Mfamaji
JF-Expert Member
- Nov 6, 2007
- 6,629
- 1,951
Ni raha zaidi kuwa na mke na mwana!
Usiombe ukawa na mke mzinzi.
Ni raha zaidi kuwa na mke na mwana!
Jamani ni raha sana kuwa mama. Ni nini unaweza kuelezea kutoka kwenye picha hii?
![]()
Usiombe ukawa na mke mzinzi.
Hongera sana.
Jirani yangu was not so lucky......am sorry for the picture!....but that's the cruel side of life
![]()
Sorry, lakini mbona ushaispoil siku?
Pole sana ndugu.........ni kawaida yetu humu JF kushea matatizo
Ahsante! By the way nisije nikasahau! Bado nina nafasi mbili aliye tayari namkaribisha.