Ni nani yuko nyuma ya huu ujinga!?

Ni nani yuko nyuma ya huu ujinga!?

Huko mwanzo kabisa, alipoingia JF alijifanya ndio Samia mwenyewe anayeingia jukwaani!

Huyo ni Mzanzibari mmoja hohehahe sana.

Siku hizi kapuuzwa, hata maandishi yake hayana maana yoyote!
Huyo ni Mzanzibari mmoja hohehahe sana.😀😀😀

Siku hizi kapuuzwa, hata maandishi yake hayana maana yoyote
 
Mbona kalipokuwa chadema kakiandika vijitabu vyake vya "ujasusi" mlikasifia sana?

Cc: Mimi Wewe Yule

Utakuwa na matatizo ya akili. Nioneshe uzi hata mmoja au comment ambayo nimewahi msifia huyo bwege? Hata moja tu ukipata uzi nmemsifia huyo NIPIGWE BAN MWAKA MZIMA. mimi nikimsoma tu mtu najua kama ana au hana akili.
 
Kuna kitabu kimoja alikopi kwa wakili Matojo.

Sue him.
Hakuna jarida ambalo hajafanya plagiarism.

Kuna siku kaliandika "mpango wa siri wa US dhidi ya Russia.." nikacheka sana sasa unajiuliza yaani mpango wa siri wa US uvuke mipaka hadi yeye aliyepo Kigamboni umfikie huo hauwezi kuwa mpango wa siri tena.
 
Hakuna jarida ambalo hajafanya plagiarism.

Kuna siku kaliandika "mpango wa siri wa US dhidi ya Russia.." nikacheka sana sasa unajiuliza yaani mpango wa siri wa US uvuke mipaka hadi yeye aliyepo Kigamboni umfikie huo hauwezi kuwa mpango wa siri tena.
Hapa JF pia kuna muandishi mmoja alim plagiarize.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom