Ni ngumu kutuelewa

Ni ngumu kutuelewa

Sidhani kama ni sababu ya kukufanya uwe na wengine nje
Mfano bi mkubwa amejifungua amenipa likizo miezi minne;hapo unafikiri utaishi je?Kwa namna moja au nyingine lazima umuonee huruma....na yeye pia atakuwa anahisi mr atakuwa anagonga nje,lakini sionyeshi dharau maisha yanasonga.
 
ha ha ha ha sio sifa,ni hali halisi lakini hata ukitafuta msaidizi nje isiwe sababu ya kuvunja uhusiano ndani...na mara nyingi tunaogonga nje na kutimiza majukumu yetu ndani vizuri;ndoa zetu huwa zina afya sana...kwa sababu bi mkubwa atakuwa na wewe atakapokuwa na hamu tu
Hilo halina shida ila mnaofanya hayo mnatakiwa mkubali tu kuwa mnatenda dhambi na dhambi inaweza kutendwa na binadamu yeyote yule maana dhambi haichagui mtu na shetani naye anamjaribu kila mtu hivyo basi hata wanawake wanaogawa nje nao msiwalaumu maana nao ni binadamu tu ambao wanakuwa wametenda dhambi na wamejaribiwa na shetani kama nyie tu hivyo kwenye hilo tuelewane tu
 
Hilo halina shida ila mnaofanya hayo mnatakiwa mkubali tu kuwa mnatenda dhambi na dhambi inaweza kutendwa na binadamu yeyote yule maana dhambi haichagui mtu na shetani naye anamjaribu kila mtu hivyo basi hata wanawake wanaogawa nje nao msiwalaumu maana nao ni binadamu tu ambao wanakuwa wametenda dhambi na wamejaribiwa na shetani kama nyie tu hivyo kwenye hilo tuelewane tu
Huwa wanasababu zingine kama kutokukojozwa n.k
 
Hilo halina shida ila mnaofanya hayo mnatakiwa mkubali tu kuwa mnatenda dhambi na dhambi inaweza kutendwa na binadamu yeyote yule maana dhambi haichagui mtu na shetani naye anamjaribu kila mtu hivyo basi hata wanawake wanaogawa nje nao msiwalaumu maana nao ni binadamu tu ambao wanakuwa wametenda dhambi na wamejaribiwa na shetani kama nyie tu hivyo kwenye hilo tuelewane tu

Kweli kabisa ila usiombee ukamatwe utaoneka unadhambi kumzidi shetani
 
Mfano bi mkubwa amejifungua amenipa likizo miezi minne;hapo unafikiri utaishi je?Kwa namna moja au nyingine lazima umuonee huruma....na yeye pia atakuwa anahisi mr atakuwa anagonga nje,lakini sionyeshi dharau maisha yanasonga.
Mkuu naomba nikupe haya maandiko mawili "lakini kwa sababu ya zinaa kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe na kila mwanamke na awe na mume wake mwenyewe" na pia "ndoa na iheshimiwe na watu wote na malazi yawe safi wazinzi na waasherati Mungu atawahukumia adhabu"

Mungu siyo mjinga kuwaagiza manabii na mitume wake kuja kutuambia hivyo na pia siyo mjinga kuuchukua ubavu wa Adam na kuutumia kumuumba mwanamke mmoja tu Evah kwanini asingemuongezea wake wengine ili aonyeshe msisitizo?

Na siyo mjinga aliposema kuwa mwanamume atamuacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe nao watakuwa mwili kwanini alisema mkewe na siyo wakeze? Nashangaa sana wanaume mnavyojitetea eti hamuwezi kupitisha siku au miezi kadhaa bila kufanya

Kwahiyo ninyi mnajijua sana kuliko Mungu aliyewaumba akawakataza uzinzi na uasherati si ndiyo? Anawajua na aliona kuwa hakuna madhara makubwa mtakayopata mfano kifo au magonjwa na ndo maana akawakataza kuzini na kufanya uasherati hizo sababu nyingine mnazotoa mnaziendekeza tu na hiyo mifano ya kina Solomon na David mnayotoa mnajidanganya tu
 
Huwa wanasababu zingine kama kutokukojozwa n.k
Sasa si ndo kama tu nyie mnavyokuwaga na sababu zenu za ajabu ajabu na ukishaona hivyo ujue hapo shetani kashaingilia kati maana kwenye dhambi ya uzinzi na uasherati ndipo shetani alipofanikiwa kuwateka sana binadamu kuliko kwenye dhambi nyingine yoyote
 
Sasa si ndo kama tu nyie mnavyokuwaga na sababu zenu za ajabu ajabu na ukishaona hivyo ujue hapo shetani kashaingilia kati maana kwenye dhambi ya uzinzi na uasherati ndipo shetani alipofanikiwa kuwateka sana binadamu kuliko kwenye dhambi nyingine yoyote
ha ha ha ha
 
hili la kucheat kwenu linaepukika na linawezekana sisi kdogo ni changamoto.. We are polygamist in nature wengine ndo hvyo wanajitahid kuwa faithful na wanateleza kidogo ata hvyo heshima ya mother house ipo palepale sasa sijajua kwa nini mnataka kupingana na mwanaume kila kitu ....huu unaouleta hapa ni ushindani ni vyema mkatambua nafasi zenu sisi ni viongoz kwenu... Mwanaume na aheshimiwe
Na wewe siku ukiwa na kisirani aende akajitulize kwa Juma si eti? Sema tena tusishindane na nyie
 
Huo mda wa kumuelewa mtu niliyekutan nae ukubwan natoa wapi kikubwa ananipa huduma ninazotak bas inatosha
 
Haya maisha bila uselfish kila siku utakuwa unafungua uzi umeumizwa sjui huwaelew wanawake

Yanini sasa nianze kujitesa kwa kitu ambacho najua naweza kukizuia

Kama na yeye anafanya effort kwako ili akufahishe y not
 
Yaan kuna siku mtu unajickia kulia tu ili ubembelezwe ha ha ha mood swings kweli kweli
 
Back
Top Bottom