Naona Muro anachukua nafasi ya Zitto sasa,maana kuna kipindi ilikuwa kila ukiamka wakutana na thread ya Zitto,leo hii kila wakati ni 'masredi' tu ya Muro,inakera
Sijui nami KABLA MODS hawajashtuka, nianzishe yangu kuuliza MURO HUPENDELEA KULA VYAKULA GANI?
Naweza kujipatia wachangiaji eti.