Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,493
Ila sisi mnataka tuwaelewe na tusipowaelewa kosa mnasema hatufai kuolewa? AjabuHuo mda wa kumuelewa mtu niliyekutan nae ukubwan natoa wapi kikubwa ananipa huduma ninazotak bas inatosha
Ila sisi mnataka tuwaelewe na tusipowaelewa kosa mnasema hatufai kuolewa? AjabuHuo mda wa kumuelewa mtu niliyekutan nae ukubwan natoa wapi kikubwa ananipa huduma ninazotak bas inatosha
Kwahiyo kila kitu ni hadi aanze mwanamke? Mbona kuumbwa alianza mwanaume? Si mnasema nyie ni viongozi wetu kwenye kila kitu mbona kwenye mapenzi mnataka sisi ndo tuwe viongozi wenu? Imeandikwa wapi?Akiwa anafanya effort atleast na mimi naweza jisogeza ila sio mzima mzima
Usiwape wengine misimamo yangu hii ni kwa mujib ya mimiKwahiyo kila kitu ni hadi aanze mwanamke? Mbona kuumbwa alianza mwanaume? Si mnasema nyie ni viongozi wetu kwenye kila kitu mbona kwenye mapenzi mnataka sisi ndo tuwe viongozi wenu? Imeandikwa wapi?
Hii ni misimamo yangu jaman msiwahusishe wengineIla sisi mnataka tuwaelewe na tusipowaelewa kosa mnasema hatufai kuolewa? Ajabu
Mpaka hayo mahaba yawepo🤣🤣🙈🙈Shenzeeee😂😂😂 mpaka nini sasa?
Mwenza unanikana eeeh?Hapana![]()
Siyo wewe tu nasikia wanaume wengi wanasema eti wao kupenda mwanamke ni hadi huyo mwanamke ndo aanze kumheshimu sasa nani hapo anatakiwa aanze? Mwanaume kumpenda mwanamke au mwanamke kumheshimu mwanaume? Na biblia haijaspecify nani aanze ila wanaume wengi watakwambia mwanamke ndo aanze kumheshimu mwanaumeUsiwape wengine misimamo yangu hii ni kwa mujib ya mimi
Ila mwanamke anatakiwa kumheshim mwanaume nani jukum la mwanaume kumpenda mwanamke
SawaKe ni pambo wache wajipambe
Unaelewa tofauti ya unachokihoji na nukuu unayoihoji?Vipi na wale wanaume wanaokubali kishikishwa ukuta?
Vipi na wale wanaume wanaotafuta wanawake wenye pesa na akili ya maisha ili wapate mteremko kwenye kutafuta?
Vipi na wale wanaume ambao wanaacha kupendezesha wake zao wanaenda kutafuta wanawake waliopendezeshwa na wanaume wengine?
Vipi na wale wanaume wanapata wanawake wanaokubali kuanza nao chini kimaisha halafu wakifanikiwa wote hizo pesa wanazifaidi michepuko na mke anazitumia kwa manati?
we ni korofi sana😁Mpaka hayo mahaba yawepo🤣🤣🙈🙈
Unaelewa tofauti ya unachokihoji na nukuu unayoihoji?
Achane mashindano yasikuwa ya maana hapa ni zahiri comment yako inaonyesha au inataka usawa hio kitu haiwezekani mtabaki chini ya matakwa yetuHuwa nawaambia siku zote ninyi kuwa viongozi wetu haiwapi guarantee ya kufanya dhambi vyovyote mnavyojisikia kwa minajili ya kwamba tuwasamehe au tuwavumilie na tukiwauliza mnasema eti tusishindane na nyie tunajua hiyo ni defense mechanism yenu tu ya kuhalalisha maovu yenu
Wakati maandiko yako wazi kabisa kwamba uzinzi na uasherati ni dhambi na hakuna jinsia iliyoruhusiwa kutenda dhambi sasa nyie jifanyeni mnajijua kuliko Mungu aliyewaumba akawakataza kuzini na kufanya uasherati halafu jidanganyeni tu kwa kutolea mifano ya wale manabii na mitume sijui kina Solomon na David wakati wenzenu baada ya kufanya huo uchafu wote walikuja kutubu kwa Mungu na walisamehewa
Mbona haujanielewa? Mimi nimesema uzinzi na uasherati ni dhambi kutokana na maandiko na siyo kutokana na kutaka usawa tatizo wanaume mnafanya dhambi kwa makusudi kwa kutaka kujitofautisha na wanawakeHivi sulemani alitubu kisa kuwa na masuria yote hayo? Au alitubia zambi zake alizofanya ambazo wewe na Mimi hatujui zote na hatujui ni zipi?
Tatizo mnapenda kutafuta usawa sana western culture zinawaharibu sana ndio uasherati na uzinzi ni zambi kwa wote ila ndo hvo sisi wanaume suala la kucheat kwetu ni changamoto sana ambayo wachache wetu wameweza kuikabili lakin haimaanishi tumeihalalisha Achane mashindano yasikuwa ya maana hapa ni zahiri comment yako inaonyesha au inataka usawa hio kitu haiwezekani mtabaki chini ya matakwa yetu
Ngoja nifanye study tour kwenye himaya yenu hadi niwaelewe kinagaubaga.Mood swingView attachment 1121989uzi teyari
wp.me
Mbona haujanielewa? Mimi nimesema uzinzi na uasherati ni dhambi kutokana na maandiko na siyo kutokana na kutaka usawa tatizo wanaume mnafanya dhambi kwa makusudi kwa kutaka kujitofautisha na wanawake
Na mnadhani wanawake ni malaika kwamba wao ndo hawawezi kufanya dhambi kama kweli kujizuia kuchepuka lingekuwa ni swala gumu kiasi hicho basi Mungu angewaruhusu kuzini na kufanya uasherati
Ila kwa vile amewakataza wote basi wanaume mnaosema kuwa hilo swala ni gumu mnajiendekeza tu wakati kujizuia mnaweza sana na hakuna excuse kwa mwanaume na mwanamke yeyote mzinzi au muasherati wote wana dhambi mbele za Mungu
Wote watahukumiwa wasipotubu na wakitubu watasamehewa sasa nyie endeleeni kuleta udume wenu hadi kwenye sheria za Mungu kwa kudhani mnatukomoa sisi kumbe mnajikomoa wenyewe eti viongozi viongozi ndo mfanye dhambi kwa makusudi? Yes hayo ni makusudi sababu Mungu ameshakataza bahati mbaya unaijua wewe?
Asante muhuni mwandamiziSawa mwanaharakati