Binafsi sijaona udini kwenye uteuzi huu. Naona bwana mkubwa ame-balance vizuri.
Hujaona udini kwa sababu kachaguliwa muislamu mmoja na wengine wote ni wakritso kwako hiyo ndio "ame-balance vizuri" kinyume chake ni udini, it goes without saying wakizidi wakristo balance nzuri lakini wakizidi waislamu udini!
Cha kufurahisha ni mkikosa hoja ya udini mnakimbilia "urafiki" wakiteuliwa wakrsto wengi mnadai "maswahiba" wake anawaweka kwa sababu maalum.
He cant wi,n either way he is in wrong, hapa ndipo mlipomfikisha wadini nyie.