoa ni rahisi kuliko kurudi kwenye ndoa baada ya kuondoka kwenye ndoa.
Kijana wangu alipewa suspension shuleni nikaambiwa nikamchukue nirudi naye nyumbani. Kwenda kumchukua ilikuwa rahisi. Kumrudisha imekuwa ngumu sana.
Mambo yalipoharibika Sodoma Lutu aliondoka na familia yake lakini mkewe akataka kurudi hivyo akageuka nyuma na kugeuka kuwa jiwe la chumvi.
Kipigo kwenye ulingo wa ndondi kikikupeleka chini na ukachelewa kusimama hutaweza tena kurejea ulingoni uendelee na mapigano. Hata mpiganishi akikuhesabia mpaka kumi.
Kuna kitu kwenye saikolojia kinaitwa confidence. Wana usalama wanalifundishwa sana. Kumwangalia mtu usoni machoni bila kupepesa, akiangusha tu macho chini hawezi kurudi kukuangalia tena!
Mashindano hayakimbiwi. Ukiyakimbia tambua umekubali kutema bungo
Mtunzi mahiri JAMES HADLEY CHASE ana riwaya yake moja inaitwa THE GUILTY ARE AFRAID! yaani wenye hatia wana hofu na hukimbia hata wasipokimbizwa.
Hatia humfanya mtu akimbie hata kivuli chake mwenyewe!
Ni sawa tu na, kunguru mwoga ambaye hukimbiza bawa lake. Maana hajiamini amejawa hofu na kujihisi mwenye hatia
Kwenda ni rahisi kuliko kurudi!!!