NImetamani kuandika mambo mengi lkn nilipoona joined 2022 nikaona nitaua mende kwa nyundo huku mimi nikipoteza nguvu nyingi zaidi.Mtu anatumia masaa 8 kupigia mazoezi step moja tu unajua diet aliyokua anafanya kumaintain mwili wake wa kimuziki? kafatilie documentary ya ile video ya thriller uone uandaaji wake watu wanapiga kazi usiku kwenye baridi kali alafu we unasema anatajirika bila jasho seriously.!
Michael Jackson atabaki kuwa extraordinary human being.. Na ni ngumu sana kupata Tena binadamu kama yeye kwa kizazi chetuZa jioni ndugu zangu, kwema?
Michael Jackson enzi za uhai wake alikuwa msanii maarufu na tajiri kuliko msanii yeyote hapa duniani.
Lakini pamoja na hizo sifa mbili kubwa nilizozitaja, kwangu mimi naona kuwa jamaa alibebwa na nyota tu kama ilivyo kwa Diamond, ila kiuimbaji au utungaji jamaa hakuwa anatunga au kuimba nyimbo zozote za maana.
Em fikiria Michael Jackson alikuwa na uwezo gani wa kutunga nyimbo nzuri na za maana kushinda wasanii kama Lionel Richie, Steven Wonder, Phil Collins, au mademu kama vile Whitney Houston, Celine Dion, Shania Twain nk.
Labda aliwashinda kwenye kucheza kama vile kusimamia kucha, kuteleza sakafuni, mabreka nk. Lakini kwenye tungo iwe za mapenzi, kijamii nk Michael alikuwa mweupe tu kama ilivyo kwa Diamond kuonekana anajua na kupata umaarufu wa ndani na nje zaidi ya wakongwe wa mziki kama vile kina Nature, Afande Sele, Kiba, Barnaba na wakongwe wengine mbali mbali.
Sijajua hili linatokana na nyota kweli au kuna namna tu media zinaamua kukubeba kwa lengo fulani.
Kwa kweli mpaka sasa sijauelewa mziki au wimbo uliomfanya Michael Jackson apendwe na kuitwa mfalme. Mwenye uelewa zaidi wa nyimbo zake aje atuambie.
Umesahau ngoma mbiliAcha kusikiliza singeli, ukiacha rudi tena kasikilize wimbo wowote wa hayati Michael Jackson, baadhi ya nyimbo hizo ni Human Nature, Liberian Girl, Slave To Rythm, Black or White, Bad, Stranger in Moscow, Billie Jean, Don't stop till you get enough, thriller, You are not alone, Will you be there e.t.c
Jitahidi unavyoanzisha thread hata kama haulipii utumie akili kuwasilisha unachotaka na sio kuja bila mpangilio. Yangu ni hayo
Ile nyimbo imebeba hisia kali unaweza jikuta unamwaga chozi na hata haujui nini kinakuliza. Yule jamaa alikuwa kama mchawi fulani hivi.Mara ya kwanza nasikiliza heal the world nilikua darasa la pili tangu hapo mpaka leo nikiwa na miaka 30 huwa sichoki kuusikiliza
Amenikera sana huyu dogo hadi nimeshindwa kula. Hawa watoto wa miaka 2000 wanadharau sana hawa.We jamaa umeniharibia siku kwa kumponda mfalme wa pop. MJ toka akiwa mtoto alikuwa anatisha. Sikiliza I'll be there alioimba na kaka zake (Jacksons5) akiwa mtoto kabisa. Huo wimbo ulikuja kurudiwa (remix) na Mariah Carey.
Endelea kusikiliza Singeli. Haya mambo yanayohusisha kiingereza achana nayo.
Hivi wewe dogo una wazazi kweli, naomba mawasiliano yao nahitaji kuonana nao wakukanye uwe na adabu, umekosa saba adabu na heshima we dogo.Shukran mkuu kwa haya mistari miwili mitatu. Bora wewe umejitahidi kuweka kile alichoimba.
Mtoto mdogo ila amejawa na ushenzi mwingi ati.NImetamani kuandika mambo mengi lkn nilipoona joined 2022 nikaona nitaua mende kwa nyundo huku mimi nikipoteza nguvu nyingi zaidi.
Kumdhalilisha kivipiii?Kama unamuelewa MJ you shouldn't call him The Wacko Jacko. Hilo ni jina la kumdhalilisha.
ππππUmezaliwa 2004 unataka kumuelewa michael jackson na muziki wake.
Plus:Ili upate toba ya kweli, sikiliza huku unasoma lyrics za hizi nyimbo;
Earth song- Uharibifu wa Mazingira, Madhara ya vita, Ubaguzi wa rangi/utumwa.
Gone too soon- Waliotengwa kwa kuugua UKIMWI.
Black or white - Anakemea ubaguzi wa rangi
Another Part of Me - Umoja
Man in the Mirror - Kujitambua (Self-awareness)
The Lost Children- Anaongelea watoto wa mitaani
Alafu ule hizi ngoma:-
This Girl is Mine
Jam
Leave me alone,
Off the Wall,
Pretty Young Thing(PYT)
Rock With You
Speechless
You Rock My World
Who Is It
Butterfly
NB: Ukimaliza uje uombe radhi hapa
Una miaka mingapi?Za jioni ndugu zangu, kwema?
Michael Jackson enzi za uhai wake alikuwa msanii maarufu na tajiri kuliko msanii yeyote hapa duniani.
Lakini pamoja na hizo sifa mbili kubwa nilizozitaja, kwangu mimi naona kuwa jamaa alibebwa na nyota tu kama ilivyo kwa Diamond, ila kiuimbaji au utungaji jamaa hakuwa anatunga au kuimba nyimbo zozote za maana.
Em fikiria Michael Jackson alikuwa na uwezo gani wa kutunga nyimbo nzuri na za maana kushinda wasanii kama Lionel Richie, Steven Wonder, Phil Collins, au mademu kama vile Whitney Houston, Celine Dion, Shania Twain nk.
Labda aliwashinda kwenye kucheza kama vile kusimamia kucha, kuteleza sakafuni, mabreka nk. Lakini kwenye tungo iwe za mapenzi, kijamii nk Michael alikuwa mweupe tu kama ilivyo kwa Diamond kuonekana anajua na kupata umaarufu wa ndani na nje zaidi ya wakongwe wa mziki kama vile kina Nature, Afande Sele, Kiba, Barnaba na wakongwe wengine mbali mbali.
Sijajua hili linatokana na nyota kweli au kuna namna tu media zinaamua kukubeba kwa lengo fulani.
Kwa kweli mpaka sasa sijauelewa mziki au wimbo uliomfanya Michael Jackson apendwe na kuitwa mfalme. Mwenye uelewa zaidi wa nyimbo zake aje atuambie.
Kwa uandishi huu, sidhani kama utampinga mleta madaAisee ulikuwa unawaza kama mimi. Sijawahi kuona uzuri wa nyimbo asilimia kubwa za MJ. Mwingine ni bob marley huwa naona kama luckydube aliapaswa kuxhukua tittle ya BM
Mzee, acha kabisa! Sasa kijana wetu huyu..Plus:
Dirty Diana... Hasahasa album nzima "Thriller" na "Bad".
Hizo album mauzo yake hayajawahi kufikiwa hadi leo.. hasa Thriller ngoma zote kwenye album ni nyundo... enzi hizo unasikiliza side A unaenda side B unarudi side A mwendo kugeuza kanda... Masaa mawili ya hits.