Ni ngumu kutuelewa

Ni ngumu kutuelewa

Kwahiyo sisi kula mazuri yenu ni hadi tujifanye wajinga ila ninyi kula mazuri yetu mle kirahisi tu? Halafu kuna wanawake wamejifanya wajinga ila badala ya kula hayo matunda mazuri wameishia kula matunda mabaya na kufanywa wajinga zaidi ya wao wenyewe walivyojifanya wajinga na hapo napo utasemaje?
ha ha ha ha,inategemea na aina ya mtu uliye naye kuna wengine huwa ni vizibo tu
 
Mnyenyekee mr upate na heri hapa duniani
Imeandikwa mwanamume ampende mkewe na mwanamke amtii mumewe sasa mwanaume asiyempa upendo mkewe anastahili kupewa utii na mkewe? Ikumbukwe kuwa kumpenda ni pamoja na kutokumsaliti au kumuongezea mke kama inavyotakiwa kwenye maandiko
 
Imeandikwa mwanamume ampende mkewe na mwanamke amtii mumewe sasa mwanaume asiyempa upendo mkewe anastahili kupewa utii na mkewe? Ikumbukwe kuwa kumpenda ni pamoja na kutokumsaliti au kumuongezea mke kama inavyotakiwa kwenye maandiko
ha ha ha ha nikuulize swali;we unaweza ku -do kila siku?
 
ha ha ha ha nikuulize swali;we unaweza ku -do kila siku?
Siwezi lakini hauwezi kuniambia kwamba eti hizo siku chache ambazo nakuwa siko kwenye hali ya kufanya wewe unakuwa hauwezi kuvumilia hapana huko ni kujiendekeza hakuna binadamu aliyeumbwa kufanya kila siku ila wanaume mnafanya sifa tu
 
Siwezi lakini hauwezi kuniambia kwamba eti hizo siku chache ambazo nakuwa siko kwenye hali ya kufanya wewe unakuwa hauwezi kuvumilia hapana huko ni kujiendekeza hakuna binadamu aliyeumbwa kufanya kila siku ila wanaume mnafanya sifa tu
ha ha ha ha sio sifa,ni hali halisi lakini hata ukitafuta msaidizi nje isiwe sababu ya kuvunja uhusiano ndani...na mara nyingi tunaogonga nje na kutimiza majukumu yetu ndani vizuri;ndoa zetu huwa zina afya sana...kwa sababu bi mkubwa atakuwa na wewe atakapokuwa na hamu tu
 
Back
Top Bottom