Ni rahisi kwenda kuliko kurudi

Ni rahisi kwenda kuliko kurudi

The seemingly overly confident, are often the biggest of cowards, all it takes is one confrontation to reveal their true nature, cowardice.

The one confrontation has happened, let's sit and wait for the crumble of the 'mighty' ones.

In a matter of days, the so called 'King maker' will be revealed to be nothing but a mere clown in a disguise of a warrior. In the revelation process, the whole circus is going down with him.
 
Waulize watalaka na watalikiwa watakuambia... Kwenda kwenye ndoa ni rahisi kuliko kurudi kwenye ndoa baada ya kuondoka kwenye ndoa.

Kijana wangu alipewa suspension shuleni nikaambiwa nikamchukue nirudi naye nyumbani.. Kwenda kumchukua ilikuwa rahisi.. Kumrudisha imekuwa ngumu sana.

Mambo yalipoharibika Sodoma Lutu aliondoka na familia yake lakini mkewe akataka kurudi hivyo akageuka nyuma na kugeuka kuwa jiwe la chumvi.

Kipigo kwenye ulingo wa ndondi kikikupeleka chini na ukachelewa kusimama hutaweza tena kurejea ulingoni uendelee na mapigano.. Hata mpiganishi akikuhesabia mpaka kumi.

Kuna kitu kwenye saikolojia kinaitwa confidence.. Wana usalama wanalifundishwa sana.. Kumwangalia mtu usoni machoni bila kupepesa, akiangusha tu macho chini hawezi kurudi kukuangalia tena..!

Mashindano hayakimbiwi.. Ukiyakimbia tambua umekubali kutema bungo

Mtunzi mahiri JAMES HADLEY CHASE ana riwaya yake moja inaitwa THE GUILTY ARE AFRAID! yaani wenye hatia wana hofu na hukimbia hata wasipokimbizwa.

Hatia humfanya mtu akimbie hata kivuli chake mwenyewe!

Ni sawa tu na,kunguru mwoga ambaye hukimbiza bawa lake.. Maana hajiamini amejawa hofu na kujihisi mwenye hatia

Kwenda ni rahisi kuliko kurudi..!!!
Unataka kusemaje hapa mkuu!?
Mbona kama unaongea kwa code!
Na tuko katika nyakati tunduizi!
Kwamba kwenda visiwani ni rahisi kuliko kurejea ngamani?!

Kama tunataka kukuelewa hivii!
Pengine,wengine wataelewa jua likiwa limechwea!
 
The seemingly overly confident, are often the biggest of cowards, all it takes is one confrontation to reveal their true nature, cowardice.

The one confrontation has happened, let's sit and wait for the crumble of the 'mighty' ones.

In a matter of days, the so called 'King maker' will be revealed to be nothing but a mere clown in a disguise of a warrior. In the revelation process, the whole circus is going down with him.
Watajitutumua kukuonesha bado wana nguvu tele.Those clowns!
 
Watajitutumua kukuonesha bado wana nguvu tele.Those clowns!
Ushawahi ona mbabe anaeaminika kuwa ana uwezo wa kumpiga yeyote yule kupelekea kuogopewa, halafu anakuja mtu mmoja wa kawaida tu anamdindishia kupelekea mbabe kugwaya? Hii inafanya hata wale wengine waliokuwa wakiogopa kuondokwa na uoga.

Kiini cha mafanikio yao ya kufanya watakavyo ni dhana ya uoga walioujaza wenzao kuwa wao ndio kila kitu. Uthubutu wa mtu mmoja tu kuwahoji mbele ya halaiki kunatia dosari nguvu zao za kusadikika ambazo zilizinguka katika dhana ya 'kutohojiwa'.

Maswali yakiwa mengi kunapelekea uhitaji wa majibu, majibu hawana zaidi ya vitisho na ghilba (udanganyifu/ujanja). Kuna uwezekano wa kunyamazisha muuliza swali mmoja, wakiwa wengi ni lazima aidha ujibu ama uwajibike.

Inawezekana wakajitutumua kwa maigizo ya hapa na pale but in their heart of hearts they know they have hit a dead end.

Turufu yao ya mwisho itakuwa ni kutupiana lawama na kuonyeshana vidole. Alie dhaifu baina yao, ataangushiwa jumba bovu.
 
Waulize watalaka na watalikiwa watakuambia. Kwenda kwenye ndoa ni rahisi kuliko kurudi kwenye ndoa baada ya kuondoka kwenye ndoa.

Kijana wangu alipewa suspension shuleni nikaambiwa nikamchukue nirudi naye nyumbani. Kwenda kumchukua ilikuwa rahisi. Kumrudisha imekuwa ngumu sana.

Mambo yalipoharibika Sodoma Lutu aliondoka na familia yake lakini mkewe akataka kurudi hivyo akageuka nyuma na kugeuka kuwa jiwe la chumvi.

Kipigo kwenye ulingo wa ndondi kikikupeleka chini na ukachelewa kusimama hutaweza tena kurejea ulingoni uendelee na mapigano. Hata mpiganishi akikuhesabia mpaka kumi.

Kuna kitu kwenye saikolojia kinaitwa confidence. Wana usalama wanalifundishwa sana. Kumwangalia mtu usoni machoni bila kupepesa, akiangusha tu macho chini hawezi kurudi kukuangalia tena!

Mashindano hayakimbiwi. Ukiyakimbia tambua umekubali kutema bungo

Mtunzi mahiri JAMES HADLEY CHASE ana riwaya yake moja inaitwa THE GUILTY ARE AFRAID! yaani wenye hatia wana hofu na hukimbia hata wasipokimbizwa.

Hatia humfanya mtu akimbie hata kivuli chake mwenyewe!

Ni sawa tu na, kunguru mwoga ambaye hukimbiza bawa lake. Maana hajiamini amejawa hofu na kujihisi mwenye hatia

Kwenda ni rahisi kuliko kurudi!!!
Huwa sijutii kusoma post zako kiongoz
 
Lakini nisingekwepesha!
Hapa uta toboa?
FB_IMG_17522457494191626.jpg
 
Back
Top Bottom