Ni kweli ndoa ya Clouds Fm na CCM ishafungwa?

Clouds wanaleta yale yale ya kusikiliza mashauri ya upande mmoja bila kupata uhakika kwa mhusika amepatwa na nini, mbona tumezoweya kuona viongozi wetu wanaalikwa kwenye session and they dont turn up nor send an excuse na jamaa hawawawashi kama walivyomshughulikia Mgaya, kama kesi zingekuwa zinaendeshwa hivi, haki ingekuwa haitendeki. Ndoa kweli imetimia
 
Wakati mwingine hata hatujui nani mfanyakazi, hata pale isipostahili tunashangilia tu, wakati wote tu katika chungu kimoja! Hata wale wazee waliokuwa wanapiga vigelegele na makofi, wanategemea watoto wao wafanyakazi kuwatunza, ni unafiki tuuuuu!!!
 
These guys are fake..check out wanavyonyonya+dictating wasanii....they are ultra-opportunistic,just look at some of them; Gardner,a weedy guy married to a lady just because she is wealthy & famous...Kibonde,a disgraceful orator...MUNGU yupo,the day shall come...
 
Mr Mgaya hakukosea kutokwenda kuhojiwa na hawa wahuni(Gadner na Kibonde). Sidhani kama wanaifahamu historia ya Trade union ya TZ,zaidi ya matamasha na kuendesha vipindi vya udaku.Sio vibaya wakapitia Raia Mwema ya May 5,2010-Nakala ya Lula wa Ndali-Mwananzela "Kikwete awaombe radhi wafanyakazi" http://www.raiamwema.co.tz/news.php?d=2254 . May be wanaweza kujifunza kitu kama kichwani wana kitu, maana njaa wakati mwingine inaweza kufanya kichwani kukabakia kutupu.
 
Kaka kama kawaida AKILI ZA KUSIKIA CHANGANYA NA ZAKWAKO. Laiti wale wazee wangechukua ya Mkwere halafu wakachanganya na ya kwao basi moto ungewaka.
 
Baada ya huyu jamaa wa clouds kugeuzwa bango la ccm, hata lile tangazo alilopewa kutangaza na kampuni fulani hivi sasa inaakisi taswira ya kiyebo yebo kwenye bongo zetu. Kubasi hili linalojulikana kama yebo yebo lilikuwa zuri sana na lenye soko. Lakini ilipotokea tu kampuni kufanya promosheni na kwa aliyenunua kubasi kupewa ofa ya uji baridi maarufu kwa jina la YEBO, ndipo ilipofanya kosa na kuua soko lake kwani waTz wanauchukia na kuudharau huu uji baridi yebo. Hivyo hii kampuni na mtu wao huyu wa clouds inafanania na kisa hiki cha yebo kwetu.
 
jana walikuwa wanatetea hotuba feki ya JK ya wafanyakazi 350,000 wakipewa 315,000 kwa miezi 12 ni 6tr badala ya 1.5trillion.
kweli rais unamuambia mwananchi kama unataka nyongeza ya mshahara acha kazi kwa ajili kuna watu wengi tu wanatafuta kazi. Hao wakina Januari Makamba wenye akili sana ikulu wanashindwa kumshauri rais kwenye hili???

sana san huyu ephraim kibonde sijui wanadhani watu wendawazimu

.
Wakuu nimegutushwa jambo hapa hivi kweli mshahara wa 315000 mara wafanyakazi 350000 kwa miezi 12 ni trillion 6? Au rais kutusanii kama ilivyo kawaida yake?
 
.
Wakuu nimegutushwa jambo hapa hivi kweli mshahara wa 315000 mara wafanyakazi 350000 kwa miezi 12 ni trillion 6? Au rais kutusanii kama ilivyo kawaida yake?

i told you guys ..these guys clouds are fortune hunters...they will suck any ass if they are given money.......wamelipwa millions ili kuendeesha propaganda radioni kumaliza nguvu za mgomo wa wafanyakazi!!!

sijui walimtegemea huyo mgaya hana washauri wa kumzuia asiende kudhalilishwa na watu wasio na ethics.....ambao kwa takribani miezi miwili wamekuwa wakiitukana tucta kila siku.....

sidhani kama hiyo pesa waliyolipwa clouds ina watosha hadi kubadili maisha ya ndugu zao mijini na vijijini wanaoshindia uji...
 
Hawa jamaa akili zao hazifanyi kazi sawa sawa, unajua njaa ina matatizo sana. Kuna jamaa hapo kasema kwa mfano Gadner kaoa JD coz ana cash, hili halipingiki, maana hata ukienda kwenye show za JD utakuta jamaa ndio mchangisha pesa za kiingilio kwenye kumbi hizo. Hawa jamaa wamepotoka na jinsi siku zinavyokwenda ndivyo hii redio yao inakosa wasikilizaji, nonesense kabisa
 
Hivi walitegemea Mgaya kwenda Clouds? Kama angeenda angekuwa hana tofauti na JK. Kwa sasa Mgaya yuko juu kuliko JK, na Jahazi ya Clouds haina hadhi ya kumuhoji Mgaya. Mgaya anaongea kwenye press conference na kuhojiwa na kujibu maswali ya waandishi wa umma, wakati JK anaongea bila kuhojiwa ila anapigiwa makofi na 'Wazee wa Dar' (sio wafanyakazi!). Kama Clouds hawakuhudhuria ile press conference, wawaombe waandishi wenzao copy ya habari wakaitangaze Clouds.
 
Yeah nimesikia hilo ngoja na wenyewe tuwaweke kwenye hiyo kona.. si wanialike na mimi tuzungumze!!! au ntajialika mwenyewe . Labda ndio sababu hawapokei simu!
Haa haa haaa! Jana walikuwa wanalalamika Mgaya amezima simu, leo wao hawapokei simu!
 
Siamini kama alikwepa kwenda kuongea nao ila hata ningekua mimi nisingeenda, kumsuta Muungwana kwa vyombo vya habari sio heshima
 
Jamani huyu Mkwere hata hesabu zinamshindinda. Ukiwalipa wafanyakazi 350,000 Tshs 315,000@mwezi kwa mwaka ni sawa na:

350,000*315,000*12=1,323,000,000,000 sasa hiyo Tsh 6trillion aliyoitaja inatoka wapi?

mimi nadhani huyu bwana ni kilaza na mwongo mkubwa. Kazi yake kusoma taarifa bila kuzifanyia uchambuzi. Aibu tupu!
 
Wakamalizia na wimbo wao maarufu kuliko zote, wimbo wa mtoto wa kisabato aliyehasi, mtarimbo ........ Nilimkuta mtoto wangu anaimba alikula fimbo!
 
Hakika Clouds wamepotoka. Nakubaliana na wachambuzi wenye bongo zinazofanya uchambuzi wa kina na wa kisayansi kuwa Radio Clouds ni ya kubeza, haina jipya na hawawezi kumbadili mfanyakazi anaeelewa maana ya future yake ni nini. Chama cha wafanyakazi kama TUCTA duniani pote ndivyo kinavyofanya kazi. Uelewa wa kina Kibonde ni wa kitoto hawana elimu ya kuchambua masuala kwa undani. Wanajifanya watoto wa mjini lakini wanatoa PUMBA sana.
 
wanatafuta ajira ccm
kibonde ndo mc wa kampeni
ruge incharge no more malaria na studio ya kurekodia aliyowapa bongo fleva

Hapo mtafute kibonde

Wanafanya ambacho wengi wanatamani lakini hawawezi... Dare showing openly!!!

Ushahidi mzuri upo humuhumu jf... wauwaji wakuu wa jk na timu yake mwaka jana sasa hivi wamekua kimya na wengine kubadili user names zao.... Clouds was conceived kwa njia ya pesa na watafanya chochote kupata pesa, haikuanzishwa kusaidia wananchi, ilianzishwa kama duka la mtu, profit first!!



Mkuu hapo yangu macho mana mwaka huu wanaweza kuBREAKEVEN

Ukitizama kwa uhakika na kwa umakini juu ya mambo yanayofanywa na Clouds/ Primetiem na watangazaji wao wa aina ya Kibonde utagundua mambo kadhaa yatakayokufanya ujiulize kama una akili timamu
1. Clouds waliaandaa tamasha la kukataa malaria rais akaalikwa na kiingilio kikatozwa ilhali tamasha lile lilidhamini kwa asilimia zote, sababu za malipo walizotoa ni kuwa ulinzi kwa rais. Hapa hatuongelei kuhusu suala la Mr II kudhulumiwa na kina Ruge
2 Asilimia kubwa ya watangazaji wa redio hii ni wasemaji wa maneno tu, ninawajua watangazaji ambao hawana elimu kubwa sana lakini ipindi vyao vina maana sana na vinavutia kusikiliza ama kutazama, tazama tbc na hasa asubuhi, pale pana vitu vizuri
Kibonde ni mganga njaa mkubwa anayetumika na kutumiwa kwa maana yake


AKILI SAFI HAIPIMWI NA TBS

Hapa naona clouds wanapoteza muelekeo mana anayetokea kumukosoa Presidaa wanamshambulia si kawaida





Suluhisho ni kuacha kusikiliza radio zote zenye mwelekeo wa Chama Cha Majambazi. Mie nilikuwa nasikiliza Clouds enzi zile za kipindi cha 'Power Breakfast' kilichokuwa kinaendeshwa na Fina Mango na Masudi Kipanya. Hawa vijana walikuwa wanakosoa pale panapostahili bila kuegemea upande wowote. Walionyesha wanajua kazi yao na walikuwa na upeo mkubwa sana. Sijui wako wapi vijana hawa!

MKUU mzeepunch mimi nimeacha kusikiliza hiki kiradio
 
Back
Top Bottom