Nashauri magwiji wa hili jukwaa wa organize get together, kwa namna hiyo watu wataweza kufahamiana kwa sura, sio kwa majina ya JF.
Nadhani hiyo itasaidia watu kuanzisha mahusiano kwa kufahamiana. Siongelei wapenzi, naongelea watu wenye nia ya dhati ya kuhitaji mke/mme. Ni hayo tu.
Nadhani hiyo itasaidia watu kuanzisha mahusiano kwa kufahamiana. Siongelei wapenzi, naongelea watu wenye nia ya dhati ya kuhitaji mke/mme. Ni hayo tu.