Ni ngumu kutuelewa

Ni ngumu kutuelewa

hili la kucheat kwenu linaepukika na linawezekana sisi kdogo ni changamoto.. We are polygamist in nature wengine ndo hvyo wanajitahid kuwa faithful na wanateleza kidogo ata hvyo heshima ya mother house ipo palepale sasa sijajua kwa nini mnataka kupingana na mwanaume kila kitu ....huu unaouleta hapa ni ushindani ni vyema mkatambua nafasi zenu sisi ni viongoz kwenu... Mwanaume na aheshimiwe
Huwa nawaambia siku zote ninyi kuwa viongozi wetu haiwapi guarantee ya kufanya dhambi vyovyote mnavyojisikia kwa minajili ya kwamba tuwasamehe au tuwavumilie na tukiwauliza mnasema eti tusishindane na nyie tunajua hiyo ni defense mechanism yenu tu ya kuhalalisha maovu yenu

Wakati maandiko yako wazi kabisa kwamba uzinzi na uasherati ni dhambi na hakuna jinsia iliyoruhusiwa kutenda dhambi sasa nyie jifanyeni mnajijua kuliko Mungu aliyewaumba akawakataza kuzini na kufanya uasherati halafu jidanganyeni tu kwa kutolea mifano ya wale manabii na mitume sijui kina Solomon na David wakati wenzenu baada ya kufanya huo uchafu wote walikuja kutubu kwa Mungu na walisamehewa
 
Back
Top Bottom