Kwani nani ananufaika na uwepo wako wewe hapa duniani?Hii mada haihusiani kabisa na huyo mamba wenu mkubwa.
Mimi nataka kujua tu hawa mamba maelfu kwa maelfu huwa wanamnufaisha nani?
Je huwa wanaliwa?
Ila wao kila mwaka wanajeruhi watu kibao. Kwa nini isiwepo operation ya kuwaua?
Hakuna kilichoumbwa na Mungu ambacho hakina manufaa kwa mwanadamu.Hii mada haihusiani kabisa na huyo mamba wenu mkubwa.
Mimi nataka kujua tu hawa mamba maelfu kwa maelfu huwa wanamnufaisha nani?
Je huwa wanaliwa?
Ila wao kila mwaka wanajeruhi watu kibao. Kwa nini isiwepo operation ya kuwaua?
Mamba na wanyama wengine wote wananufaikaje na uwepo wako katika hii dunia ?Kwani nani ananufaika na uwepo wako wewe hapa duniani?
Mamba na wanyama wengine wote wananufaikaje na uwepo wako katika hii dunia ?
mbona binadamu tupo wengi sana!!!!..kwa nini isiwepo operation za kutuua>??Hii mada haihusiani kabisa na huyo mamba wenu mkubwa.
Mimi nataka kujua tu hawa mamba maelfu kwa maelfu huwa wanamnufaisha nani?
Je, huwa wanaliwa?
Ila wao kila mwaka wanajeruhi watu kibao. Kwa nini isiwepo operation ya kuwaua?