Ni kweli ndoa ya Clouds Fm na CCM ishafungwa?

Hawa jamaa tungeachana nao bana.
Tumewazungumzia sana hadi nahofu kama tunawapandisha chati flani.
Please wana jamvi tuwapotezee.

CLOUDS FM is the best FM station in the country(msibishe).... haina watangazaji bali ina DJs,dhamira yao sio kukosoa wala kuelimisha bali ni kuburudisha.wafanyakazi wote ni wasanii na walenga fedha..amini hata ushoga wanaweza kufanya kama utatangaza dau la fedha.
kwao maisha ni burudani tuuuuuuuu na kujirusha,afterall... hiyo ndio hulka ya vijana wetu wa kizazi hiki.kupenda burudani na kujirusha tuuu na ndio maana CLAUDS FM IS THE BEST FM STATION IN TZ
 
hao watangazaji wa clouds waende shule kwanza shiiiiiiiiit. makada wote.
 
ukishaona redio inabadilisha mtangazaji katika kipindi kisa kuna ugeni ambao kiswahili haujui ni huna haja ya kuhoji elimu ya watangazaji hao.sasa mbumbumbu kama gadna au kibonde anaweza akasema nini cha maana jamii ikaelimika?ntasikiliza redio hii nikienda ugenini lakini si ku tune kwa vidole vyangu
 
Jamani huyu Mkwere hata hesabu zinamshindinda. Ukiwalipa wafanyakazi 350,000 Tshs 315,000@mwezi kwa mwaka ni sawa na:

350,000*315,000*12=1,323,000,000,000 sasa hiyo Tsh 6trillion aliyoitaja inatoka wapi?

mimi nadhani huyu bwana ni kilaza na mwongo mkubwa. Kazi yake kusoma taarifa bila kuzifanyia uchambuzi. Aibu tupu!

Mkulu hiyo ni minimum kwani wafanyakazi laki 3.5 sio wote wanapata mshahara wa 315K kwa hiyo piga mahesabu kwa kutumia range ya mshahara kati ya 315k-3m
 
Inawezekana kama redio ndoa hakuna ila kuna ndoa na watangazaji fulani haswa wale wa jahazi.

hapo nyuma nilipata kuwa msikilizaji mzuri wa redio hii ila nimeacha baada ya kibonde kuanza kuingiza ushabiki na kutaka kutuaminisha yale anayotaka yeye kwa maslahi yake binafsi.

amekuwa akitaka kutuaminisha baadhi ya vitu tukubali wakati ambao tuna akili tunajua kuchukua upuuzi wake na kuchanganya na yetu then tunampotezea. Ananifanya niamini kwamba kuna watu wanamuonaga kabla ya kipindi na kumuweka sawa ili atie ushabiki wakati mara nyingi hata mada anakuwa haijui vizuri na hajafanya upembuzi wa makini.

kibonde ni mtu hatari kwa clouds na jamii ya watanzania. Najua jioni hii alivyo na upeo finyu atakuja na makombora kibao kwa wote waliondika kutaka kumrekebisha.

kibonde: Nchii hii ina watu pia wanaojua kuchanganua baya na zuri na tanzania ya leo ni tofauti na unayofikiri badilika na acha upuuzi.
 
umaarufu wao hata award waliyopata juzi juzi ni kuwa watanzania wengi wanapenda kusikiliza habari za ovyo ovyo na VITU VISIVYO NA MAANA.FOR SERIOUS LISTERNERS NA SERIOUS PEOPLE HAWAWEZI KUSIKILIZA HIYO RADIO.NI YA WATU WAJINGA.HALAFU HUYO GADNA UKITUMA MESSEJI YA KUPONDA AU KUKOSOA CC HUWA HAZISOMI
 
mkuu, nadhani madai ya wafanyakazi ni kuongezeka kwa kima cha chini hadi kufikia laki 3 na buku kumi na tano, na si kwamba wote waongezewe hapana, kwa nilivoelewa mm, na wote mr. President na baadhi ya wachangiaji humu wamepotoka, huwezi zidisha laki tatu na kumi na tano mara laki tatu na hamsini idadui ya wafanyakazi kwa sababu sio wote wanapokea kiasi hicho, unless mwere alimaanisha kuwa idadi ya wafanyakazi 350,000 ndo wanaopokea kima cha chini...tunazungumzia kima cha chini hapa na si cha kati na cha juu, lets be realistic hapo..

Ninavyofikiri ni kuwa, hakuna namna yoyote ile unaweza ukaongeza kima cha chini (kcc) bila kuathiri hivi viwango vingine. Kwa mfano, tuseme sasa hivi kuna mtu anapata mshahara wa laki 3 (hata kabla ya kuongezwa kwa hicho kcc) maana yake huyu mtu hayuko kwenye kcc kwa sasa,maana kcc kwa sasa ni 104,000/=. Mshahara utakapoongezwa na kufikia kcc 315,00/= obviously huyu naye ataongezewa kwa uwiano maalum. Lakini pia ikumbukwe kuwa hata sasa, kati ya hao watumishi wa umma 350,000 wapo wengine wanaolipwa zaidi ya hiyo 315,000/= Ndio maana nilisema sio sahihi kukokotoa kwa kuzidisha kirahisi tu 350,000 x 315,000/=
 
Nadhani wanaona rahisi kusafiria nyota ya wenzao waulize vizuri Marehemu Amina hakupata ubunge kwa kupiga debe radioni wanajidanganya bora wang'arishe ya kwao. Wafanye kazi iliyowapeleka na sio kuwa wapiga debe watajutia baadae.:angry:
 
Kuna Power breakfast (hapa yupo PJ, Hando na Babla Hassan bila kusahau Bonge.
Kuna Leo Tena ( hapa yupo Dina marios, sakina na ..
Kuna XXL
Jioni kuna JAHAZI, hili linapelekwa na Gadna na Kibonde.
Kuna Bambata inayomilikiwa na malkia Sofia kessy.


Hawa wote kazi yao ni kupasha habari, kuelimisha jamii na kuiburudisha jamii yote.

Vijana wapo moto nawapa sana BIG UP
 
kuna power breakfast (hapa yupo pj, hando na babla hassan bila kusahau bonge.
kuna leo tena ( hapa yupo dina marios, sakina na ..
kuna xxl
jioni kuna jahazi, hili linapelekwa na gadna na kibonde.
kuna bambata inayomilikiwa na malkia sofia kessy.

hawa wote kazi yao ni kupasha habari, kuelimisha jamii na kuiburudisha jamii yote.

color=red]vijana wapo moto nawapa sana big up[/color]

changia mada na sisi tunawajua kwamba wanaendesha hivyo vipindi au na wewe udo wale wale hapo juu
 
Kibonkwa de, kama jina lako linavoakisi ndo na akili yako ilivyo, namuomba Mungu akulaani wewe na familia
yako kutokana na kuwa upande wa mafisadi wanaoadhulumu haki zao baba na mama zetu walio huko tanzania
nia, shame on you!
 
Kibonkwa de, kama jina lako linavoakisi ndo na akili yako ilivyo, namuomba Mungu akulaani wewe na familia
yako kutokana na kuwa upande wa mafisadi wanaoadhulumu haki zao baba na mama zetu walio huko tanzania
nia, shame on you!

Namaanisha wewe kibonde wa clouds fm ya udaku.
 
clouds ni radio ya buruduni kwamaana ya music na michezo, uchambuzi wa habari wanalazimisha tu. ndio maana wameajiri ma dj
 
Ninavyofikiri ni kuwa, hakuna namna yoyote ile unaweza ukaongeza kima cha chini (kcc) bila kuathiri hivi viwango vingine. Kwa mfano, tuseme sasa hivi kuna mtu anapata mshahara wa laki 3 (hata kabla ya kuongezwa kwa hicho kcc) maana yake huyu mtu hayuko kwenye kcc kwa sasa,maana kcc kwa sasa ni 104,000/=. Mshahara utakapoongezwa na kufikia kcc 315,00/= obviously huyu naye ataongezewa kwa uwiano maalum. Lakini pia ikumbukwe kuwa hata sasa, kati ya hao watumishi wa umma 350,000 wapo wengine wanaolipwa zaidi ya hiyo 315,000/= Ndio maana nilisema sio sahihi kukokotoa kwa kuzidisha kirahisi tu 350,000 x 315,000/=

Muadilifu uko sahihi, siyo sawa kuzidisha 350,000 x 315,000 x 12 kwa sababu kwa kufanya hivyo tuna assume kuwa wafanyakazi wote watalipwa kima cha chini. Hata hivyo hebu tujaribu kufanya makisio tu kuwa kwa wastani wafanyakazi wote wa serikali watalipwa Sh. 1,200,000 kwa mwezi, bado hatutapata tririon 6 za JK! Kumbuka wafanyakazi wengi wa serikali ni waalimu na manesi ambao mishahara yao hata akiongeza hicho kima cha chini, haitafika wastani wa 700,000.

Number of staff 350,000 Average salary per staff 1,200,000 No. of months to be paid 12 Total Salaries per anum 5,040,000,000,000 ADD: GVT 15% contribution to Pension schemes 756,000,000,000 Total Salaries +15% Pension contributions 5,796,000,000,000
 
Back
Top Bottom