Ni ngumu mwanamke kufanya ngono na rafiki yake wa kiume

dah kwel kuna dem moja saiv yupo chuo mwka wa 1 ni best yang sana japo awali nilimtaka kimapenz akachomoa akasema tubak marafk tu kma joke ikawa ndio kwel marafik tu ila saiv nashanga anaanza kuniletea pigo za kimapenz japo saiv mi nishatoa hesia za sex kwak noma sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui ni kwanini sisi wanawake tukizoeana na wanaume na kuwa marafiki sana hata wakija kututaka kimapenzi inakuwa ngumu tunaogopa.

Unakuta ni mtu wako sana yaani, mnashare kila kitu hata mizinga unampiga fresh ila kulala nae sijui unaonaje!

Ni bora ukagegedwe huko hata kama unaumizwa lakini si na rafiki yako.

Na nyie wakaka kama mnatutaka msitufanye marafiki sana bwana tunaogopa kuja kuwavulia tunakuwa tushawaona mabrother wetu wa damu eti.


Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli tunapokuwa marafiki kati Me na Ke, hata me siwezi nikaruhusu kitu hicho kitokee
 
Sijui ni kwanini sisi wanawake tukizoeana na wanaume na kuwa marafiki sana hata wakija kututaka kimapenzi inakuwa ngumu tunaogopa.

Unakuta ni mtu wako sana yaani, mnashare kila kitu hata mizinga unampiga fresh ila kulala nae sijui unaonaje!

Ni bora ukagegedwe huko hata kama unaumizwa lakini si na rafiki yako.

Na nyie wakaka kama mnatutaka msitufanye marafiki sana bwana tunaogopa kuja kuwavulia tunakuwa tushawaona mabrother wetu wa damu eti.


Sent using Jamii Forums mobile app

Ni bora usimvulie we isogeze pembeni tu atakuelewa.
 
The thing I hate most, #FriendZonethings , mwanamke hachelewi kuja mbaka kukuhadithia alichofanya na 'bwana ake' usiku.
 
Sijui ni kwanini sisi wanawake tukizoeana na wanaume na kuwa marafiki sana hata wakija kututaka kimapenzi inakuwa ngumu tunaogopa.

Unakuta ni mtu wako sana yaani, mnashare kila kitu hata mizinga unampiga fresh ila kulala nae sijui unaonaje!

Ni bora ukagegedwe huko hata kama unaumizwa lakini si na rafiki yako.

Na nyie wakaka kama mnatutaka msitufanye marafiki sana bwana tunaogopa kuja kuwavulia tunakuwa tushawaona mabrother wetu wa damu eti.


Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo maana mimi sina rafiki wa kike ....ni njia rahsi ya kuwagegeda
 
29 Reactions
Reply
Back
Top Bottom