Walimtuma sio alimtuma vitu vingine ni kutumia akili tu sio vya kuanzisha thread
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
ma askari huwa wanamajukumu ya kuanda ripoti na kuipeleka kwa wenye maamuzi .
Usalama wa taifa moja kati ya vigezo ni umakini(intelligence) sasa kama mausalama wa taifa wako kama Mruma taifa liko salama kweli?Alikuwa Usalama wa taifa
ni sawa ,nimemuelewa Mh Rais ,angemkana leo Prof Mruma ,tungerudi katika ile ripoti yake kama ilikua sahihi,kama alitumwa kweli BIG UP prof Mruma
kama hutaki hama nchi.Hapangiwi hii nchi ni ya mama yake??? Asituletee us....e
Pogba wa tz nchi imekushinda!
Yy ndio ahame, maana sidhani kama ni mtzkama hutaki hama nchi.
nimekuelewa. unamaana alikuwa TISS wa enzi nz enzi. hivyo aliyoyafanya yote alikuwa anatimiza kazi zake. ok mwanya kazi wa TISS ni haki yake kutia hasara taifa?Hujui kuwa hata mkuu wa TISS alikuwa mfanyakazi katika taasisi mbali mbali nchini?
Rais amesema alitumwa na kwa maana kuwa taasisi ilimtuma.
Vitu vingine vinahitaji tu komoni sensi kuvielewa.
Tatizo vijana wa sasa hata komoni sensi imekuwa bidhaa adimu!