Ni kweli TISS hawafahamiani na hawaaminiani?

Kadi ya CCM inapatikana pale Lumumba Makao Makuu ya Chama, watakupatia. WAHI.
———
2. Kazi za TISS mara nyingi hawatangazi, nyingi huenda kwa RECOMMENDATIONS from the third party.
———
3. Nashauri ndoto zako zianzie Lumumba, it is very easy to be sourced from there hasa kama wewe ni POTENTIEL, pia nina amini ni kijana uliyemaliza chuo. Kuwa CCM sio lazima uwe mwanasiasa. It is the best way to position Yourself.
———
4. Hatuwezi kukupa nafasi yoyote ya Umma kama hatukujui vyema. Hasa nafasi zenye maslahi ya Taifa , vinginevyo utabaki kuwa Mtendaji wa chini . Vijana tunajichelewesha wenyewe kwa kwenda kwenye ma vyama ambayo hayakupi msingi wowote wa maisha zaidi ya kukufundisha UTUKUTU.
Ok, shukran, nimekupata vyema mkuu.
Na ninaamini ndoto zitatimia.
Naanza kulifanyia kazi.
 
Kadi ya CCM inapatikana pale Lumumba Makao Makuu ya Chama, watakupatia. WAHI.
———
2. Kazi za TISS mara nyingi hawatangazi, nyingi huenda kwa RECOMMENDATIONS from the third party.
———
3. Nashauri ndoto zako zianzie Lumumba, it is very easy to be sourced from there hasa kama wewe ni POTENTIEL, pia nina amini ni kijana uliyemaliza chuo. Kuwa CCM sio lazima uwe mwanasiasa. It is the best way to position Yourself.
———
4. Hatuwezi kukupa nafasi yoyote ya Umma kama hatukujui vyema. Hasa nafasi zenye maslahi ya Taifa , vinginevyo utabaki kuwa Mtendaji wa chini . Vijana tunajichelewesha wenyewe kwa kwenda kwenye ma vyama ambayo hayakupi msingi wowote wa maisha zaidi ya kukufundisha UTUKUTU.
Baada ya Kadi what next?
Watajuaje u potential wako
 
Miaka ya Nyuma enzi za mwalimu kulikuwa na Recruited asset wengi wanakuwa ni ma informer tuu. Lakini wengine huwa wanajimwambafy sana ndio hao wanaopiga kelele bar.

Wenyewe ni wapole na unaweza kuishi nae nyumba moja usinfahamu miaka hata milele. Sign moja ya haijifichi huwa hawakosi ajira. Utasikia leo yuko ITv, kesho mwananchi keshokutwa MM steel mara Railway huwa lazima awe attached na ajira rasmi. Off course zile suti huwa hawakosi kuvaa japo siku moja ya mwezi

Sent using Jamii Forums mobile app
maulidi kitenge
 
mimi namjua askari mmoja mwenye Rasta

Sent using Jamii Forums mobile app
kuna mmoja pia alikuwa huku kigoma jamaa kawapukutisha saana majambazi sugu (sisi tulikuwa tunajua yeye ndio jambazi na kafuga rasta sababu hana maskio kuwa yalikatwa kwenye matukio yake ya ujambazi)

na hii miaka naskia yupo mwanza ni teja igogo milimani huko
 
kuna mmoja pia alikuwa huku kigoma jamaa kawapukutisha saana majambazi sugu (sisi tulikuwa tunajua yeye ndio jambazi na kafuga rasta sababu hana maskio kuwa yalikatwa kwenye matukio yake ya ujambazi)

na hii miaka naskia yupo mwanza ni teja igogo milimani huko
Ni afisa kipenyo pia
 
Mulemule mzee big up...niliwahi kutumika bila mwenyewe kujua katika haya mambo...nilipokuwa chuo nilikua na mahusiano na binti mmoja kumbe bhn ni MTU wa kitengo na nilikuja kujua mwaka wa pili wa masomo,na ana bosi wake kabisa ambaye ndio huwa anampa maelekezo siku moja nkamwambia natamani sana na Mimi nifanye kazi hii akanambia sikushauri ni kazi inayohitaji uzalendo na ni ngumu sana hasa kwa watu wa level za chini kama alivyokuwa yeye na akanambia pale chuo wapo wengi tu na huwezi kuamini wengine..sasa siku moja akanikutanisha na bosi wake bila kujua bosi akanitumia katika shughuli za nchi huku nikiwa sijui nilikuja kujua mwaka wa mwisho kabisa kazi ikiwa imeisha nilichoka...
Chuo huwa wanafuata Nini sasa, au kuhusu mishe za migomo?
 
Sasa wajuane ili iweje?
Alafu nasikia hao jamaa nchi ikiwa chini yaJeshi wote wanakuwa raia tu.
 
Haa
Taarifa Ni Chochote Kile Itakwenda Kuchujwa Mbele
Huwa nashangaa Kuna habari gani chuo?

Hivi Hawa jamaa wanaweza kuwa na account za fb au insta ambazo ni za muda mrefu au wanakuwa na zile za muda mfupi tu?
Kwasababu Kama wanazo za muda mrefu si watu watawajua tu
 
Mbona hao jamaa ni watu kama watu wengine tu pia wanaishi maisha kama ya watu mwengine pia hata mtaani wanapoishi wanafahamika sana tu.

Suala la kuzingatia ni kwamba sio watu wa kujichanganya na makundi ya watu ovyo ovyo na kama ni sehemu za starehe wakishaanza kuzoeleka wengu hua wanahama ili wasiendelee kufahamika.

Kuhusu wao kwa wao kufahamiana wanafahamiana tena vizuri kabisa ila hawawezi kamwe kuaminiana. Lakini kuaminiana au kutoaminiana ni suala la kawaida kwa wanadamu wote na hii ni kwakua hatuijui dhamira ya mtu moyoni mwake hivyo si jambo geni kwa mwanadamu.

Upekee wa hawa watu ni katika majukumu yao ya kikazi tu ila ukija katika maisha yao ya kila siku ni hayahaya tu tunayoishi sisi. Kama unataka kuwaona nenda kaishi kijitonyama au uwe muhudhuriaji mzuri kwenye Migahawa pale makumbusho...
 
Mbona hao jamaa ni watu kama watu wengine tu pia wanaishi maisha kama ya watu mwengine pia hata mtaani wanapoishi wanafahamika sana tu.

Suala la kuzingatia ni kwamba sio watu wa kujichanganya na makundi ya watu ovyo ovyo na kama ni sehemu za starehe wakishaanza kuzoeleka wengu hua wanahama ili wasiendelee kufahamika.

Kuhusu wao kwa wao kufahamiana wanafahamiana tena vizuri kabisa ila hawawezi kamwe kuaminiana. Lakini kuaminiana au kutoaminiana ni suala la kawaida kwa wanadamu wote na hii ni kwakua hatuijui dhamira ya mtu moyoni mwake hivyo si jambo geni kwa mwanadamu.

Upekee wa hawa watu ni katika majukumu yao ya kikazi tu ila ukija katika maisha yao ya kila siku ni hayahaya tu tunayoishi sisi. Kama unataka kuwaona nenda kaishi kijitonyama au uwe muhudhuriaji mzuri kwenye Migahawa pale makumbusho...
Vipi Mkuu wanapesa au ni kama polisi tu.
 
Wanabodi, weekend hiyooo na kamvua kwa mbali hapa Arusha!

Nipo Triple A hapa. Kuna jamaa yangu ananiambia eti wana usalama/TISS hawafahamiani na hawaaminiani kabisa!

Yaani kila mmoja ana majukumu yake na mahala pa kureport. Hawana mazoea ya mwenzangu uko wapi, unafanya nini!

Hawaaminiani, hawajuani kivile!

Hii kitu ni kweli au ni mfumo kama tu wa TAMISEMI au taasisi zingine?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ile
Wanabodi, weekend hiyooo na kamvua kwa mbali hapa Arusha!

Nipo Triple A hapa. Kuna jamaa yangu ananiambia eti wana usalama/TISS hawafahamiani na hawaaminiani kabisa!

Yaani kila mmoja ana majukumu yake na mahala pa kureport. Hawana mazoea ya mwenzangu uko wapi, unafanya nini!

Hawaaminiani, hawajuani kivile!

Hii kitu ni kweli au ni mfumo kama tu wa TAMISEMI au taasisi zingine?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo nadharia tu wanafamiana na wanaishi kama ww na team yako ya kazin mnavoishi..kiufupi kazini hakuna rafiki
 
Back
Top Bottom