Ila kilimanjaro wakazi wake wengi wanaotafuta vipato huwa wapo mikoa mingine kurudi hadi December,Kilimanjaro
Wao hawataki kuitwa waafrika wanajiita waarabu lakini waarabu wanawaita waafrika sio wenzao 😂Sitajibu kwa mkoa, ila kuna jamii inaitwa wasomali, sijawahi ona mbwa wabaguzi kama wale, sio biashara tuu ni kila kitu
Kagera,kilimanjaro,manyara.Kuna mikoa ukienda kufungua biashara, jipange kama ni mgeni
Nawe tupe mwongozo lo!
Walevi hujawatajaIla kilimanjaro wakazi wake wengi wanaotafuta vipato huwa wapo mikoa mingine kurudi hadi December,
wengi wanaobaki ni watu wa kukaa majumbani, wazee, wanafunzi, wagonjwa, wastaafu, n.k. labda kwa mbali watumishi wa umma