Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
Nasema hivi kama una rafiki ,ndugu au jamaa wako wa karibu ambaye hukukumbuka na kukutafuta kipindi akiwa na shida tambua ya kwanza huyo ndo adui wako wa kwanza wa maisha yako.
Watu namna hii hutumia madhaifu yako kukumiza na kukukandamiza ili mradi mambo yaweze kwenda ili kutimiza wanachokitaka kutoka kwako waweze na wakishapata hutowaona tena na wala hawajali ulivyo risk na kujiumiza ili kuwatatulia shida zao
Sasa watu namna hii huanza kugeuka maadui zako pale unaposhidwa kuwasaidia huanza kukuchukia always watakuombea mabaya tuu na hii inatokana mazoea waliojijengea kwako wewe kama sehemu ya wao kutatulia matatizo yao ila inapotokea umeshidwa au kujitenga mbali nao .
Watu namna hii hutumia madhaifu yako kukumiza na kukukandamiza ili mradi mambo yaweze kwenda ili kutimiza wanachokitaka kutoka kwako waweze na wakishapata hutowaona tena na wala hawajali ulivyo risk na kujiumiza ili kuwatatulia shida zao
Sasa watu namna hii huanza kugeuka maadui zako pale unaposhidwa kuwasaidia huanza kukuchukia always watakuombea mabaya tuu na hii inatokana mazoea waliojijengea kwako wewe kama sehemu ya wao kutatulia matatizo yao ila inapotokea umeshidwa au kujitenga mbali nao .