Bulaya001
JF-Expert Member
- Dec 21, 2018
- 5,861
- 6,466
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo member ananipa mashaka ...Aiseee hiyo imenitokea kwa rafiki yangu wa Jf hata kulala tunalalaga pamoja akija Dom au nikienda Dar na wala hatufanyi aisee siku akiniomba mzigo sijui itakuwaje nimemzoea tu kama rafiki na tunashare mambo mbali mbali
Sent using Jamii Forums mobile app
vyakula wanavokula legelege ndo maana hata maisha yao yako ivo ivo.Wanaume wa dar bwana uzungu mwingi
wee cheka tu lkn ungekuw rafk ang czan kama round ingeisha, maana KO ingehusika ktk pambano kat yetu
Ni kweli tunapokuwa marafiki kati Me na Ke, hata me siwezi nikaruhusu kitu hicho kitokeeSijui ni kwanini sisi wanawake tukizoeana na wanaume na kuwa marafiki sana hata wakija kututaka kimapenzi inakuwa ngumu tunaogopa.
Unakuta ni mtu wako sana yaani, mnashare kila kitu hata mizinga unampiga fresh ila kulala nae sijui unaonaje!
Ni bora ukagegedwe huko hata kama unaumizwa lakini si na rafiki yako.
Na nyie wakaka kama mnatutaka msitufanye marafiki sana bwana tunaogopa kuja kuwavulia tunakuwa tushawaona mabrother wetu wa damu eti.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui ni kwanini sisi wanawake tukizoeana na wanaume na kuwa marafiki sana hata wakija kututaka kimapenzi inakuwa ngumu tunaogopa.
Unakuta ni mtu wako sana yaani, mnashare kila kitu hata mizinga unampiga fresh ila kulala nae sijui unaonaje!
Ni bora ukagegedwe huko hata kama unaumizwa lakini si na rafiki yako.
Na nyie wakaka kama mnatutaka msitufanye marafiki sana bwana tunaogopa kuja kuwavulia tunakuwa tushawaona mabrother wetu wa damu eti.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uwee cheka tu lkn ungekuw rafk ang czan kama round ingeisha, maana KO ingehusika ktk pambano kat yetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo maana mimi sina rafiki wa kike ....ni njia rahsi ya kuwagegedaSijui ni kwanini sisi wanawake tukizoeana na wanaume na kuwa marafiki sana hata wakija kututaka kimapenzi inakuwa ngumu tunaogopa.
Unakuta ni mtu wako sana yaani, mnashare kila kitu hata mizinga unampiga fresh ila kulala nae sijui unaonaje!
Ni bora ukagegedwe huko hata kama unaumizwa lakini si na rafiki yako.
Na nyie wakaka kama mnatutaka msitufanye marafiki sana bwana tunaogopa kuja kuwavulia tunakuwa tushawaona mabrother wetu wa damu eti.
Sent using Jamii Forums mobile app