Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,976
- 32,378
Hahahaaa, wee sema umefyatuliwa Wodi namba ngapi? Unajua manesi wa Dar walivyo wakorofi? Sijui matusi aliyoyapata mama wakati unafyatulia..... "Wanaume basi tena? You will be back Honey........."
Ila hujatuambia Wazazi waliku-CONCEIVE wapi? Kwenye Kivuko kwenda Chuo Cha CCM Kigamboni au Chuoni penyewe?
Au ndiyo ile mitaa ya HQ za CCM pale Mnazimmoja? Pole sana maana Lowassa kashauza hilo jengo ulipoanzia maisha.
Mie wa shamba hata sijui maana si unafahamu Shamba kila kitu ni TABU. Huwezi kuambiwa hata jina la MAMA/BABA. Ndiyo maana ukienda shule unasikia UNENE UBABA nyingi sana maana ukiulizwa jina lako unajibu (Unene - yaani MIMI) na jina la baba unajibu (Uvava).
Alitokea kijana akawa anaitwa Seleman VAVAVA kwani jina la baba alijibu ni BABA.
Mitaa ya Sikonge huko ndaaani kabisa, unaenda hadi Chabutwa na ukifika pale unashuka na kutembea kilomoita kama 5 ndani huko hata barabara hamna zaidi ya Punda na hapo kuna kitongoji kinaitwa NKEKI. Probably nilizaliwa hapo kama mama aliwahi maana vinginevyo, wengi huwa wanazaliwa shamba, kwenye kuchuma uyoga au kukata kuni.
Overly talkative...Ha! Ha! Ha!