Mwananchi Huru
JF-Expert Member
- Nov 20, 2021
- 1,448
- 1,003
Unajuaje kama ni CCM?Hapo ndio unaona umetupoteza maboya kweli, chama waanzishe ccm kisha ujifanye kutuletea porojo!?
mkakati wa kuifuta chadema kwa kuyaleta mapandikizi ya vyama mbadala umeiva!!!!RIP chadema karibu CCU NA CCKD!!!
Upuuzi wa CCM uko wazi maana wanatumia mbinu za kizee. Mbinu walizotumia kizazi kikiwa kimelala wanadhani watafanikiwa hata sasa. Wamejaribu wa ACT lakini wamekwama. Kizazi hiki kimeshaamka na kinajua kinataka nini.Unajuaje kama ni CCM?
Kukiwepo na Katiba mpya, tume huru ya uchaguzi nakuapia hata marehemu TLP kitaweza kuiondoa ccm madarakani.Ukweli ni kwamba CCM hakuna wakuitoa kwa sasa kwa mamna ilivyo na sera na dira zinazoeleweka
CCM ni chama zao la kutafuta maendeleo na haki ya kila Mtanzania ndio maana inapendwa sana,
khaaaaKukiwepo na Katiba mpya, tume huru ya uchaguzi nakuapia hata marehemu TLP kitaweza kuiondoa ccm madarakani.
Wahuni hawa, Hawana lolote jipyaNi nani yuko nyuma ya Chama hiki kipya Cha Siasa cha 21 Tanzania.
Bahati mbaya sana wanaoanzisha vyama hivi wanashindwa kabla ya kuanza.
Ukweli ni kwamba CCM hakuna wakuitoa kwa sasa kwa mamna ilivyo na sera na dira zinazoeleweka.
CCM ni chama zao la kutafuta maendeleo na haki ya kila Mtanzania ndio maana inapendwa sana.
Vyama hivi ni mazao ya migogoro Ndio maana havifiki mbali kama itakavyokuwa kwa CCKD.
#Usipoteze muda wako baki CCM.
View attachment 2028113
Tutajie tu kama unakijua mkuuKwani chama cha bolebole kinaitwaje?
Uzee sio dhambi ,hata wewe ni mzee mtarajiwa ,mapumb..u ya shangazi yako
Ni ukweli usiopingika huo.Kukiwepo na Katiba mpya, tume huru ya uchaguzi nakuapia hata marehemu TLP kitaweza kuiondoa ccm madarakani.
Sawa Chawa Jr, wasalimie machawa seniorNi nani yuko nyuma ya Chama hiki kipya Cha Siasa cha 21 Tanzania.
Bahati mbaya sana wanaoanzisha vyama hivi wanashindwa kabla ya kuanza.
Ukweli ni kwamba CCM hakuna wakuitoa kwa sasa kwa mamna ilivyo na sera na dira zinazoeleweka.
CCM ni chama zao la kutafuta maendeleo na haki ya kila Mtanzania ndio maana inapendwa sana.
Vyama hivi ni mazao ya migogoro Ndio maana havifiki mbali kama itakavyokuwa kwa CCKD.
#Usipoteze muda wako baki CCM.
View attachment 2028113
Mimi na familia yangu tunaipenda sana CCM nafikiri tutaipenda daima ,kidumu chama cha mapinduzi!Nan anaipenda ccm!! Weka tume huru ya uchaguze ndo ujue Kama inapendwa au haiprndwi. Hata juzi tu polisi wamezui mkutano wa chadema eti tishia la ugaidi. CCM wanajua nguvu ya chadema ndo mana hawataki kabisa kuruhusu mikutano Ila Shaka anaruhusiwa kufanya mikutano.
Ccm imeshajiishia imebaki inategemea polisi tu ili kubaki madarakani ndo mana wakisikia time huru au Katina mpya wako radhi waue kila mtu anayechomozakudai Katiba mpya Mana ndo salama yao