Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,494
Duuh hivi kati ya wanaume na wanawake kina nani wanapenda kunyenyekewa sana?Tatizo nyie mnapenda kunyenyekewa sana
Duuh hivi kati ya wanaume na wanawake kina nani wanapenda kunyenyekewa sana?Tatizo nyie mnapenda kunyenyekewa sana
Mnyenyekee mr upate na heri hapa dunianiDuuh hivi kati ya wanaume na wanawake kina nani wanapenda kunyenyekewa sana?
Na wewe siku ukiwa na kisirani aende akajitulize kwa Juma si eti? Sema tena tusishindane na nyieNdo maana nina timu ya mpira salma akizengua au akiwa kisiran siku hiyo najituliza kwa asha
Cha msingi
.usishikwe
.wadanganye utawaoa
ha ha ha ha nataka niwe na kikosi kazi halafu wafanane na mimi,nikiwa na 60yrs wa mwisho awe na miaka 20Naona unataka kutengeneza species team![]()
ha ha ha ha mwanaume ana baraka za mke (Adam & Hawa)Hii kiboko Mr ndoanatoa kheri za dunia![]()
Ndio maana tunapambana usiku na mchanaUtakua umewapanga kwelikweli na mfuko nao unatakiwa uwe njema aisee
Baraka za ke zinamilikiwa na meNa Ke anabaraka za nani
Yaani wanaume bwana mnataka kila kitu tuanze kufanya sisi na tena sisi ndo tufanye zaidiha ha ha ha,ukitaka unufaike zaidi jaribu wewe kudekeza
ha ha ha tatizo nyie mnataka haki sawaSi sawa uonevu huu
ha ha ha ha jifanye mjinga ule matunda mazuri ya duniaYaani wanaume bwana mnataka kila kitu tuanze kufanya sisi na tena sisi ndo tufanye zaidi
ha ha ha ha baba ni baba na mama ni mama haiwezi kubadilikaNdivyo inavyotakiwa
Kwahiyo sisi kula mazuri yenu ni hadi tujifanye wajinga ila ninyi kula mazuri yetu mle kirahisi tu? Halafu kuna wanawake wamejifanya wajinga ila badala ya kula hayo matunda mazuri wameishia kula matunda mabaya na kufanywa wajinga zaidi ya wao wenyewe walivyojifanya wajinga na hapo napo utasemaje?ha ha ha ha jifanye mjinga ule matunda mazuri ya dunia