jouneGwalu
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,687
- 1,780
mimi namalizia bali ni wapenzi wawili... mnaopendana. mimi laiti ningelikuwa huko nyumbani ningeomba siku moja niwakutanishe wawili nione jinsi mnavyozungumza uso kwa uso hakuna kugomban bali mazungumzo tu mazuri.
Mkuu Mizizi, wasikuumize kichwa hawa ni Mapacha kama alivyosema BAK....
Na ukiangalia mjadala wao utajua nani Kurwa na nani Dotto....
Kwa wale watakaoshindwa kujua nadhani Dr Miziz utatupa tabia za Kurwa na Doto afu watu watajionea nani hapo ni nani!