Ni kweli TISS hawafahamiani na hawaaminiani?

Huwa nashangaa Kuna habari gani chuo?

Hivi Hawa jamaa wanaweza kuwa na account za fb au insta ambazo ni za muda mrefu au wanakuwa na zile za muda mfupi tu?
Kwasababu Kama wanazo za muda mrefu si watu watawajua tu
huwa wanafundishwa jinsi gani ya ku pose kwenye mitandao. wakiwa na lengo la kulusanya taarifa bila kuwa exposed.
ikiwamo kutumia account fake, details fake na n.k
its all possible.
 
Naomba niwakumbushe idara hii nyeti kwa nchi ilikuwa na weledi wa kutosha na uzalendo enzi za mwalimu pekeyake kwa sasa hakuna kitu blah blah blah blah , kujisifu, uchawi, unafiki , umbea ,uongo, na zaidi wameingizwa kwenye siasa ndio kabisaaaaaaaaa state machinery ya nchi yoyote inayojitambua iko very organized na hawayumbishwi , hawa wakwetu ni empty sorry to say so. Nyie mnajua kubeba mabastola kiunoni ndio usalama stupid, kuna mambo mengi sana ya maana na ya msingi walitakiwa kufanya lakini nehi nehi nili nili nil kimsingi they are crap
 
Hamna Bhana Acha kutisha watu. Ukitaka ku enjoy Usalama au Jeshi uwe umesoma.

Kwa sasa ni kazi nzuri sana kwasababu unakuwa very much controlled kwa muktadha wa Information. Information is Power , so unajua ile Portion ndogo sana ya Information, na unaweza kufukuzwa kaz kama watumishi wengine ikiwa unakiuka madili ya Usalama.

Zamani ndio ilikuwa tabu , yaani mtu mmoja ana portion nyingi sana za Information kiasi kwamba ukiwa suspect , kifo ndio Jawabu lako.

Ungejua hakuna watu wanaokula National Cake bila kufanya kazi yoyote ngumu ni Usalama. Na kwa sasa wakizingua wanafukuzwa kazi na hata kufikishwa kwenye vyombo vya Sheria.

Halafu pia tambua kwamba kuwa usalama sio Usnitch wala uadui, ni KAZI , kwa mfano wapo Usalama kazi yao ni kutibu, Ujenzi, ushonaji, injinia, yaani kila mtu fani yake, wengine Finance kazi yao ni kudadavua mahesabu, wengine kazi yao ni kutype barua za serikali, ....

Wacha watu wachague fani zao.

Leo nikikuambia Kitila Mkumbo ni Usalama utakubali ? Na alikuwa ni Mshauri wa Act Wazalendo, nikikuambia Slaa ni Usalama since day one akiwa Chadema utakubali ? Hawa wote ni Critical thinkers na ni wasomi ! Wanakula national cake tu ! Kama unadhani haya mambo yanatokea kwa Bahati mbaya baki hivo hivo.
kwa hiyo Dr.slaa alipovunjwa mkono,ngeu na damu kibao pale arusha serikali haikujua kama ni usalama wataifa siyo
 
Wanabodi, weekend hiyooo na kamvua kwa mbali hapa Arusha!

Nipo Triple A hapa. Kuna jamaa yangu ananiambia eti wana usalama/TISS hawafahamiani na hawaaminiani kabisa!

Yaani kila mmoja ana majukumu yake na mahala pa kureport. Hawana mazoea ya mwenzangu uko wapi, unafanya nini!

Hawaaminiani, hawajuani kivile!

Hii kitu ni kweli au ni mfumo kama tu wa TAMISEMI au taasisi zingine?

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanajuana, ila hawajuani assignment au duty zao. Anaweza akawa hapo bandari au airport lkn kumbe kazi yake kuchunguza namna kodi inavyokwepwa, wakati yupo mwingine same area ana deal na issue za drugs, wakati yupo mwingine hapo hapo ana chunguza utoroshwaji wa nyara!!!
 
jamaa wa tiss wenyewe ndio wanajua ukweli wa mambo yanayosemwa hapa ..... naona blaa blaa mkngi kila mtu mjuaji
 
Back
Top Bottom