Wewe unaangali tako wenzio sura tuniliwahi kusikia anaitwa mrembo kweli kweli huyu Dada sasa ninapoiona hii picha nashindwa kuelewa vigezo gani vilitumika,kwa jinsi anavyoonekana vikalio kama dereva wa magari ya mwendokasi aaaaah!! Kila mtu na macho yake.
we jamaaAtakuwa aliuawa na watu wasiojulikana, ndugu moja na hawa waliotaka kumuua mwana mwema wetu Lissu!
Nalo swali [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]kwani kwenye hiyo mijadala unayosema umesoma mitandaoni wanasema kauliwa na nani???
ili wapate nini?Freemason na kampuni ya coca cola.
hata lissu risasi zilimdondokea tu! [emoji23] [emoji23]Sijui mtaacha lini uongo.
Mfano Michael J ni maskin cancer.Kanumba alitelezaa......acheni hizo mambo
Ana mchango gani katika maisha yako.. Na utakapojulishwa nini kitaongezeka katika maisha yako!Wakubwa wa hili jukwaa heshima kwenu,
Katika kuperuzi kwangu mtandaoni nimekutana na mjadala mzito kuhusiana na kifo cha Mrembo maarufu aliyepata kutokea huko Marekani bibie Marilyn Monroe.
Naamini humu kuna wajuvi mbalimbali, naombeni mnijuze ni kipi kilisababisha kifo cha Marilyn Monroe na akina nani waliratibu kifo hiko tata cha mrembo Marilyn Monroe? Karibuni mtupe mawili matatu...
wahuni walimwambukiza kisonono akakipeleka kwa kennedyAna mchango gani katika maisha yako.. Na utakapojulishwa nini kitaongezeka katika maisha yako!
Tafuta documentary ya DMX kilichomkuta...hana tofauti na EminemPlease mkuu nihighlight kidogo niko tough sana ntatafuta hiyo doc nikitulia!
Only napenda kujuaga maagano/mikataba yao!
Eminem aliambiwaje?
hahahahAtakuwa aliuawa na watu wasiojulikana, ndugu moja na hawa waliotaka kumuua mwana mwema wetu Lissu!
na wewe kwenye hiyo avatar yako hilo kalio zuri mpaka raha.... yaani hapa ni mwendo wa kudisa tu nikiangaliaKadada kalikuwa kazuri hadi raha...sema na cocaine kalikuwa kanajioverdose
Mkuu uko sahihi! Ni drug overdose ! Nahisi alidhani siku moja angeweza kuchukua nafasi ya Jackie, lakini haikuwa hivyo. Ile siku alipomwimbia Rais Kennedy "Happy birthday, Mr. President" alionyesha fika hisia alizokuwa nazo. Ni mawazo yangu tu.
Hivi mkuu upo?...kitambo sana na huu uzi wetupole sana.
Bila kalio kubwa,kibongo bongo urembo haujatimia!niliwahi kusikia anaitwa mrembo kweli kweli huyu Dada sasa ninapoiona hii picha nashindwa kuelewa vigezo gani vilitumika,kwa jinsi anavyoonekana vikalio kama dereva wa magari ya mwendokasi aaaaah!! Kila mtu na macho yake.