bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
bht aksante kwa taarifa hizi- ni mwaka gani hiyo sociology? Huwenda nikawa namfahamu.
Uandishi wa habari alisomea wapi? mwaka?
2006
nijuavyo mimi hata wakati huo anatangaza hakuwa amefanya kozi za uandishi wa habari (mafunzo kazini inahusu hapo) labda baada ya chuo alijiunga kupata certificate in one of our colleges na pia sometimes last year alipokwenda Marekani nadhani kwa mafunzo na aliporudi ndo akajiunga na TBC1!!!