Ukitizama kwa uhakika na kwa umakini juu ya mambo yanayofanywa na Clouds/ Primetiem na watangazaji wao wa aina ya Kibonde utagundua mambo kadhaa yatakayokufanya ujiulize kama una akili timamu
1. Clouds waliaandaa tamasha la kukataa malaria rais akaalikwa na kiingilio kikatozwa ilhali tamasha lile lilidhamini kwa asilimia zote, sababu za malipo walizotoa ni kuwa ulinzi kwa rais. Hapa hatuongelei kuhusu suala la Mr II kudhulumiwa na kina Ruge
2 Asilimia kubwa ya watangazaji wa redio hii ni wasemaji wa maneno tu, ninawajua watangazaji ambao hawana elimu kubwa sana lakini ipindi vyao vina maana sana na vinavutia kusikiliza ama kutazama, tazama tbc na hasa asubuhi, pale pana vitu vizuri
Kibonde ni mganga njaa mkubwa anayetumika na kutumiwa kwa maana yake
AKILI SAFI HAIPIMWI NA TBS