hahaha. unalalama mwenzako anakula na kulindwa kwa kodi zako.Yy ndio ahame, maana sidhani kama ni mtz
Pogba wa tz nchi imekushinda!
Hata mimi ninamshangaa huyu mtoa mada!! Yaani sijui anahoji kitu gani wakati sisi tumeamua kulindana wenyewe coz sisi sote ni watoto wa mama mmoja ccm.Wewe kichwa kigumu, na mzito kuelewa pia MBISHI Wa asili, sasa hapo unachohoji ni nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wadau!
Jk alishawai kusema za kuambiwa changanya na zako.
Ivi wakati huyu Prof anasaini mikataba bila kusoma je rais Magufuli alikuwa rais au alikuwa waziri?
Kama alikuwa waziri tena ya Ujenzi aliingiaje kumwambia asaini mikataba ya Madini na wakati yeye sio waziri wa wizara husika?
Si aseme tu kuwa kaingia chaka na ripoti ya makinikia na kumteuwa baada ya kumpelekea riport inayotambulika kama professional rubbish?
Anadanganya umma kwa maslai ya nani?
Hujui kuwa hata mkuu wa TISS alikuwa mfanyakazi katika taasisi mbali mbali nchini?
Rais amesema alitumwa na kwa maana kuwa taasisi ilimtuma.
Vitu vingine vinahitaji tu komoni sensi kuvielewa.
Tatizo vijana wa sasa hata komoni sensi imekuwa bidhaa adimu!
Unaposema alitumwa unamaanisha alitumwa akafanye mambo bila umakini?Hujui kuwa hata mkuu wa TISS alikuwa mfanyakazi katika taasisi mbali mbali nchini?
Rais amesema alitumwa na kwa maana kuwa taasisi ilimtuma.
Vitu vingine vinahitaji tu komoni sensi kuvielewa.
Tatizo vijana wa sasa hata komoni sensi imekuwa bidhaa adimu!
you have said it all ... have no more to add .... periodHii Nchi inaongozwa Kisanii na Kick za kutafuta Popularity.
Anakuwa upande wa adui na hata mkiwa mnashambulia yeye anawashambulia,nimekuelewa. unamaana alikuwa TISS wa enzi nz enzi. hivyo aliyoyafanya yote alikuwa anatimiza kazi zake. ok mwanya kazi wa TISS ni haki yake kutia hasara taifa?
Swala sio katumwa lini? Swala alikuwa na kitu akaona JPM is the right person kushughulikia tatizo naye akamtonya, yawezekana Wa huko nyuma walikuwa wagumu kuchughulika na kasoro hizi.JPM katafta njia ya kumtetea huyo Mruma anatufanya sisi watoto - sii asseme anaajenda ya siri tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Undercover spy akiwa uwanja wa mapambano yuko huru ikiwezekana hata kuua askar kutoka ktk Jeshi lililomtuma.nimekuelewa. unamaana alikuwa TISS wa enzi nz enzi. hivyo aliyoyafanya yote alikuwa anatimiza kazi zake. ok mwanya kazi wa TISS ni haki yake kutia hasara taifa?
ok. nimekuelewa. hivyo unataka kusema maovu yaliyofanywa na viongozi enzi za mkwere walikuwa TISS. Ili waje walete taarifa za uhakika kwa mkulu wetu wa sasa?Undercover spy akiwa uwanja wa mapambano yuko huru ikiwezekana hata kuua askar kutoka ktk Jeshi lililomtuma.
Watanzania nashauri tafuten maarifa zaidi
Chief Economist
Hata hao ambao hawakufanyia kazi hzo ripoti nao mlikuwa mkiwasifu kwa nyimbo na mapambio.Upumbavu ni mzigo, vyombo vya ulinzi na usalama vinafanya kazi zake kikamilifu, tiss wanafanya kazi kwa mujibu wa viapo pia na ni wajibu na utashi wa mwenye mamlaka kufanyia kazi, kama walokuepo hawakutaka kufanyia kazi basi aliyepo kaamua kuyafanyia kazi.
Hapanaok. nimekuelewa. hivyo unataka kusema maovu yaliyofanywa na viongozi enzi za mkwere walikuwa TISS. Ili waje walete taarifa za uhakika kwa mkulu wetu wa sasa?
So alimtonya mwizi. Maana haya madudu yamefanyika kabla ya jpm kuingia ikulu.Swala sio katumwa lini? Swala alikuwa na kitu akaona JPM is the right person kushughulikia tatizo naye akamtonya, yawezekana Wa huko nyuma walikuwa wagumu kuchughulika na kasoro hizi.