mamba

Mambas are fast-moving, highly venomous snakes of the genus Dendroaspis (which literally means "tree asp") in the family Elapidae. Four extant species are recognised currently; three of those four species are essentially arboreal and green in colour, whereas the black mamba, Dendroaspis polylepis, is largely terrestrial and generally brown or grey in colour. All are native to various regions in sub-Saharan Africa and all are feared throughout their ranges, especially the black mamba. In Africa there are many legends and stories about mambas.

View More On Wikipedia.org
  1. N

    TAWA yafanya msako wa mamba tishio kwa maisha ya binadamu Rufiji

    Katika kuhakikisha usalama wa maisha ya watu wilayani Rufiji, Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania - TAWA imefanya msako wa mamba wanaotajwa kutishia maisha ya watu kutokana na kusogea karibu na makazi ya watu kufuatia kusafirishwa na mikondo ya maji yaliyosababishwa na mafuriko...
  2. EngFDM

    Mamba waonekana Bwawa la Chemka

    JF team nimekutana na hii habari kwenye whatsap, naomba kwa mtu aliye karibu na maeneo ya huko Chemka atuambie kama ni kweli au ni uzushi? Naambatanisha na video na huo ujumbe unaozunguka Kinga ni bora kuliko tiba. Hapa ni Chemka kule boma ng’ombe. Sehemu pendwa kwa kuogelea na natural Massage...
  3. Pfizer

    TAWA yaweka kambi rufiji, elimu ya kuepuka madhara ya mamba na viboko yatolewa Na. Beatus Maganja

    Timu ya Maofisa uelimishaji kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania - TAWA imeweka kambi maalumu wilayani Rufiji yenye lengo la kutoa elimu ya namna ya kuepuka madhara yatokanayo na mamba na viboko kwa wananchi walioathiriwa na mafuriko wilayani humo. Hayo yamesemwa leo na Afisa...
  4. Roving Journalist

    Kukabiliana na Wanyama waharibifu, TAWA yaua Mamba 3 na Boko 2 Bwawa la Mtera

    MAMLAKA YA USIMAMIZI WA WANYAMAPORI TANZANIA TAARIFA KWA UMMA HATUA ZINAZOCHUKULIWA NA TAWA KATIKA KUKABILIANA NA CHANGAMOTO YA MAMBA NA BOKO KATIKA BWAWA LA MTERA Hivi karibuni kumekuwepo na ongezeko la matukio ya wanyamapori wakali na waharibifu wakiwemo mamba na boko kujeruhi na wakati...
  5. Mjukuu wa kigogo

    Koboko aka Black Mamba

    Ndiye huyu sasa!Ukifika Tabora karibu sana Urambo.
  6. M

    Mamba aliemla mtoto apasuliwa tumbo

    Maafisa wa Idara ya Huduma ya Wanyamapori (KWS) siku ya Jana Ijumaa walifanikiwa kumuua mamba aliyemla mtoto wa miaka 11 katika kijiji cha Manyuru, kaunti ndogo ya Ndhiwa Nchini Kenya. Katika tukio hilo, mtoto huyo, Felix Odongo wa Gredi ya Pili alikuwa anachota maji na wenzake Mto Kuja wakati...
  7. Jamii Opportunities

    Expression Of Interest To Goods And Service Providers at Mamba Minerals Corporation Limited January, 2024

    Expression Of Interest To Goods And Service Providers Mamba Minerals Corporation Limited, a company incorporated in the United Republic of Tanzania with incorporation number 163504529, is seeking expressions of interest from companies able to fulfill the requirements for the purchase of various...
  8. Sildenafil Citrate

    Mamlaka ya usimamizi wa wanyama pori Tanzania (TAWA) yasema taratibu zote za kisheria zilifuatwa kwa mamba aliyewindwa na kuuawa ziwa Rukwa

    Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori (TAWA) imesema imekamilisha uchunguzi uliokuwa unafanywa ili kuona kama kuna ukiukwaji wa sheria za uwindaji baada ya kuonekana kwa video ya Mwindaji wa Marekani Josh Bowmer akifurahia kuwinda mamba mkubwa chini Tanzania na kuleta taharuki, ambapo uchunguzi...
  9. gango2

    HILI LA TAWA NA MZUNGU NA MAMBA LINATUTIA HASIRA TU...!

    Naenda moja kwa moja kwenye point. Hata mimi nisiye na uelewa kwenye mambo haya ya uwindaji sijui na vibali vya uwindaji naamini kabisa katika hili tumepigwa kabisaaa either na huyu Mzungu au hawa TAWA" Kama kweli huyu ndio mamba mkubwa kuliko wote Tanzania na anarekodi zake, basi kuna kitu...
  10. Idugunde

    Ni nani huwa anafaidika na maelfu ya mamba nchini? Je, huwa wanaliwa?

    Hii mada haihusiani kabisa na huyo mamba wenu mkubwa. Mimi nataka kujua tu hawa mamba maelfu kwa maelfu huwa wanamnufaisha nani? Je, huwa wanaliwa? Ila wao kila mwaka wanajeruhi watu kibao. Kwa nini isiwepo operation ya kuwaua?
  11. K

    Rais Samia, mfute kazi Waziri wa Maliasili na Utalii, mzungu naye akamatwe na kushtakiwa kwa uhujumu uchumi

    Tazama kwanza Mama huyu akipelekwa kwenda kutumikia kifungo Cha miaka 22 kwa kosa la kukutwa na vipande 12 vya nyama ya swala miezi miwili iliyopita. NB- tuzingatie na kutafakari pia wawindaji waliomuua mamba wamepigwa marufuku kufanya uwindaji nchini kwao. Sasa twende kwenye tukio lilisambaa...
  12. BARD AI

    TAWA: Bado tunachunguza tukio la Muwindaji kuua Mamba

    Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori (TAWA) imesema inaendelea na uchunguzi kuona kama kuna ukiukwaji wa Sheria za uwindaji baada ya kuonekana kwa video ya Mwindaji wa Marekani Josh Bowmer akifurahia kuwinda mamba mkubwa nchini Tanzania mwenye rekodi ya dunia na kuleta taharuki. Taarifa ya TAWA...
  13. Mhaya

    Jamaa aliyefanya uwindaji wa Mamba hana kosa; Sababu hizi hapa

    Kiuhalisia jamaa aliyefanya Poaching hana kosa kwa Mujibu wa kanuni asilia kwa sababu Mnyama kama Mamba yupo kwenye Top of Food Chain, yani ni mnyama hasiyekuwa na Natural Predator au competition kutoka kwa Predators wa jamii nyingine tofauti na wanyama kama Simba, Chui, Duma na Fisi ambao kila...
Back
Top Bottom