Uaminifu mdogo chanzo cha maisha magumu na umaskini kwa watanzania

Beberu

JF-Expert Member
Jan 26, 2017
3,942
7,938
Salamu bongo ? Pita hivi rafiki wew πŸ˜‚

Karibuni tena kwenye ulimwengu wa kibepari, ulimwengu wa BEBERU,

Ipo hivi ndugu zangu, katika nchi yetu ya Tz, ukiacha sababu zilizo nje ya uwezo wetu kama siasa, na vitu ka hivyo ila sababu kuu ya kwanini waTz wengi hatuendelei ni kukosekana kwa UAMINIFU katika jamii yetu kwa ujumla, heb check

Mbongo mkopeshe ndio imetoka hio,
Mpe malipo kabla ya kazi ugeuke mtumwa wake πŸ˜‚
Mdhamini kwenye mkopo ulipe huo mkopo mwenyewe
Mpe mali kauli mbongo ahame duka lako πŸ˜‚
Kakope mkopo kwa niaba ya mbongo (wafanyakazi) ili upoteze rafiki, ndugu au mke/mume kabisa

Suala la UAMINIFU kwa wabongo ni msamiati mgumu sanaa, lakin laiti tungekuwa waaminifu ungeshuhudia jinsi ambavyo maisha yangekuwa rahisi,
Ingekuwa rahisi kwa mabenk kukopesha kwa riba ndogo mana uhakika wa kurudisha ni mkubwa,

Ingekuwa rahisi hata sisi kwa sisi kusaidiana mikopo ya biashara na vitu ka hivyo, imagine leo hii kwenye circle yako ni watu wangapi unaweza wakopesha 1M ukawa na amani kuwa watalipa 100% kadri ya makubaliano yenu ? Wengi mtu anakopa 1M kwa ahadi atalipa after 1 month, then baadae anaanza sababu, anaanza kukupa mara 50, mara 200, ndani ya mwaka ndio hela imeisha huku ashakuvurugia mipango kibao, wengi hawakopeshi kwa sababu hii,

Ila tungekuwa waaminifu wengi wetu tungekopeshwa na ndugu, jamaa na marafiki, mfano mm binafs, kwenye ukoo wangu, watu ambao naweza wakopesha 30K tu kwa amani hawafiki 7, wengine unawapa then unaanza kusikilizia story nyingi mpaka unaachana na deni hilo, sasa mtu kama huyu nitampa mkopo wa 2M afanye biashara? Au nitamdhamini mahali akope? Au nitampa mali kauli kwenye biashara yangu?

Ingekuwa rahisi kupata mali kauli, kama ndugu zetu wahindi wanavyopewa wao kwao india kisha wanapeana wao kwa wao, hapa bongo mpe mtu mali kauli, mtu yupo radhi ahame hata frame ili tu akupige πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ndio utawin, ila sasa ndio hivyo mnatengeneza mazingira magumu ya kizazi kijacho

Ukweli ni kuwa, UAMINIFU mdogo baina yetu, unafanya biashara na maisha yetu kuwa magumu zaidi kuliko siasa na hali ya hewa,

Ndugu mtanzania m nakuomba, ukikopa, lipa kwa wakati, ukiahidi timiza, kuwa Muaninifu kwa faida yako binafsi na ile ya taifa nzima

Mpaka wakati mwingine,
Wenu Beberu J
Alamski
 
Salamu bongo ? Pita hivi rafiki wew πŸ˜‚

Karibuni tena kwenye ulimwengu wa kibepari, ulimwengu wa BEBERU,

Ipo hivi ndugu zangu, katika nchi yetu ya Tz, ukiacha sababu zilizo nje ya uwezo wetu kama siasa, na vitu ka hivyo ila sababu kuu ya kwanini waTz wengi hatuendelei ni kukosekana kwa UAMINIFU katika jamii yetu kwa ujumla, heb check

Mbongo mkopeshe ndio imetoka hio,
Mpe malipo kabla ya kazi ugeuke mtumwa wake πŸ˜‚
Mdhamini kwenye mkopo ulipe huo mkopo mwenyewe
Mpe mali kauli mbongo ahame duka lako πŸ˜‚
Kakope mkopo kwa niaba ya mbongo (wafanyakazi) ili upoteze rafiki, ndugu au mke/mume kabisa

Suala la UAMINIFU kwa wabongo ni msamiati mgumu sanaa, lakin laiti tungekuwa waaminifu ungeshuhudia jinsi ambavyo maisha yangekuwa rahisi,
Ingekuwa rahisi kwa mabenk kukopesha kwa riba ndogo mana uhakika wa kurudisha ni mkubwa,

Ingekuwa rahisi hata sisi kwa sisi kusaidiana mikopo ya biashara na vitu ka hivyo, imagine leo hii kwenye circle yako ni watu wangapi unaweza wakopesha 1M ukawa na amani kuwa watalipa 100% kadri ya makubaliano yenu ? Wengi mtu anakopa 1M kwa ahadi atalipa after 1 month, then baadae anaanza sababu, anaanza kukupa mara 50, mara 200, ndani ya mwaka ndio hela imeisha huku ashakuvurugia mipango kibao, wengi hawakopeshi kwa sababu hii,

Ila tungekuwa waaminifu wengi wetu tungekopeshwa na ndugu, jamaa na marafiki, mfano mm binafs, kwenye ukoo wangu, watu ambao naweza wakopesha 30K tu kwa amani hawafiki 7, wengine unawapa then unaanza kusikilizia story nyingi mpaka unaachana na deni hilo, sasa mtu kama huyu nitampa mkopo wa 2M afanye biashara? Au nitamdhamini mahali akope? Au nitampa mali kauli kwenye biashara yangu?

Ingekuwa rahisi kupata mali kauli, kama ndugu zetu wahindi wanavyopewa wao kwao india kisha wanapeana wao kwa wao, hapa bongo mpe mtu mali kauli, mtu yupo radhi ahame hata frame ili tu akupige πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ndio utawin, ila sasa ndio hivyo mnatengeneza mazingira magumu ya kizazi kijacho

Ukweli ni kuwa, UAMINIFU mdogo baina yetu, unafanya biashara na maisha yetu kuwa magumu zaidi kuliko siasa na hali ya hewa,

Ndugu mtanzania m nakuomba, ukikopa, lipa kwa wakati, ukiahidi timiza, kuwa Muaninifu kwa faida yako binafsi na ile ya taifa nzima

Mpaka wakati mwingine,
Wenu Beberu J
Alamski
Fact uaminifu ndo Unazaa mafanikio
 
Salamu bongo ? Pita hivi rafiki wew πŸ˜‚

Karibuni tena kwenye ulimwengu wa kibepari, ulimwengu wa BEBERU,

Ipo hivi ndugu zangu, katika nchi yetu ya Tz, ukiacha sababu zilizo nje ya uwezo wetu kama siasa, na vitu ka hivyo ila sababu kuu ya kwanini waTz wengi hatuendelei ni kukosekana kwa UAMINIFU katika jamii yetu kwa ujumla, heb check

Mbongo mkopeshe ndio imetoka hio,
Mpe malipo kabla ya kazi ugeuke mtumwa wake πŸ˜‚
Mdhamini kwenye mkopo ulipe huo mkopo mwenyewe
Mpe mali kauli mbongo ahame duka lako πŸ˜‚
Kakope mkopo kwa niaba ya mbongo (wafanyakazi) ili upoteze rafiki, ndugu au mke/mume kabisa

Suala la UAMINIFU kwa wabongo ni msamiati mgumu sanaa, lakin laiti tungekuwa waaminifu ungeshuhudia jinsi ambavyo maisha yangekuwa rahisi,
Ingekuwa rahisi kwa mabenk kukopesha kwa riba ndogo mana uhakika wa kurudisha ni mkubwa,

Ingekuwa rahisi hata sisi kwa sisi kusaidiana mikopo ya biashara na vitu ka hivyo, imagine leo hii kwenye circle yako ni watu wangapi unaweza wakopesha 1M ukawa na amani kuwa watalipa 100% kadri ya makubaliano yenu ? Wengi mtu anakopa 1M kwa ahadi atalipa after 1 month, then baadae anaanza sababu, anaanza kukupa mara 50, mara 200, ndani ya mwaka ndio hela imeisha huku ashakuvurugia mipango kibao, wengi hawakopeshi kwa sababu hii,

Ila tungekuwa waaminifu wengi wetu tungekopeshwa na ndugu, jamaa na marafiki, mfano mm binafs, kwenye ukoo wangu, watu ambao naweza wakopesha 30K tu kwa amani hawafiki 7, wengine unawapa then unaanza kusikilizia story nyingi mpaka unaachana na deni hilo, sasa mtu kama huyu nitampa mkopo wa 2M afanye biashara? Au nitamdhamini mahali akope? Au nitampa mali kauli kwenye biashara yangu?

Ingekuwa rahisi kupata mali kauli, kama ndugu zetu wahindi wanavyopewa wao kwao india kisha wanapeana wao kwa wao, hapa bongo mpe mtu mali kauli, mtu yupo radhi ahame hata frame ili tu akupige πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ndio utawin, ila sasa ndio hivyo mnatengeneza mazingira magumu ya kizazi kijacho

Ukweli ni kuwa, UAMINIFU mdogo baina yetu, unafanya biashara na maisha yetu kuwa magumu zaidi kuliko siasa na hali ya hewa,

Ndugu mtanzania m nakuomba, ukikopa, lipa kwa wakati, ukiahidi timiza, kuwa Muaninifu kwa faida yako binafsi na ile ya taifa nzima

Mpaka wakati mwingine,
Wenu Beberu J
Alamski
I agree. Wengi wetu uaminifu ni sifuri. Bongo ujanja ujanja mwingi sana na ndo unatugharimu. Ndo maana mtu akipata kazi TRA, BOT, Bandari nk ni sherehe. Kwa sababu atapata nafasi ya kuiba.

Tubadilike.
 
I agree. Wengi wetu uaminifu ni sifuri. Bongo ujanja ujanja mwingi sana na ndo unatugharimu. Ndo maana mtu akipata kazi TRA, BOT, Bandari nk ni sherehe. Kwa sababu atapata nafasi ya kuiba.

Tubadilike.
TRA mbali mkuu,
Mtu akipata kazi tu kwenye duka la kaka ake anashangilia, anajua anaenda kuwa boss na kuiba sanaaaa
 
Salamu bongo ? Pita hivi rafiki wew πŸ˜‚

Karibuni tena kwenye ulimwengu wa kibepari, ulimwengu wa BEBERU,

Ipo hivi ndugu zangu, katika nchi yetu ya Tz, ukiacha sababu zilizo nje ya uwezo wetu kama siasa, na vitu ka hivyo ila sababu kuu ya kwanini waTz wengi hatuendelei ni kukosekana kwa UAMINIFU katika jamii yetu kwa ujumla, heb check

Mbongo mkopeshe ndio imetoka hio,
Mpe malipo kabla ya kazi ugeuke mtumwa wake πŸ˜‚
Mdhamini kwenye mkopo ulipe huo mkopo mwenyewe
Mpe mali kauli mbongo ahame duka lako πŸ˜‚
Kakope mkopo kwa niaba ya mbongo (wafanyakazi) ili upoteze rafiki, ndugu au mke/mume kabisa

Suala la UAMINIFU kwa wabongo ni msamiati mgumu sanaa, lakin laiti tungekuwa waaminifu ungeshuhudia jinsi ambavyo maisha yangekuwa rahisi,
Ingekuwa rahisi kwa mabenk kukopesha kwa riba ndogo mana uhakika wa kurudisha ni mkubwa,

Ingekuwa rahisi hata sisi kwa sisi kusaidiana mikopo ya biashara na vitu ka hivyo, imagine leo hii kwenye circle yako ni watu wangapi unaweza wakopesha 1M ukawa na amani kuwa watalipa 100% kadri ya makubaliano yenu ? Wengi mtu anakopa 1M kwa ahadi atalipa after 1 month, then baadae anaanza sababu, anaanza kukupa mara 50, mara 200, ndani ya mwaka ndio hela imeisha huku ashakuvurugia mipango kibao, wengi hawakopeshi kwa sababu hii,

Ila tungekuwa waaminifu wengi wetu tungekopeshwa na ndugu, jamaa na marafiki, mfano mm binafs, kwenye ukoo wangu, watu ambao naweza wakopesha 30K tu kwa amani hawafiki 7, wengine unawapa then unaanza kusikilizia story nyingi mpaka unaachana na deni hilo, sasa mtu kama huyu nitampa mkopo wa 2M afanye biashara? Au nitamdhamini mahali akope? Au nitampa mali kauli kwenye biashara yangu?

Ingekuwa rahisi kupata mali kauli, kama ndugu zetu wahindi wanavyopewa wao kwao india kisha wanapeana wao kwa wao, hapa bongo mpe mtu mali kauli, mtu yupo radhi ahame hata frame ili tu akupige πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ndio utawin, ila sasa ndio hivyo mnatengeneza mazingira magumu ya kizazi kijacho

Ukweli ni kuwa, UAMINIFU mdogo baina yetu, unafanya biashara na maisha yetu kuwa magumu zaidi kuliko siasa na hali ya hewa,

Ndugu mtanzania m nakuomba, ukikopa, lipa kwa wakati, ukiahidi timiza, kuwa Muaninifu kwa faida yako binafsi na ile ya taifa nzima

Mpaka wakati mwingine,
Wenu Beberu J
Alamski
hata hivyo wabongo ni waaminifu ajabu nyakati za uchaguzi πŸ’

we mpe kanga kofia, t-shirt ya chama na ka ten thousands, hawezi kosea kukupa kura ata kama baadae atatokea mtu wa kumpa50k asikuchague.
ata kama una sera nzuri kama malaika....


Kitakachotokea ni kwamba ataichukua iyo 50k na still kura atakupigia kura wew wa 10k wa mwanzoooooπŸ’

R.I.P laigwanani comrade ENL
 
Salamu bongo ? Pita hivi rafiki wew πŸ˜‚

Karibuni tena kwenye ulimwengu wa kibepari, ulimwengu wa BEBERU,

Ipo hivi ndugu zangu, katika nchi yetu ya Tz, ukiacha sababu zilizo nje ya uwezo wetu kama siasa, na vitu ka hivyo ila sababu kuu ya kwanini waTz wengi hatuendelei ni kukosekana kwa UAMINIFU katika jamii yetu kwa ujumla, heb check

Mbongo mkopeshe ndio imetoka hio,
Mpe malipo kabla ya kazi ugeuke mtumwa wake πŸ˜‚
Mdhamini kwenye mkopo ulipe huo mkopo mwenyewe
Mpe mali kauli mbongo ahame duka lako πŸ˜‚
Kakope mkopo kwa niaba ya mbongo (wafanyakazi) ili upoteze rafiki, ndugu au mke/mume kabisa

Suala la UAMINIFU kwa wabongo ni msamiati mgumu sanaa, lakin laiti tungekuwa waaminifu ungeshuhudia jinsi ambavyo maisha yangekuwa rahisi,
Ingekuwa rahisi kwa mabenk kukopesha kwa riba ndogo mana uhakika wa kurudisha ni mkubwa,

Ingekuwa rahisi hata sisi kwa sisi kusaidiana mikopo ya biashara na vitu ka hivyo, imagine leo hii kwenye circle yako ni watu wangapi unaweza wakopesha 1M ukawa na amani kuwa watalipa 100% kadri ya makubaliano yenu ? Wengi mtu anakopa 1M kwa ahadi atalipa after 1 month, then baadae anaanza sababu, anaanza kukupa mara 50, mara 200, ndani ya mwaka ndio hela imeisha huku ashakuvurugia mipango kibao, wengi hawakopeshi kwa sababu hii,

Ila tungekuwa waaminifu wengi wetu tungekopeshwa na ndugu, jamaa na marafiki, mfano mm binafs, kwenye ukoo wangu, watu ambao naweza wakopesha 30K tu kwa amani hawafiki 7, wengine unawapa then unaanza kusikilizia story nyingi mpaka unaachana na deni hilo, sasa mtu kama huyu nitampa mkopo wa 2M afanye biashara? Au nitamdhamini mahali akope? Au nitampa mali kauli kwenye biashara yangu?

Ingekuwa rahisi kupata mali kauli, kama ndugu zetu wahindi wanavyopewa wao kwao india kisha wanapeana wao kwa wao, hapa bongo mpe mtu mali kauli, mtu yupo radhi ahame hata frame ili tu akupige πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ndio utawin, ila sasa ndio hivyo mnatengeneza mazingira magumu ya kizazi kijacho

Ukweli ni kuwa, UAMINIFU mdogo baina yetu, unafanya biashara na maisha yetu kuwa magumu zaidi kuliko siasa na hali ya hewa,

Ndugu mtanzania m nakuomba, ukikopa, lipa kwa wakati, ukiahidi timiza, kuwa Muaninifu kwa faida yako binafsi na ile ya taifa nzima

Mpaka wakati mwingine,
Wenu Beberu J
Alamski
Hii ni dalili ya, tatizo, sio ,chanzo, tatizo, ni, maisha, magumu
 
Mipango mibovu ya serikali ni chanzo kikubwa cha umaskini , fikiria nchi inakata umeme siku nzima apo unatoboaje?
 
Hii ni dalili ya, tatizo, sio ,chanzo, tatizo, ni, maisha, magumu
Mkuu fuatilia kwa umakini, wengi ambao hawalipi madeni sio kwa sababu hawana uwezo, ni kwa sababu hawataki,mtu anakopa 10K anakimbia mbioooo, sio maisha magumu, ni tabia ya wengi
 
Mipango mibovu ya serikali ni chanzo kikubwa cha umaskini , fikiria nchi inakata umeme siku nzima apo unatoboaje?
Kabla hujafika kwa serikali, sisi wenyewe tuna uswahili mwingi mnoooo,


Yan tungekuwa waaminifu hata umeme usingekata, ila kama jamii tuna watu wengi mno wasio waaminifu
 
Hii ni dalili ya, tatizo, sio ,chanzo, tatizo, ni, maisha, magumu
Tatizo sio maisha magumu,
Watu wanakimbia na madeni ya 10k, 30k na hao ugumu wa maisha, mtu anamake 1M kwa month ila anakimbia na deni la 20K
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom