kajunjumele
JF-Expert Member
- Jul 5, 2014
- 2,417
- 1,289
Basi SawaNi mimi mkuu
Basi SawaNi mimi mkuu
Kama siyo wewe basi umesoma nao,...Haha! Kumbe Mimi ni TISS.
Mimi nawashusha na kusema ni wapumbavu fulani wenye vitambi na kaunda suti, hata kuruka kichuchura hawawezi...Kimsingi tunawakuza mpaka nao wanashangaa.
Hakunaga tangazo ni random selection tu ukiwa unahitajika utapatwaHata hilo tangazo za kazi zao sijawahi ziona.
..atafute tu hela hata khabari ya daimondi na dona wake aachane nazo hazimsaidii kabsaaaMambo mengine yanawapa shida bureee!! Hebu achana na hao sijui usalama!
Fanya shughuli zako au jadili akina diamond na Tanasha!
Kwanza hawapo hao watu wa usalama
Sent using Jamii Forums mobile app
.....Kuna wanaojuana, kuna wasiojuana, kuna wanao-wafanyia ujasusi wenzao uku nao wakifanyiwa ujasusi bila kuwajua wanaowafanyia ujasusi, kuna wanaofanyishwa kazi za usalama bila wao kujijua, iwe kwenye siasa, biashara, dini kote wapo majasusi.
Tatizo la ujasusi wa bongo umejikita kwenye kukusanya taarifa zaidi za mambo mbali mbali kusaidia utawala uliopo madarakani tofauti na wenzetu ambao wanajikita sana kwenye kuzuia hatari zote mbaya zizazohusu uchumi na siasa bila kuegemea upande wowote wa kisiasa.
TISS wanatakiwa kujikita kwenye ujasusi wa kiuchumi jinsi ya kutengeneza mabilionea, jinsi ya kupigana vita ya kiuchumi na mataifa jirani, kuhakikisha taarifa za kiujasusi wanazokusanya zinafanyiwa kazi haraka bila kuegemea upande wowote.
Asante sana kaka mkubwa.Hakunaga tangazo ni random selection tu ukiwa unahitajika utapatwa