Spacefox
Member
- Aug 10, 2020
- 93
- 90
Huwa wanatumia ID tofaut tofaut na majina ya uongo.
Huwa nashangaa Kuna habari gani chuo?
Hivi Hawa jamaa wanaweza kuwa na account za fb au insta ambazo ni za muda mrefu au wanakuwa na zile za muda mfupi tu?
Kwasababu Kama wanazo za muda mrefu si watu watawajua tu