wap zamani
Senior Member
- May 21, 2017
- 139
- 80
Duh Kama angekuwa simba basi wa maoneshoNavuaga tu na hamna shidaa yani mpaka leo sielewag huu urafiki wetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh Kama angekuwa simba basi wa maoneshoNavuaga tu na hamna shidaa yani mpaka leo sielewag huu urafiki wetu
Sent using Jamii Forums mobile app
natumai yupo na akikuvua pichu lete mrejeshoAiseee hiyo imenitokea kwa rafiki yangu wa Jf hata kulala tunalalaga pamoja akija Dom au nikienda Dar na wala hatufanyi aisee siku akiniomba mzigo sijui itakuwaje nimemzoea tu kama rafiki na tunashare mambo mbali mbali
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ww Si mzee Unafanya nn Haya mambo ya vijanaUrafiki wa Chui Na Swala
Mwisho wa Siku lazima mmoja 'aliwe'
Hamkurudia tena kwasababu hakuna kitu Kati yenu kilichomvutia mwenzake kwenye sexNna rafiki angu wa kiume ni rafiki close kabisa yani yule crayz friend alikuwa anakuja kulala kwangu kila ijumaa anaondoka jpili,na mimi hivyo hivyo yani tunapeana tu zamu ijumaa hii kwangu ijumaa hii kwako,yani mpka mpenzi wake walikuwa wanagombana kwa ajili yangu afu mimi tena ndo nakuwa msuluhishi,kuna siku usiku tumelala ghafla kavua tukaanza kukumbatiana hatimaye tukavunja amri ya sita,asubuhi palipokucha kila mtu anasema sorry bahati mbaya,kwahiyo kwetu hiyo ilikuwa ni one night stand,japo baada ya hapo aliendelea kuja kila ijumaa na tulikuwa hatufanyi chochote,tuliacha hiyo tabia ya yeye kuja kulala kwangu nilivyopata mpenzi,na hata urafiki ulipungua,sahizi yeye yupo zake uk,
Hiyo inaitwa frendzone
Sent using Jamii Forums mobile app
It wasn't a proper sex yani ilikuwa tu ni sex sex ykijinga kijinga beside nadhani ni ile tu tulikuwa too much kwny urafiki na hatukutaka kupoteza urafiki wetu,coz we talkedHamkurudia tena kwasababu hakuna kitu Kati yenu kilichomvutia mwenzake kwenye sex
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi lakini alikukojoza?It wasn't a proper sex yani ilikuwa tu ni sex sex ykijinga kijinga beside nadhani ni ile tu tulikuwa too much kwny urafiki na hatukutaka kupoteza urafiki wetu,coz we talked
Sent using Jamii Forums mobile app
As i said haikuwa proper sex coz mimi ckuvua nguo na yeye pia alivua tu shati la juu yani it wasn't a sex but we tried
Heri wa dar kuliko wa mikoa kumbe ukipigana nao wanatumia menoJamaa ni mwanaume wa dar bila shaka?
Mimi nakugegeda kiroho safi aiseeSijui ni kwanini sisi wanawake tukizoeana na wanaume na kuwa marafiki sana hata wakija kututaka kimapenzi inakuwa ngumu tunaogopa.
Unakuta ni mtu wako sana yaani, mnashare kila kitu hata mizinga unampiga fresh ila kulala nae sijui unaonaje!
Ni bora ukagegedwe huko hata kama unaumizwa lakini si na rafiki yako.
Na nyie wakaka kama mnatutaka msitufanye marafiki sana bwana tunaogopa kuja kuwavulia tunakuwa tushawaona mabrother wetu wa damu eti.
Sent using Jamii Forums mobile app
Rafiki anakupata vizuri saana kwa mbinu za kirafiki. Wala huwezi jutia. Ila akitumia mbinu za mtu asie rafiki ndio utajisikia hivyo.Sijui ni kwanini sisi wanawake tukizoeana na wanaume na kuwa marafiki sana hata wakija kututaka kimapenzi inakuwa ngumu tunaogopa.
Unakuta ni mtu wako sana yaani, mnashare kila kitu hata mizinga unampiga fresh ila kulala nae sijui unaonaje!
Ni bora ukagegedwe huko hata kama unaumizwa lakini si na rafiki yako.
Na nyie wakaka kama mnatutaka msitufanye marafiki sana bwana tunaogopa kuja kuwavulia tunakuwa tushawaona mabrother wetu wa damu eti.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo kitu labda ni kwako na wanawake wachache tu. Ikitokea dharula wanaombwa na wanatoa tu kama kawaida. Ungekuwa mwanaume ungeelewa Miss Natafuta.Sijui ni kwanini sisi wanawake tukizoeana na wanaume na kuwa marafiki sana hata wakija kututaka kimapenzi inakuwa ngumu tunaogopa.
Unakuta ni mtu wako sana yaani, mnashare kila kitu hata mizinga unampiga fresh ila kulala nae sijui unaonaje!
Ni bora ukagegedwe huko hata kama unaumizwa lakini si na rafiki yako.
Na nyie wakaka kama mnatutaka msitufanye marafiki sana bwana tunaogopa kuja kuwavulia tunakuwa tushawaona mabrother wetu wa damu eti.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nina my friend wa kike nampenda sana siwezi kumtaka wala kumlala hata tukae kitandani uchi, sababu najua mimi na yeye tutafanya makubwa tukiwa marafiki kuliko tukiwa katika kufanya mapenzi, I’m sure tukivuana chupi tutapoteza strong friendship