Jobjob2
Member
- Nov 8, 2006
- 37
- 0
Clouds wanaleta yale yale ya kusikiliza mashauri ya upande mmoja bila kupata uhakika kwa mhusika amepatwa na nini, mbona tumezoweya kuona viongozi wetu wanaalikwa kwenye session and they dont turn up nor send an excuse na jamaa hawawawashi kama walivyomshughulikia Mgaya, kama kesi zingekuwa zinaendeshwa hivi, haki ingekuwa haitendeki. Ndoa kweli imetimia