Ni ngumu kutuelewa

Ni ngumu kutuelewa

Nyie sometimes hata mkiwa mmechoka tu ni mwendo wa kugombana na kununiana na hata wivu huwapelekea kutununia ama msipotimiziwa au kuruhusiwa mambo yenu pia mnanuna, binafsi nawafahamu kiasi.

Kweli umetusoma sema bado vipya vipo vingi
 
Hapa tuko wengi si peke yake afu usibembeleza uone
Siku moja tumeenda kula nikamuambia waiter amsikilize akakataa akasema yeye hali...nikamwambia bas kama huli hapa chukua hela hii ukale unapopenda, nikampa mm nikaagiza nikala nikamwambia twende,mbona alinuna balaa, mara unanikosea...unanidharau nk....nikamwambia mm nimeheshimu mawazo yako
 
Siku moja tumeenda kula nikamuambia waiter amsikilize akakataa akasema yeye hali...nikamwambia bas kama huli hapa chukua hela hii ukale unapopenda, nikampa mm nikaagiza nikala nikamwambia twende,mbona alinuna balaa, mara unanikosea...unanidharau nk....nikamwambia mm nimeheshimu mawazo yako

Ulitakiwa umbembeleze ale au ungemlisha kabisa
 
Aisee mapenzi ni Sanaa tena ya asili! !!! Mtt anayejua kuchezea mandingo walah utanunua gari na kumjengea kwa huo utundu wake! !! Deep throat sio ya mchezo, inabomoa na kuupanga upyaaa ubongo
Ukiona watu wanajengewa na kununuliwa magari,ujue wametumia mapenzi kama sanaa.

Sent from my SM-T231 using JamiiForums mobile app
 
Aisee mapenzi ni Sanaa tena ya asili! !!! Mtt anayejua kuchezea mandingo walah utanunua gari na kumjengea kwa huo utundu wake! !! Deep throat sio ya mchezo, inabomoa na kuupanga upyaaa ubongo

Sent from my SM-T231 using JamiiForums mobile app

He he he he we need to learn dix
 
Back
Top Bottom