Bulaya001
JF-Expert Member
- Dec 21, 2018
- 5,868
- 6,480
Urafk wa 4GNavuaga tu na hamna shidaa yani mpaka leo sielewag huu urafiki wetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Urafk wa 4GNavuaga tu na hamna shidaa yani mpaka leo sielewag huu urafiki wetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatzo la dem mlio marafki weng wao huamin kuw kila unachomwambia ni utan, sasa hata linapokuja swala la kumuomba kumgegeda atajua ni utani, sasa bac usimgegede kwa kumuomba ukiwa serious, yan kimasihara sihara utashangaa tu imoo!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaume wa dar wakila kiepe na maji ya kandolo ni usingz wala hawawazii game kabisaDaaa wanaume wa dar wanatudhalilisha sana,yan mwanaume analala na mwanamke bila kumtafuna???
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuki kwa ngurue, mhurumie mwanamke mwenzako..Ana demu wake mmoja hivi ukiona chatting demu anavyodatishwa hana shida mpaka simu ananiachia tu natumia demu akituma sms ananiambia mjibu tu alafu hana upendo kwa demu wake sema demu kafa kaoza full kumhong jamaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Well saidWanaume wa namna hiyo wanakuwa wameathirika kisaikolojia na kujikuta nusu ke nusu me;kwa mwanaume rijali,hakuna urafiki wa mwanamke na mwanaume wa muda mrefu usiokuwa na madhara.
Mimi sijawahi kuamini uongo huu!Sijui ni kwanini sisi wanawake tukizoeana na wanaume na kuwa marafiki sana hata wakija kututaka kimapenzi inakuwa ngumu tunaogopa.
Unakuta ni mtu wako sana yaani, mnashare kila kitu hata mizinga unampiga fresh ila kulala nae sijui unaonaje!
Ni bora ukagegedwe huko hata kama unaumizwa lakini si na rafiki yako.
Na nyie wakaka kama mnatutaka msitufanye marafiki sana bwana tunaogopa kuja kuwavulia tunakuwa tushawaona mabrother wetu wa damu eti.
Sent using Jamii Forums mobile app
hamna urafk wa mwanamke na mwanaume ukadum paspo kuombana tena kwa jinsi demiss ulivo nahis me usingemaliza round.. maana mkuki wangu hauwez kuacha kuchoma wakat anae takiwa kuchomwa yupo...
rafiki wa kike siku ukitaka kumgegeda haina haja ya kumtongoza.
Rafiki wa kike analiwa kishkaji tena hata neno nakupenda usimwambie.
Bahati yako mtoa mada si rafiki yangu hakika kuna siku ungeliwa tu.
Amazing, fantastic, wonderful..Sasa huyo sini mwanaume wa Dar unalala nae, So nahisi yuko functionaless,, Kua rafiki angu afu tubahatike kulala wote, Naamin utakuja kuanzisha thread hapa kwa lugha ya kigogo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli 'nature' ndio iko hivyo,ni vigumu kusema mwanaume mwenye 35+ awe na urafiki na mwanamke,walale kitanda kimoja bila kuwa na madhara,labda awe shoga.Well said
Mimi hua nawatongoza hata kama sina mpango nao.wengine wakikubali tu nawapotezea yani hua naamini mwanamke ni kiumbe wa kutongozwa TU !!!
Sent using Jamii Forums mobile app
SureYani Mkaka ukiw na urafiki na mdada,usimtongoze,itatokea automatically tu siku 1 utakuta mna enjoy.Pikeni,angalieni movies hata kulala mhakikishie usalama.Akilala usimguse hata kama mpo bed 1 siku ya kwanza hata mwezi.Ila ipo siku utona yeye mwenyewe anaonesha dalili anataka uweke
Sent using Jamii Forums mobile app
Something is seriously wrong hereAna demu wake mmoja hivi ukiona chatting demu anavyodatishwa hana shida mpaka simu ananiachia tu natumia demu akituma sms ananiambia mjibu tu alafu hana upendo kwa demu wake sema demu kafa kaoza full kumhong jamaa
Sent using Jamii Forums mobile app
pole kwa mkaka wa darKweli kabisaaa imeshanitokea alafu ukute mkaka mhandsome uwiii ukilala usiku napanuaa mapajaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app